Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vyema ukaomba nafasi kwa chama chako ugombee huo ubunge unaoushadadia kuliko kuwabeza wapinzani. Njaa mbaya sanaWanabodi,
"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "
Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.
Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.
Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.
Hongereni sana 'Wakijani'
Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.
Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.
Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.
Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.
Paskali
Maana ya upinzani ni mawazo mbadala. Ndiyo ya wabunge wa kijani kwani hazitoshi?Namlaumu sana kamanda wa anga na sera zake za kupinga pinga kila kitu, hadi hata mimi nikakimbia kutoka ufipa.
Nakata tawi la mti kuweka kama kumbukumbu tukutane november!Wanabodi,
"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "
Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.
Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.
Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.
Hongereni sana 'Wakijani'
Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.
Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.
Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.
Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.
Paskali
Wanabodi,
"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "
Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.
Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.
Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.
Hongereni sana 'Wakijani'
Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.
Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.
Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.
Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.
Paskali
Labda ndiyo atawacha kupiga mizingaAlafu wewe ndiyo utapata nini!!?
Hiyo ni kwa faida ya nani?
Ni nani mnufaika wa hilo jambo?
Kabisa. Ni uzembe wa hali ya juu kuwa na mamlaka na nguvu zote hizo halafu wa kijani wote wasirudi!
Unaonaje kukiwa na azimio la kuwa na chama kimoja ili kupunguza gharama za uchaguzi. Ili budget ya uchaguzi ielekezwe kwenye kilimo ambacho ndio uti mgongo wa nchi yetuSisi wananchi tulio wengi, hatutaona Rais akikwamishwa na hao vibaraka wasoitakia mema nchi yetu, maendeleo yatapaa sana sababu Rais atakuwa na full support ya wananchi.
Tumuombe mungu atupatie uhai ili tishuhudie yatakayo jiriMtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?
Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?
Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!
Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.
Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
Sisi wananchi tulio wengi, hatutaona Rais akikwamishwa na hao vibaraka wasoitakia mema nchi yetu, maendeleo yatapaa sana sababu Rais atakuwa na full support ya wananchi.
Uandishi habari wa IkuluAlafu wewe ndiyo utapata nini!!?
Wangejijengaje ?Japo siungi mkono utawala wa ccm kwa muda wote ila upande wa upinzani umefeli kwa kiasi kikubwa sana.
Wangejikita kwanza kujenga msingi imara ndio wagombanie madaraka.
Wangejikita kuingia mioyoni mwa watanzania wengi badala wa hawa wa mihemko.
Wangejikita kufanya maendeleo kwa wananchi ama sehemu walichaguliwa badala ya kupambana na serikali ccm na polisi.
Wangejinyima kile walichonacho kama sadaka kwa watanzania ama jamii kama kujenga madarasa vyoo ofisi vifaa.
Hata kwenye huduma za afya walao hata panadol kwa zahanati ya uma nk
Hata kuhamasisha usafi kwenye jamii,msaada kwenye majanga nk, mfano hili la korona sijakia hata wakitoa hata barakoa moja kwa muhudumu wa afya.
Nichukulie mfano wa morogoro mjini nilikoishi mbunge akiwa azizi abood na kawe jimbo ninaloishi sasa.
Abood alikua akishuka mpaka chini kabisa mpaka kuwasaidia wakina mama kuchambua dagaa sokoni akihamasisha usafi na kutatua kero zilizo ndani ya uweza wake, achilia mbali kutoa baadhi ya magari yake kwenye misiba japo unaweza kuhesabika sio msaada lakini mkono mtupu haulambwi.
Hapa kawe kama jimbo bunju kama kata sikuwahi kusikia jambo lolote kuhusu mbunge kwa miaka 3 niliokaa hapa, kama imekuwepo na sijapata taarifa nisamehewe.
Lakini kunatofauti kubwa mno.
Angefikaje wakati muda wote anafuatiliwa na polisi ?Japo siungi mkono utawala wa ccm kwa muda wote ila upande wa upinzani umefeli kwa kiasi kikubwa sana.
Wangejikita kwanza kujenga msingi imara ndio wagombanie madaraka.
Wangejikita kuingia mioyoni mwa watanzania wengi badala wa hawa wa mihemko.
Wangejikita kufanya maendeleo kwa wananchi ama sehemu walichaguliwa badala ya kupambana na serikali ccm na polisi.
Wangejinyima kile walichonacho kama sadaka kwa watanzania ama jamii kama kujenga madarasa vyoo ofisi vifaa.
Hata kwenye huduma za afya walao hata panadol kwa zahanati ya uma nk
Hata kuhamasisha usafi kwenye jamii,msaada kwenye majanga nk, mfano hili la korona sijakia hata wakitoa hata barakoa moja kwa muhudumu wa afya.
Nichukulie mfano wa morogoro mjini nilikoishi mbunge akiwa azizi abood na kawe jimbo ninaloishi sasa.
Abood alikua akishuka mpaka chini kabisa mpaka kuwasaidia wakina mama kuchambua dagaa sokoni akihamasisha usafi na kutatua kero zilizo ndani ya uweza wake, achilia mbali kutoa baadhi ya magari yake kwenye misiba japo unaweza kuhesabika sio msaada lakini mkono mtupu haulambwi.
Hapa kawe kama jimbo bunju kama kata sikuwahi kusikia jambo lolote kuhusu mbunge kwa miaka 3 niliokaa hapa, kama imekuwepo na sijapata taarifa nisamehewe.
Lakini kunatofauti kubwa mno.
Jamaa ana content za unafiki unafiki sana huyo.na nyuzi zake nyingi hazipo independent sanaPaskali ukigombea nitakuunga mkono kama member mwenzangu wa JF na mtu mwenye upeo mkubwa wa siasa zetu.