We nae mchunguzi niliibania thanks lakini umenigusa imebidi nikupatie. Poa usijali
hahaha....asante kugawana ni kujali Dena.......uchunguzi kawaida yangu kabisa...sipendi kukurupuka....unanifurahisha sana
Kumsamehe amsamehe ila wanaume wakiambiwa ukweli masimango utakayopata utajuta kuzaliwa mie nakwambia ukweli.
Hebu mweleweshe huyo rafiki yako kwamba hawezi kuwa na mme na mfanyabiashara kwa pamoja....
kaka samahani, kama unaona huwezi kuelekezana na mie kwa ustaarabu unaweza kuacha kuniuliza lolote, naomba ucnitibue tafadhali, nimekuuliza kwa uzuri tu na cjasema nimeleta mada hapa ili wachangie waliooa bali nilitanguliza na samahani nikakuuliza kama umeona kama ulikuwa huweizi jibu kistaarabu ungenyamaza...plz ucniharibie cku....mambo ya kuona mbingu wewe umeshaioa? na kama umeiona ki mapngo wako niache mie na yangu..alaa.
huyo mume ana kitu moyoni kwake na si kizuri nakwambia kuna msemo unasema "mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu" ndio una-apply hapo huyo jamaa ameachana na hawara anategemea mke wake atafanya hivyo ili maisha yaende vizuri lakini inaposhindikana kwa sababu ya mtu ni tatizosasa Funza huoni kwamba mke akiomba talaka sasa hivi na vuguvugu lililopo litaleta hatari zaidi? na mume cdhani kama atakuwa tayari kubaki mpweke kiac hicho, akose mke amekosa hawara...mhhh mnajitakiaga mengine, umeuliza huyo mfanyabiashara anawezaje kumjengea nyumba mke wa mtu? labda nitasema kuna watu wana pesa ziczo na mawazo, nyumba nzuri sana nimeshaiona na ilijengwa haraka sana, nasema ana pesa czizo na mawazo coz anajua mume karudi kwake lakini bado kaenda ku deposit pesa ya mtoto ya skul, na kitu mume kinammaliza zaidi jamaa ni mfanyabiashara mkubwa mjini, ana mtandano wa kumtosha, juzi mume alijua huyo mfanyabiashara yupo hotel fulani na wenzake wanapata kinnywaji akaenda kumchukua mke ofcn jioni akamwomba wapitie pale, cjui jamaa alitaka kufanya nn lakini kila mtu aliendelea na shughuli zake za kinywaji kama vile hakuna linaloendelea chini ya jua, mke anakwambaia hakutaka kufanya kosa hata la kwenda toilet.
mbona uyasemi ya bwana uko kwa hawara walikumbuka kinga?
nyie bwana ivi mnaona wanawake vtunguu ennh?
nan mwanzilish wa ujinga u?uyo dada asi kaakt kutokana namatendo ya mumewe?uwez waza juu ya sababu wewawaza tu mwanamke kafanyaje..we kimbweka wewenakulia pushap apa nikikukamata wafwaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
Amwamwambie tu ukweli ili yaishe, mi nishawahi kuwa na rafk mumewe alikuwa anamnyanyasa sana kila siku ugomvi na kufukuzana mwanaume anawanawake nje akiulizwa ugomvi mpaka anamfukuza mkewe. Mkewe nae akapata wa kumfariji huko nje cku moja mumewe kama kawaida yake akagombana na mkewe na kumfukuza yule dada akamwambia jamaa wake wa nje akamwambia ucjali akampangia nyumba na kumnunulia full fanicha mwanaume kuja kuckia wacha roho imtange akamuomba msamaha mkewe na kibaya zaidi mke alirudi na mimba juu ikabidi waitoe wakaendelea na maisha na huyo mume kakoma hamfanyii tena visa mkewe kwani ashajua ukisema cha nini mwenzio anasema nitakipata lini. So amwambie tu ukweli na kama jamaa kajirudi kiukweli aachane na huyo jamaa kiustaarabu ila amwambie ukweli na amwambie kabisa kwamba alikuwa anasomesha na watoto wako wakati umeelemea kwa kimada, Hiyo itakuwa dawa kubwa nyamayao wala huyo mume hatorudia tena kufanya huo ujinga wake
nitamueleza.....lakini Roya naomba nikuulize, kwa maana hiyo mume yeye ndio anaweza kuwa na mke na hawara bila usumbufu wowote? ni haki yake?
Haki yake ya asili.....ila hapa huzungumzii kulipiza...
mmmmm yaani this story looks so real....and like somebody said hapo juu hamna ndoa hapo....ni kwa ajili ya watoto hata umsamehe mtu...its now living for the kids. dawa yake huyo mume kaipatapata..serves him right, tell your friend to play her cards carefully. ama aombe talaka kabisa watoto si wanamjua baba yao? did they ever ask baba yuko wapi hiyo miaka miwili???
samahani kaka umeoa?.....ukatili huwa mnauanzasha nyie sie tunafanya kumalizia tu, imagine mume wako mpenzi umezaa nae watoto wawili wazuri anakuja kukutelekeza wewe na watoto bila huruma, unamuomba mkae chini akueleze bac tatizo limetokea wapi ili m solve mrudie ndoa yenu tamu inakuwa ugomvi na akitoka hapo harudi home week nzima, na akija ni anachukua nguo wenye begi za kurudi kwa hawara...wewe wewe wacha kabisa....mkilianzisha mjue kulimalizia....hiyi nyumba aliyonjengea hawara na biznec kubwa aliyomfungulia ambayo niliishuhudia mie pia, nilifanya kwenda hapo kumjua huyo hawara mwenye kumtesa rafiki yangu kihivyo, vyote hivyo angewekeza kwenye familia yake mambo yangekuwa matamu zaid i kuliko majuto anayoyapata sasa hivi.
Nyamayao:
Kati yao wote hao hakuna aliyekwisha ambukizwa VVU?
- your friend
- your friend's man
- your friend's hawara
- your friend's hawara's wife
- your friend's hawala's wife' hawara
and the list goes on!
Kama yupo basi waendelee - Sinza Makaburi yanaonekana kujaa, Kisutu nadhani pia yamejaa - Kinondoni kule chini watu washanunua - labda waje mitaa ya huku Bunju kushika nafasi ya makaburi mapema!:rip:
Nyamayao, huu msredi umeenda sana hata sijui kama kuna watu wameshakuuliza hili swali:
Huyo mfanyabiashara alikuwa anajua kama friend wako ni MKE WA MTU?
Hilo tu kwa sasa, mengine ntakuuliza badae.