Uchaguzi 2020 Japo inaniuma lakini kwa kuwa chama changu mmeendekeza sana ubabe sitawapa kura yangu

Uchaguzi 2020 Japo inaniuma lakini kwa kuwa chama changu mmeendekeza sana ubabe sitawapa kura yangu

Yote kwa yote huu ni msimamo wangu na sitahama chama changu ila kwa mwaka huu kura mtanisamehe sitapiga kura CCM.

Wakati sisi tunapata tabu na tukiwaambia mnatujibu vibaya nyinyi mnaishi kwa raha na mnajisahau kuwa hio raha mnayoishi nyinyi chanzo ni sisi kuwapigia kura.
Kwa mwenye hofu na mimi juu ya mapenzi yangu kwa CCM apitie post zangu za nyuma.
Pongezi kwako kwa uamzi huo.

Lakini nikuulize swali. Ulijiunga CCM 2019, nini kilikuvutia huko hasa hadi ujiunge na chama hicho?
Na unasema huhami CCM, kuna kitu gani hasa kinachokuvuta uwe na mapenzi makubwa kiasi hicho na chama ambacho kilishabadilika mara kadhaa katika miaka hii ya karibuni.
Kumbuka, sijakushawishi popote katika maswali yangu hayo ujiunge na chama kingine chochote cha siasa mbali ya hiyo CCM yako. Unayomipango ya kuweka ushawishi ndani ya chama ili kuleta mabadiliko unayoona yanafaa?
 
Mhindi akiwa na duka anasalimia majirani zake wote na kuwafanya wateja wake. Wenyewe wanasema “ every penny counts “ hapa ni kuwa “every vote counts”.
Ooh sababu kuna tume mpya..........kila mtu ajitoe akili tu ila baada ya uchaGuzi kila mtu ataondoka na 50 zake.....wale wenye kura nyingi na wale wenye urais.............
 
Ndugu zangu mimi ni CCM tangu udogo wangu na mwenye kadi hai kabisa nikiwa na maana kadi yangu nailipia kila mwaka.Nilijiunga CCM rasmi kwa maana yakuchukua kadi ya uanachama 2019 mara baada yakufika chuoni mwaka wa kwanza.

Nasisitiza sitahama chama changu kwa kuwa CCM naipenda toka moyoni ila nitakachofanya ni kuwaadhibu kwa kura viongozi kwa mwenendo usiofaa na sina sehemu nyingine yakuwaadhibu zaidi ya sanduku la kura.

Nafanya hivi kwakuwa nimekosa namna tofauti kwani viongozi hawataki kushauriwa wanahisi wao ni malaika lakini watambue awamu ya tano imetesa sana wananchi kuliko hata mkoloni.

Nasisitiza kutumiiza kwakigezo cha ndege, madaraja, umeme, maji nk sio sawa, hali ya maisha imekua ngumu sana huku mtaani.

Nakumbuka yupo mwananchi mmoja alidiriki kumwambia rais kwa uchungu,"mheshimiwa ruhusu pesa hali huku mtaani ni ngumu sana". Majibu ya rais ,"Asiyefanya kazi na asile". Hili sio jibu la kiongozi kwa mwananchi wake badala yake raisi alitakiwa kuwaza kwamba kuruhusu pesa sio kuwapa wananchi pesa mfukoni bali ruhusu ajira serikalini,ondoa kodi za hovyohovyo siku hizi faini imekuwa chanzo cha mapato kuliko hata VAT.

Yote kwa yote huu ni msimamo wangu na sitahama chama changu ila kwa mwaka huu kura mtanisamehe sitapiga kura CCM.

Wakati sisi tunapata tabu na tukiwaambia mnatujibu vibaya nyinyi mnaishi kwa raha na mnajisahau kuwa hio raha mnayoishi nyinyi chanzo ni sisi kuwapigia kura.
Kwa mwenye hofu na mimi juu ya mapenzi yangu kwa CCM apitie post zangu za nyuma.
Tuendelee na kampeni hii kuanzia majumbani kuikataa ccm kwa ikatili na ubabe
 
Hata tukisema tutaiba utafanyaje?
Wee una ubavu wa kusema? Kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti. Isije kuwa wewe ni mkereketwa mwenye T- shirt ya CCM iliyopauka Polepole hajui hata kama unaishi.
 
Pongezi kwako kwa uamzi huo.

Lakini nikuulize swali. Ulijiunga CCM 2019, nini kilikuvutia huko hasa hadi ujiunge na chama hicho?
Na unasema huhami CCM, kuna kitu gani hasa kinachokuvuta uwe na mapenzi makubwa kiasi hicho na chama ambacho kilishabadilika mara kadhaa katika miaka hii ya karibuni.
Kumbuka, sijakushawishi popote katika maswali yangu hayo ujiunge na chama kingine chochote cha siasa mbali ya hiyo CCM yako. Unayomipango ya kuweka ushawishi ndani ya chama ili kuleta mabadiliko unayoona yanafaa?
Nasisitiza sitahama CCM kwani chama kwangu ni imani,hii CCM ya Magufuli imekua chama cha kikundi fulani cha watu na mwenyekiti wao,CCM hii yenyewe inafikiri serikali na mamlaka ndio kila kitu kwao hili haliwezekani na si lakufumbia macho.
Kiongozi asiye na hekima hafai,kiongozi mwenye kiburi hafai kwangu.Yanayoendelea kwenye utawala huu yanaumiza watu hili si lakufumbia macho.
Nakumbuka siku moja Jakaya alizuia ubomolewaji wa jengo la Tanesco ubungo akawauliza swali Tanroad na naomba nimnukuu,"Hivi ikitokea jengo la kale la kihistoria likawa limejengwa sehemu ambayo ni kinyume cha sheria nalo mtalibomoa?"
Kwa asiye na akili anaweza fikiri Jakaya alibariki uvunjifu wa sheria la hasha bali alimaanisha kuna mambo yanahitaji hekima kwenye maamuzi jambo ambalo watawala wa sasa ni tatizo.
Ndugu yangu kero yangu kubwa ni mambo ya hovyo yanayoendela sasa,huu utawala unatesa sana wananchi.
Mfano;Mfanya biashara leo akichelewa kulipa kodi hata kwa siku moja baada ya muda kupita adhabu ni faini ya karibu 100% ya alichotakiwa kulipa hii sio haki na kwa bahati mbaya watala hawashauriki unataka tufanye nini labda.
Njia pekee ni sanduku la kura na kwa hakika kuanzia ndugu na familia huu ndio ushawishi wangu na si vinginevyo
Hivi unaacha kuajiri watu kwakisingizio cha kujenga miondombinu hili ni sawa?
 
Raisi kuruhusu peasa mtaani siyo kugawa fedha cash kwa watu ni kutumia mbinu za kiuchumi ili kuongeza mzunguko wa fedha: Mbinu za kiuchumi ni Sera ya Fedha " Monetary Policy na Sera ya Kodi " Fiscal Policy"

Monetary policy refers to central bank activities that are directed toward influencing the quantity of money and credit in an economy. By contrast, fiscal policy refers to the government’s decisions about taxation and spending. Both monetary and fiscal policies are used to regulate economic activity over time.

They can be used to accelerate growth when an economy starts to slow or to moderate growth and activity when an economy starts to overheat. In addition, fiscal policy can be used to redistribute income and wealth.
Yoote haya Dr Mpango anajua, lkn anaogopa kumshauri yule nyapala maana alishasema hapangiwi chochote na yeyote!!!
 
Ndugu zangu mimi ni CCM tangu udogo wangu na mwenye kadi hai kabisa nikiwa na maana kadi yangu nailipia kila mwaka.Nilijiunga CCM rasmi kwa maana yakuchukua kadi ya uanachama 2019 mara baada yakufika chuoni mwaka wa kwanza.

Nasisitiza sitahama chama changu kwa kuwa CCM naipenda toka moyoni ila nitakachofanya ni kuwaadhibu kwa kura viongozi kwa mwenendo usiofaa na sina sehemu nyingine yakuwaadhibu zaidi ya sanduku la kura.

Nafanya hivi kwakuwa nimekosa namna tofauti kwani viongozi hawataki kushauriwa wanahisi wao ni malaika lakini watambue awamu ya tano imetesa sana wananchi kuliko hata mkoloni.

Nasisitiza kutumiiza kwakigezo cha ndege, madaraja, umeme, maji nk sio sawa, hali ya maisha imekua ngumu sana huku mtaani.

Nakumbuka yupo mwananchi mmoja alidiriki kumwambia rais kwa uchungu,"mheshimiwa ruhusu pesa hali huku mtaani ni ngumu sana". Majibu ya rais ,"Asiyefanya kazi na asile". Hili sio jibu la kiongozi kwa mwananchi wake badala yake raisi alitakiwa kuwaza kwamba kuruhusu pesa sio kuwapa wananchi pesa mfukoni bali ruhusu ajira serikalini,ondoa kodi za hovyohovyo siku hizi faini imekuwa chanzo cha mapato kuliko hata VAT.

Yote kwa yote huu ni msimamo wangu na sitahama chama changu ila kwa mwaka huu kura mtanisamehe sitapiga kura CCM.

Wakati sisi tunapata tabu na tukiwaambia mnatujibu vibaya nyinyi mnaishi kwa raha na mnajisahau kuwa hio raha mnayoishi nyinyi chanzo ni sisi kuwapigia kura.
Kwa mwenye hofu na mimi juu ya mapenzi yangu kwa CCM apitie post zangu za nyuma.
kura moja ya mjiinga
 
Ndugu yangu kero yangu kubwa ni mambo ya hovyo yanayoendela sasa,huu utawala unatesa sana wananchi.
Mfano;Mfanya biashara leo akichelewa kulipa kodi hata kwa siku moja baada ya muda kupita adhabu ni faini ya karibu 100% ya alichotakiwa kulipa hii sio haki na kwa bahati mbaya watala hawashauriki unataka tufanye nini labda.
Njia pekee ni sanduku la kura na kwa hakika kuanzia ndugu na familia huu ndio ushawishi wangu na si vinginevyo
Hivi unaacha kuajiri watu kwakisingizio cha kujenga miondombinu hili ni sawa?
Mkuu 'gimmy's' ninakubaliana na wewe kwa haya uliyoeleza hapa, lakini hujanishawishi kuhusu uzuri wa CCM iliokuwa nao uliokufanya ujiunge nayo mwaka 2019!
Hata kabla ya ujio wa Magufuli, CCM ilishakuwa mbovu.

Ukinieleza hapa kwamba nia yako ya kuwa ndani ya CCM ni kuirekebisha ili iwe chama imara kinachopigania maslahi ya waTanzania wote, na ukaainisha mambo yanayokuvutia na kuyaona ndani ya CCM hiyo, hapo nitaungana nawe moja kwa moja, na nitazidi kukupongeza kwa msimamo wako huu wa sasa, na juu ya hayo unayokusudia kuyapigania ndani ya chama chako.

Hapa hujanishawishi nielewe kwa nini wewe ni mwana CCM.
 
Mkuu 'gimmy's' ninakubaliana na wewe kwa haya uliyoeleza hapa, lakini hujanishawishi kuhusu uzuri wa CCM iliokuwa nao uliokufanya ujiunge nayo mwaka 2019!
Hata kabla ya ujio wa Magufuli, CCM ilishakuwa mbovu.

Ukinieleza hapa kwamba nia yako ya kuwa ndani ya CCM ni kuirekebisha ili iwe chama imara kinachopigania maslahi ya waTanzania wote, na ukaainisha mambo yanayokuvutia na kuyaona ndani ya CCM hiyo, hapo nitaungana nawe moja kwa moja, na nitazidi kukupongeza kwa msimamo wako huu wa sasa, na juu ya hayo unayokusudia kuyapigania ndani ya chama chako.

Hapa hujanishawishi nielewe kwa nini wewe ni mwana CCM.
Majibu ya hayo yote unayoniuliza yapo kwenye maelezo ya awali vinginevyo unahitaji nikupatie majibu yakukupendeza,
Msimamo wangu ni kutohama CCM maisha yangu yote lakini huu ndio uchaguzi wangu wa kwanza kutopigia kura raisi wa CCM.
siasa bora ni siasa yenye misingi yakidemokrasia,na demokrasia bora ni mimi kuchagua kwa kadiri ya matakwa yangu
 
Kwanza: hongera kwa kujitambua.

Pili: kataa sisiem kwa nguvu zote kijana.

Tatu: Lingania vijana wenzako wa lumumba na watu wako wa karibu kadri uwezavyo kwani sisiem imekengeuka misingi yetu kama Taifa.
 
Wee una ubavu wa kusema? Kusema na kutenda ni vitu viwili tofauti. Isije kuwa wewe ni mkereketwa mwenye T- shirt ya CCM iliyopauka Polepole hajui hata kama unaishi.
Ajue asijue ila mimi najua Magufuli anaendelea 5 tena ....povu lako kafulia vyupi vya pipooz
 
Kitanuka....hao tume wenyewe wamebaki kumpa Hope Jpm lakini siku ya uchaguzi watamshangaza.
Kinuke watu wenyewe wanategemea hadi mzungu awapige busta ....kdg wazenj ila huku bara ma keyboard warrior kibao
 
Ndugu zangu mimi ni CCM tangu udogo wangu na mwenye kadi hai kabisa nikiwa na maana kadi yangu nailipia kila mwaka.Nilijiunga CCM rasmi kwa maana yakuchukua kadi ya uanachama 2019 mara baada yakufika chuoni mwaka wa kwanza.

Nasisitiza sitahama chama changu kwa kuwa CCM naipenda toka moyoni ila nitakachofanya ni kuwaadhibu kwa kura viongozi kwa mwenendo usiofaa na sina sehemu nyingine yakuwaadhibu zaidi ya sanduku la kura.

Nafanya hivi kwakuwa nimekosa namna tofauti kwani viongozi hawataki kushauriwa wanahisi wao ni malaika lakini watambue awamu ya tano imetesa sana wananchi kuliko hata mkoloni.

Nasisitiza kutumiiza kwakigezo cha ndege, madaraja, umeme, maji nk sio sawa, hali ya maisha imekua ngumu sana huku mtaani.

Nakumbuka yupo mwananchi mmoja alidiriki kumwambia rais kwa uchungu,"mheshimiwa ruhusu pesa hali huku mtaani ni ngumu sana". Majibu ya rais ,"Asiyefanya kazi na asile". Hili sio jibu la kiongozi kwa mwananchi wake badala yake raisi alitakiwa kuwaza kwamba kuruhusu pesa sio kuwapa wananchi pesa mfukoni bali ruhusu ajira serikalini,ondoa kodi za hovyohovyo siku hizi faini imekuwa chanzo cha mapato kuliko hata VAT.

Yote kwa yote huu ni msimamo wangu na sitahama chama changu ila kwa mwaka huu kura mtanisamehe sitapiga kura CCM.

Wakati sisi tunapata tabu na tukiwaambia mnatujibu vibaya nyinyi mnaishi kwa raha na mnajisahau kuwa hio raha mnayoishi nyinyi chanzo ni sisi kuwapigia kura.
Kwa mwenye hofu na mimi juu ya mapenzi yangu kwa CCM apitie post zangu za nyuma.
Watampa wale wengine usijali
 
Bora mmoja wa wanachama ulivyoeleza hisia zako kuwa mambo yanakwenda ndivyo sivyo
 
Kwanza: hongera kwa kujitambua.

Pili: kataa sisiem kwa nguvu zote kijana.

Tatu: Lingania vijana wenzako wa lumumba na watu wako wa karibu kadri uwezavyo kwani sisiem imekengeuka misingi yetu kama Taifa.
Hapana,tatizo sio CCM bali ni mwenyekiti,bado CCM sina chama chakulinganisha nacho,mwenyekiti anaongoza nchi vibaya,mwenyekiti amejawa visasi,mwenyekiti hana sifa kabisa za kuwa kiongozi,
Nakumbuka marehemu Kingunge alisema kunawatu walipaswa kuwa wanyapara lakini sio kuongoza nchi kauli ambayo hua naikumbuka sana.
 
Back
Top Bottom