Japo hatukupangii, mtumbue na Mwigulu Nchemba ili tujuwe nani mmiliki wa hizi timu za Ligi Kuu

Japo hatukupangii, mtumbue na Mwigulu Nchemba ili tujuwe nani mmiliki wa hizi timu za Ligi Kuu

Jamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.

Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.

View attachment 3049311

Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Hilo kampuni la mabasi Esther linalipa kodi zote? Mimi nipo tayari kutembea kuliko kupanda hilo basi liitwalo Esther!
 
Kuna haya makampuni ya mikopo na kubeti casino anailea kweli.
 
Jamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.

Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.

View attachment 3049311

Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Mwigulu anatunishiana misuli na Mo Dewji pamoja na Magori. Kwa Pesa ya walipa kodi anafanya ujinga wote huo wakati Mo ni mfanyabiashara mkubwa pengine hata kabla yeye Mwigulu hajaanza kusoma chuo kikuu pale Mlimani.

Kuna washamba wengi wameingia kwenye mpira wa bongo lakini kila kitu kinaenda kikiutii muda.
 
Jamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.

Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.

View attachment 3049311

Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Tatizo lako ni wivu wa kike
 
The burden of proof lies with the claimant.

Una madai ambayo wewe mwenyewe ujathibitisha halafu unataka utaratibu wa ‘wild west’ utumike “shoot first and ask questions later”.

Uoni kama umtendei haki huyo unaemtuhumu.
 
The burden of proof lies with the claimant.

Una madai ambayo wewe mwenyewe ujathibitisha halafu unataka utaratibu wa ‘wild west’ utumike “shoot first and ask questions later”.

Uoni kama umtendei haki huyo unaemtuhumu.
Nani kakuambia kutuhumu ni dhambi?
 
Back
Top Bottom