KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hapo juu ulieleza kwamba ulijiunga CCM 2019, sasa ni chaguzi gani "zote" ulizopigia CCM, au zile chaguzi za serikali za mitaa zilizofanyika kama maigizo?Majibu ya hayo yote unayoniuliza yapo kwenye maelezo ya awali vinginevyo unahitaji nikupatie majibu yakukupendeza,
Msimamo wangu ni kutohama CCM maisha yangu yote lakini huu ndio uchaguzi wangu wa kwanza kutopigia kura raisi wa CCM.
siasa bora ni siasa yenye misingi yakidemokrasia,na demokrasia bora ni mimi kuchagua kwa kadiri ya matakwa yangu
Naona hauko serious mkuu 'gimmy's' na msimamo wako huo wa kuwa mwanachama wa maisha wa CCM. Magufuli kakutumbua?