Japo niridhike


Huyo anamsongo wa mawazo nyamayao wala asikushtue inawezekana na yeye anatoka nje ya ndoa sa sasa hv anawaza du kumbe nnavyofanyaga inawezekana kwa mke wangu kuna mtu anasabsidaiz eeeee we endelea kupokea maushuri uyachambue umpelekee shogako hili limewagusa wengi humu kwani wanaume wengi ndio zao so inabidi wajue kwamba ukitelekeza mke kijinga wajanja wanawahi
 


i beg 2 differ....Funza mke alikuwa hana akili ya kumkomoa mume kabisa, miaka miwili mume hajawahi kumgusa mke wake, mke kama binadamu jamani yakatokea yaliyotokea, sio kwamba mke alifanya hivyo kwa ajili ya pesa ya mfanyabiashara bali alifanya kwa ajili ya ammbo ya kimwili, baada ya mazoeano mke na mfanyabiashara wakawa na mapenzi moto moto, ndipo hapo alianza kumwandalia malengo yake ya baadae kama mume hatakuja kuishi tena nae/au mume akamtimua kwenye nyumba bac mke awe na option b ndio wakaafikiana kumjengea, akaona ampe na msaada wa kusomesha watoto/kutunza coz mume alikuwa hayatekelezi, ishu hapa ni kwamba mapenzi ya mfanyabiashara na mke yamenoga....kingine ni kwamba cdhani kama mume anaweza kusema mbele za watu kwamba amfanyabiashara kumwibia mke, kamwibiaje? alimshikia bastola akamchukua mke akakimbia nae? c mume mwenyewe ndio alimkimbia mke?.....haki ya nani mambo haya amgumu sana omba tu uyackie.
 

Kwa jinsi hali aliyonayo mwanaume sasa hivi hata kama akiomba talaka sidhani kama atakuwa yuko tayari kutoa, hivi nyamayao je na huyo mfanyabiashara ameoa ana watoto? Maana huu msala ulivyokaa umekaa vibaya kweli
 

Duh! Funza mke? Hivi kuna funza mke au funza jike?:doh::doh::doh:
 
Hivi ni wewe Nyamayao tumjuwae au tumebadilishiwa leo? Nyamayao nayemfahamu mkemea maovu wetu hapa hawezi kumuendekeza rafiki kama huyo.

jamani mie ctetei maovu hapa, nasema kitu halic, sasa huyu mke amwambia mume ukweli wake kitakachotokea nani anajua? bac c bora acmwambie tunusuru tucyoyajua?
 

Na kweli maana uchizi na wenyewe unaanzia kwenye haya mambo unadata kabisa
 
Kwa jinsi hali aliyonayo mwanaume sasa hivi hata kama akiomba talaka sidhani kama atakuwa yuko tayari kutoa, hivi nyamayao je na huyo mfanyabiashara ameoa ana watoto? Maana huu msala ulivyokaa umekaa vibaya kweli

ameoa...mke anafanya kazi nje ya nchi so kaamia na watoto huko.
 


Nyamayao hata kama haumsapoti huyo rafki yako angefanyaje katika situation kama ile? watoto hawana ada mume ndio kajenga makazi kwa hawala. Alijisacrifise kwa ajili ya watoto wake hapo alikuwa hana choice. Na niamini nakwambia huyo mume akiambiwa ukweli ndio yataisha tena kwa amani nakwambia hapo anataka tu apate ukweli kama mke wake alipata wa kumsaidia kipindi amemuacha na akijua ukweli hata kama alikua anaomba msamaha wa uongo nakwambia atajirekebisha kiukweli na hatokaa atafute hawara wa nje tena kwani atajua kumbe nikienda nje na mke wangu pia atatoka wote wataishi kwa uaminifu na upendo kwa sana kwani kila mtu atakuwa anajutia kosa lake.
 
Kwa jinsi hali aliyonayo mwanaume sasa hivi hata kama akiomba talaka sidhani kama atakuwa yuko tayari kutoa, hivi nyamayao je na huyo mfanyabiashara ameoa ana watoto? Maana huu msala ulivyokaa umekaa vibaya kweli

Kuoa au kuwa na watoto siyo big deal. Mwanaume anaweza na anaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za nchi kuoa mke zaidi ya mmoja. Concern yangu kubwa hapo ni je: Huyo mfanyabiashara alikuwa anajua rafiki yake nyamayao ni MKE WA MTU. Sijui kwanini nyamayao hataki kuniweka wazi hili..............
 

Tatizo hapo Nyamayao ni huyo bidada kulipiza kisasi!jamani kisasi kwenye ndoa kinauma kweli asikwambie mtu!hakutakiwa na yeye aende kwa huyo mfanyabiashara, eti kupata tulizo la moyo!BIG NO!
 
Labda Bunju B. Kuanzia Tegeta mpaka Bunju A viwanja vya bustani za kuotesha binadamu zimejaa!

Babu bwana itabidi tukusaidie mjukuu naona anapata shida sana akiwa na wewe
 

I guess atakuwa anajua hebu Nyamayao yuko wapi atuwekee straight kwenye hili
 
Tatizo hapo Nyamayao ni huyo bidada kulipiza kisasi!jamani kisasi kwenye ndoa kinauma kweli asikwambie mtu!hakutakiwa na yeye aende kwa huyo mfanyabiashara, eti kupata tulizo la moyo!BIG NO!

Hapo kwenye bold... ina maana kama angepata mtu wakati mumewe hakuwa na mtu, kosa lingekuwa dogo? Ina maana kisasi ndio dhambi?
 
Naheshimu kabisa mawazo yako NY,
Nilitaka kujua, huyu mfadhili warafikio ana mke/familia? Kama anaye basi hapo ni shughuli pevu!



Asprin...mfanyabiashara anajua hilo toka hata hawajaanza kumtongoza ni watu waliokuwa wanakutana church, town, yaani wanafahamiana ile ya kusema huyu ni mke wa jamaa fulani hivi anafanyakazi mahali fulani, cjui naeleweka?sio ile fahamiana ya ukaribu sana ntaweza kusema ile ya kuonana mara kwa mara town, walivyokubaliana kuanzisha uhusiano bac ndio wakajuana ki undani na mfanyabiashara akapata moyo wa kumsadia mdada.
 
SIO RAHISI KWA HUYU MDADA KUACHANA NA HUYU MFANYA BIASHARA,iana vyoonekana hata kama ataficha siri bado wataendelea tu kula tunda,mimi nadhani ni bora tu awe muwazi kama jinsi alivyokuwa muwazi mmee wake.hapo kila mmoja anamakaosa hivyo sioni kama kutakuwa na sababu ya mwanamme kumchukia mke wake wakati alimwacha yeyemwenyewe.
Ni ukweli tu ndio utakao waweka huru wao wote na kurudia maisha yao ya zamani,lakini kama atamficha hiyo familia haitakuwa na Amani kamwe.
 

Kosa kubwa alofanya ni kulipa kisasi kwa ubaya wa mumewe hata hivyo maji yashamwagika kinachotakiwa asimwambie mumewe kilichokuwa kinaendelea ila amtimue huyo mfanyabiashara na asionane naye tena..arudishe majeshi yote kwa mumewe. halooooooo
 

Mtu wa hivyo nyamayao asipoambiwa cku akija gundua ndio itakuwa mbaya zaidi amwambie sasa wakati hata mwanaume anajiona ana makosa akija kugundua wakati ameshasahau kwamba na yeye alikosea ndio itakuwa balaa zaidi. Mimi huyo mume wa rafiki yangu ni mkorofi balaaa ninaposema mkorofi cjui kama unanielewa hata mimi nilijua akimwambia ukweli basi aweza tolewa roho lakini huwezi amini alivyoona na kuambiwa ndio mwanaume alijisikia vibaya lakini alijua kwamba yeye ndio alisababisha hayo yote so maisha yakaendelea. Huyo mume anataka aambiwe ukweli na mwanamke na mkewe atubu na kuachana na huyo jamaa na umshauri huyo rafiki yako hata kama huyo jamaa amemfanyia nini aachane nae tu na naamini huyo mfanyabiashara ni muelewa atakubaliana na huyo shoga yako hasa akishajua kwamba mumewe anajua kwamba alikua anammegea mkewe
 

Swali ambalo linaniijia kichwani ni Je, Huyu dada yuko tayari kuachana na huyo mfanyabiashara? Na Je? Huyo mfanyabiashara naye yuko tayari kuachana na huyu dada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…