Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, na katika uchaguzi uliopita, wasio wa kijani waliungwa mkono na Watanzania zaidi ya milioni 6, na kuna wabunge 145 wasio wa kijani, na kwa upande wa Zanzibar na Pembe kwa mujibu wa matokeo halali ya NEC, wasio wa kijani ndio wengi kuliko kura zote za kijani!, hivyo wote hawa ni Watanzania wenye haki sawa licha ya kutofautiana rangi!. Kauli hii ndio ukweli wenyewe wa uchaguzi wa 2020!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 28 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, by jumping ships, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao hawata jump ship na ku abandon, hawa watang'ang'ania meli yao, kwa kujishika kwenye milingoti, huku wakijiangalia na watazama na meli yao au jahazi lao na kufa kishujaa na watatamkwa ni mashujaa waliokufa kishujaa kuifia meli yao!. Hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, waka abandon meli yao na ku jump ships hivyo kubaki hai na kusurvive na 'mashujaa' wafu, waliokubali kufa huku wanajiona kwa kuifia meli yao, nani ni muhimu zaidi?. This is debatable!

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba

2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Kuwa na kijani asilimia 100 inaweza kuwa msaada?
 
[emoji3][emoji3][emoji3] huwenda akawa.
Lakini pia ni moja ya watu wanao tambua falisafa za viongozi mbali mbali

Falisafa ndio inatoa dhamila kuu ya kiongozi
Sasa ukisoma machapisho mengi ya Pasco kumuhusu Raisi MAGUFULI mengi yamejikita kifalisafa na kihitikadi kitu ambacho wengi wetu atukukijua mapema ndio maana wengi wali beza.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] huwenda akawa.
Lakini pia ni moja ya watu wanao tambua falisafa za viongozi mbali mbali

Falisafa ndio inatoa dhamila kuu ya kiongozi
Sasa ukisoma machapisho mengi ya Pasco kumuhusu Raisi MAGUFULI mengi yamejikita kifalisafa na kihitikadi kitu ambacho wengi wetu atukukijua mapema ndio maana wengi wali beza.
 
Kuna mbumbumbu huwa wana mdharau Pasco kwa kuandika wasiyopenda kusikia ila huyu jamaa nina uhakika ni wa Kitengo kabisa huyu.
Alishawahi sema mama ake alikua mzee wa kikosi.

Ila pamoja na hayo, alijitabiria kuingia mjengoni, je tumsubirie viti maalum?
 
Paskali hilo unalozungumza linawezekana kabisa hasa ukichukulia yaliyojiri wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na tamko la Rais la kuwaonya Wakurugenzi wasiwatangaze wagombea kutoka vyama vya upinzani kuwa washindi hata kama wameshinda. Nikuulize Paskali, hivi ikitokea kuwa wabunge wa kijani tu ndo watakaorudi je hili litakuwa jambo la kushangilia au kusikitisha?. Nasubiri jibu
Mkuu mafutamingi , sikumbuki kukujibu hili, ila ni kweli imetokea, na jibu langu ni hili
P
 
Kuna mbumbumbu huwa wana mdharau Pasco kwa kuandika wasiyopenda kusikia ila huyu jamaa nina uhakika ni wa Kitengo kabisa huyu.
Mkuu IDEGENDA , no mimi sio mtu wa kitengo, japo wazazi wangu wote wawili walikuwa watu wa kitengo, Mzee wangu, ndiye alikuwa RSO wa Mwanza, kwenye ile kesi ya mauaji Mwanza. Kwetu tumezaliwa 8, kati yetu 5 wako serikalini, na sisi 3 tuko sekta binafsi. Siwezi kuwasemea ndugu zangu, lakini mimi sio wa huko.

Kinachonifanya mimi kupatia baadhi ya hoja zangu, mimi ni trends reader mzuri, hizi trends za kuja kupata Bunge la chama kimoja 2020, niliziona kitambo na kupandisha bandiko hili

P
 
Chadema wajiandae kuuza magari ya M4C, kufunga matawi kwa kukosa kodi, kupoteza na huyo mbunge mmoja aliekuwepo, Mbowe kujimilikisha kilichobaki benki ... LEMA kuhamia CCM
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, na katika uchaguzi uliopita, wasio wa kijani waliungwa mkono na Watanzania zaidi ya milioni 6, na kuna wabunge 145 wasio wa kijani, na kwa upande wa Zanzibar na Pembe kwa mujibu wa matokeo halali ya NEC, wasio wa kijani ndio wengi kuliko kura zote za kijani!, hivyo wote hawa ni Watanzania wenye haki sawa licha ya kutofautiana rangi!. Kauli hii ndio ukweli wenyewe wa uchaguzi wa 2020!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 28 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, by jumping ships, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao hawata jump ship na ku abandon, hawa watang'ang'ania meli yao, kwa kujishika kwenye milingoti, huku wakijiangalia na watazama na meli yao au jahazi lao na kufa kishujaa na watatamkwa ni mashujaa waliokufa kishujaa kuifia meli yao!. Hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, waka abandon meli yao na ku jump ships hivyo kubaki hai na kusurvive na 'mashujaa' wafu, waliokubali kufa huku wanajiona kwa kuifia meli yao, nani ni muhimu zaidi?. This is debatable!

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba

2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali

Mkuu Pascal Mayalla the "trend reader" himself. Mko wachache mno wenye mboni hii. Unalipa heshima jukwaa letu la JamiiForums

Shikilia hapo tu.

Sasa basi, tujulishe wasifu wa Waziri Mkuu ajaye. Ama mabadiliko ni sifuri?
 
Mkuu Pascal Mayalla the "trend reader" himself. Mko wachache mno wenye mboni hii. Unalipa heshima jukwaa letu la JamiiForums

Shikilia hapo tu.

Sasa basi, tujulishe wasifu wa Waziri Mkuu ajaye. Ama mabadiliko ni sifuri?
Mkuu 50thebe , thanks on trends.
Hakuna mabadiliko yoyote kwa top 5,
Mabadiliko makubwa ni kwenye cabinet, Kimei, Mwanyika, Mwambe, Mkenda, Shigongo, Mwana FA, Gwaji Boy, etc, ni miongoni mwa sura mpya!.

He will also retain a good number of old guards
P
 
Lakini pia ni moja ya watu wanao tambua falisafa za viongozi mbali mbali

Falisafa ndio inatoa dhamila kuu ya kiongozi
Sasa ukisoma machapisho mengi ya Pasco kumuhusu Raisi MAGUFULI mengi yamejikita kifalisafa na kihitikadi kitu ambacho wengi wetu atukukijua mapema ndio maana wengi wali beza.
Ukiona mtu kambeza huyu jamaa ujue kasoma bandiko akiwa na mlengo tayari. Ukimsoma bia mlengo yaani ukiwa na mawazo huru ama niseme mtazamo huru utaelewa. Ni mwandishi asiyechoka kutafiti kujua maana ya neno, lugha, mandhari na mkutadha wa hja ama jambo.
viva Pascal Mayalla .. utatuvusha salama ukianza kuleta madini juu ya kuujenga ukuta wetu wa CDM uliobomolewa vibaya na vibaka wa kisiasa.
 
Kwa heri konyagi aka ...faru dume. Tulikupenda lakini ukajidhalilisha Siku ya mwisho mjini Dodoma.
Utakumbukwa kwa kuleta taharuki na fujo, maandamano na vifo. Matusi na kejeri.
Tanzania itapumua sasa.
Tanzania ya hapa kazi tu , imezaliwa.
Kazi itakuwa ni kipimo cha utu.
Midomo ya matusi bye bye.
Alifanyiwa sendofu kumbe
 
Mtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?

Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?

Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!

Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.

Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
Mliambiwa mapema mkapinga Kama kawaida yenu. Ukaahidi kuhama Lissu asipokuwa rais. Umehama?;
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, na katika uchaguzi uliopita, wasio wa kijani waliungwa mkono na Watanzania zaidi ya milioni 6, na kuna wabunge 145 wasio wa kijani, na kwa upande wa Zanzibar na Pembe kwa mujibu wa matokeo halali ya NEC, wasio wa kijani ndio wengi kuliko kura zote za kijani!, hivyo wote hawa ni Watanzania wenye haki sawa licha ya kutofautiana rangi!. Kauli hii ndio ukweli wenyewe wa uchaguzi wa 2020!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 28 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, by jumping ships, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao hawata jump ship na ku abandon, hawa watang'ang'ania meli yao, kwa kujishika kwenye milingoti, huku wakijiangalia na watazama na meli yao au jahazi lao na kufa kishujaa na watatamkwa ni mashujaa waliokufa kishujaa kuifia meli yao!. Hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, waka abandon meli yao na ku jump ships hivyo kubaki hai na kusurvive na 'mashujaa' wafu, waliokubali kufa huku wanajiona kwa kuifia meli yao, nani ni muhimu zaidi?. This is debatable!

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba

2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Paskali uliona mbali Sana ila Hadi Sasa wanabisha. Ingawa
Wajumbe siyo watu wazuri!
 
Mliambiwa mapema mkapinga Kama kawaida yenu. Ukaahidi kuhama Lissu asipokuwa rais. Umehama?;
Ahame aende wapi mikwara mbuzi tu hao weupeeee ma keyboard warriors....ukiona wanayoandika mitandaoni unaweza sema ni watu fulani wameamka/wameelewa wanasimamia nini ila mwisho wa siku ni kama watu wa madesa tu vyuoni
 
Back
Top Bottom