Hilo kampuni la mabasi Esther linalipa kodi zote? Mimi nipo tayari kutembea kuliko kupanda hilo basi liitwalo Esther!Jamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.
Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.
View attachment 3049311
Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Mwigulu ni mtu muovu haswa pamoja na akina Ummy, Aweso, Bashe ndiyo genge lilelileMwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji
Lisemwalo lipo, Uzi huo wa last two years Mwigulu anakanusha kumiliki mabasi ya Kampuni ya Esther kupitia jina la mke wake. Eti mabasi ni mali ya make wake.
Jamaa anapakuwa haswa mali za ummaMwiguru amwekeza sana nyuma ya migongo ya watu. Usije shangaa ndugu yako kawa tajiri wa kutisha kwa mtaji wa laki moja mda mfupi kabawa billionaire
Sasa kama muondoaji nae ana tabia kama ya waondolewaji unategemea nini?Hivi nchi hii vigogo wakiiba mali za umma adhabu yao huwa ni kuondolewa kwenye nafasi pekee?
Siyo kosa kumiliki kama ni halali tatizo umiliki wake ni wa kifisadi snNchi ya ajabu hii Dr mchumi akili yake inamtuma kumiliki timu
Kimsingi CCM imejaa watu waovu haswaMimi ngoja nijinyamazie tu kimya. Maana sina ushahidi. Ingawa hisia zangu na zenyewe zinaamini hivyo hivyo.
Pesa zikizidi sana unakosa pa kuzihifadhi !Nchi ya ajabu hii Dr mchumi akili yake inamtuma kumiliki timu
Mwigulu anatunishiana misuli na Mo Dewji pamoja na Magori. Kwa Pesa ya walipa kodi anafanya ujinga wote huo wakati Mo ni mfanyabiashara mkubwa pengine hata kabla yeye Mwigulu hajaanza kusoma chuo kikuu pale Mlimani.Jamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.
Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.
View attachment 3049311
Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Tatizo lako ni wivu wa kikeJamaa ana ukwasi siyo wa kawaida. Anashindana kumiliki mabasi na akina Shabiby na Aboud. Mabasi yake yanaitwa Esther.
Anamiliki/ anewahi kumiliki timu za Singida Big Stars, Ihefu, DTB na mara nyingine husaidia kulipa mishahara wachezaji wa Tanga.
View attachment 3049311
Kwa vile amekanusha mara kwa mara kuhusu umiliki wa mali hizi, IKIKUPENDEZA Mh Rais mpumzishe Mwigulu Nchemba hata kwa miezi 6. Kama hizo timu hazita STRUGGLE kulipa mishahara basi tutajuwa kuwa MMILIKI ni mtu mwingine.
Nani kakuambia kutuhumu ni dhambi?The burden of proof lies with the claimant.
Una madai ambayo wewe mwenyewe ujathibitisha halafu unataka utaratibu wa ‘wild west’ utumike “shoot first and ask questions later”.
Uoni kama umtendei haki huyo unaemtuhumu.
Kuthibitisha madai pia ni jukumu la mtuhumu.Nani kakuambia kutuhumu ni dhambi?