KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hapo juu ulieleza kwamba ulijiunga CCM 2019, sasa ni chaguzi gani "zote" ulizopigia CCM, au zile chaguzi za serikali za mitaa zilizofanyika kama maigizo?Majibu ya hayo yote unayoniuliza yapo kwenye maelezo ya awali vinginevyo unahitaji nikupatie majibu yakukupendeza,
Msimamo wangu ni kutohama CCM maisha yangu yote lakini huu ndio uchaguzi wangu wa kwanza kutopigia kura raisi wa CCM.
siasa bora ni siasa yenye misingi yakidemokrasia,na demokrasia bora ni mimi kuchagua kwa kadiri ya matakwa yangu
Mkuu, hata ikihesabiwa, huyo mshogeshaji (anayetaka wote muwe mashoga) utakayempigia atazidiwa kwa kura mamilioni, sasa tija iko wapi hapo?Unasema haitasaidia kwani haitahesabiwa? Au mtaiba?
Mkuu, hata ikihesabiwa, huyo mshogeshaji (anayetaka wote muwe mashoga) utakayempigia atazidiwa kwa kura mamilioni, sasa tija iko wapi hapo? Ingekuwa kuna tight race kweli kura yako ingekuwa na tija.Mhindi akiwa na duka anasalimia majirani zake wote na kuwafanya wateja wake. Wenyewe wanasema “ every penny counts “ hapa ni kuwa “every vote counts”.
Utakuwa umefanya jambo sahihi, kwa nyakati sahihi. Utakuwa mmojawapo katika historiamlll
Rais ni kama mzazi anapaswa kuwapa tumaini raia wote. Wapo wana ccm wengi wenye hekima hawapendezwi na kauli za mkuu za kibaguzi na dhihaka." Siwafichi" " Mtajuta" " Huwezi kunijibu hivyo wewe" ( Mama DED BK, kupoteza uteuzi kutotaja fungu kiasi barabara akihofia kuposha); " Niliahidi mafuriko" ..." Wa mabondeni wafurike... wauzieni nei kubwa" " siwezi mchagua DED nimpe gari,nyumba,mshahara halafu amtangaze mpinzani" " Hakuna fidia" .." Mtajuta" " Pesa zipo nakamua mafisadi na majizi"( wafanyabiashara).MUNGU TUSAIDIE. HAKI HUINUA TAIFAKuwapa kura ccm kwa sasa ni kuhalalisha dhulma, kwa sasa wamebanwa wanaanza kuamrisha hovyo polis na tume ya uchaguzi kutenda mambo ya hovyo...