Mwezi wa nane ndugu yangu kuna mambo yanawekwa sawa ya signaturesJamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.
Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.
View attachment 3049311
Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Wewe ni mpuuz unataka awe tajir kwa kuiba ni wax mzee wako ni mwiz na fisadiMwigulu afukuzwe ili timu fulani ipate shida sio ili uone mabadiliko nchini upande wa fedha?
Kumili bus nao ni utajiri wa kutisha? Timu kama Ihefu zimejichokea hata wewe unamiliki. Kuna waziri maskini? Kwanini mnapenda kila mtu awe maskini badala ya kuombea kila mtu awe tajiri?
Your motivation stems from hatred. Huu ndo uchawi wenyewe.
At least wewMtoa mada una roho mbaya (samahani lakini). Unataka tu atenguliwe ili hizo timu zipate taabu wala hujali ni ajira ngapi za vijana wenye vipaji vya mpira zitapotea baada ya hizo timu kufulia.
Hao vijana nao wana watu nyuma wanawategemea.
Nchi ya ajabu hii Dr mchumi akili yake inamtuma kumiliki timuJamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.
Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.
View attachment 3049311
Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Kuna kipindi ulikua unaweka avatar za mademu na nikiri kwamba niliwahi kuku-approach nataka kujua ulijisikiaje siku ya kwanza nakupigisha sound?At least wew
Wewe ukiwa na Pesa Akili yako inakutuma kufanya nini? Usisahau anasomesha mpaka Watoto yatima from primary to university Pesa analipa na hajitangaziNchi ya ajabu hii Dr mchumi akili yake inamtuma kumiliki timu
Kivipi? Funguka hapaMwezi wa nane ndugu yangu kuna mambo yanawekwa sawa ya signatures
Hizo ni ajira Haram kwa sababu chanzo chake ni ufisadiMtoa mada una roho mbaya (samahani lakini). Unataka tu atenguliwe ili hizo timu zipate taabu wala hujali ni ajira ngapi za vijana wenye vipaji vya mpira zitapotea baada ya hizo timu kufulia.
Hao vijana nao wana watu nyuma wanawategemea.
We unaona nani mchumi hapa bongo kumzidi mwigulu. Huoni nchi inavyonawili kiuchumi. Mzunguko wa pesa umekuwa mzuri. Mi kwa siku kwa sasa nauza chipsi zangu hapa laki kwa siku. We endelea kupiga domo kama watanzania wengine.Jamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.
Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.
View attachment 3049311
Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Kumbuka kuwa hizo fedha anazotumia kuendesha Ihefu na Singida BS ni fedha za kodi yako wewe na mimi!!Mtoa mada una roho mbaya (samahani lakini). Unataka tu atenguliwe ili hizo timu zipate taabu wala hujali ni ajira ngapi za vijana wenye vipaji vya mpira zitapotea baada ya hizo timu kufulia.
Hao vijana nao wana watu nyuma wanawategemea.
Mkuu ni suala la maadili. Tunayo Secretariati ya Maadili na kwa mujibu wa Sheria kila mtumishi wa umma anapaswa ku declare mali na madeni pamoja na vyanzo vya namna alivyopata hela zake.Mwigulu afukuzwe ili timu fulani ipate shida sio ili uone mabadiliko nchini upande wa fedha?
Kumili bus nao ni utajiri wa kutisha? Timu kama Ihefu zimejichokea hata wewe unamiliki. Kuna waziri maskini? Kwanini mnapenda kila mtu awe maskini badala ya kuombea kila mtu awe tajiri?
Your motivation stems from hatred. Huu ndo uchawi wenyewe.
Mwigulu ni mwizi wa kutisha huenda akawa wa kipekee tangu uhuru. Anaweza akawa zaidi ya ile familia ya Mkwere. Anajua kula na mama Abdul, ndio maana hawezi kumgusa ila kuna siku itafika, ataondoka na ushindani ndani ya ligi kuu ya Tanzania utapunguaJamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.
Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.
View attachment 3049311
Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Hatuna shida na wewe kuuza chips Tsh 700,000 kwa siku. Tunataka kujuwa tu uhalali wa namna alivyopata ukwasi wake. Sheria ya maadili inawabana watumishi wa umma ku DECLARE mali na madeni pamoja na vyanzo. Na kwenye mali inahusisha hadi za wana familia wakeWe unaona nani mchumi hapa bongo kumzidi mwigulu. Huoni nchi inavyonawili kiuchumi. Mzunguko wa pesa umekuwa mzuri. Mi kwa siku kwa sasa nauza chipsi zangu hapa laki kwa siku. We endelea kupiga domo kama watanzania wengine.
Mwigulu mpaka akina lipumba wanamwogopa ndo mana analysis zake za uchumi huwa hazipingwi na yeyote