Japo niridhike

Japo niridhike

kaka samahani, kama unaona huwezi kuelekezana na mie kwa ustaarabu unaweza kuacha kuniuliza lolote, naomba ucnitibue tafadhali, nimekuuliza kwa uzuri tu na cjasema nimeleta mada hapa ili wachangie waliooa bali nilitanguliza na samahani nikakuuliza kama umeona kama ulikuwa huweizi jibu kistaarabu ungenyamaza...plz ucniharibie cku....mambo ya kuona mbingu wewe umeshaioa? na kama umeiona ki mapngo wako niache mie na yangu..alaa.

Huyo anamsongo wa mawazo nyamayao wala asikushtue inawezekana na yeye anatoka nje ya ndoa sa sasa hv anawaza du kumbe nnavyofanyaga inawezekana kwa mke wangu kuna mtu anasabsidaiz eeeee we endelea kupokea maushuri uyachambue umpelekee shogako hili limewagusa wengi humu kwani wanaume wengi ndio zao so inabidi wajue kwamba ukitelekeza mke kijinga wajanja wanawahi
 
huyo mume ana kitu moyoni kwake na si kizuri nakwambia kuna msemo unasema "mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu" ndio una-apply hapo huyo jamaa ameachana na hawara anategemea mke wake atafanya hivyo ili maisha yaende vizuri lakini inaposhindikana kwa sababu ya mtu ni tatizo

i'm telling u Nyamayao najua unaongea kama unaona huyo jamaa amekomolewa ila angalia kwa upana sana ilo ni tatizo kubwa sana, mshauri rafiki yako either aachane na huyo mfanyabiashara au aombe talaka zaidi ya hapo kuna mmoja ktk hao wadau ataonja mauti kutokana na ilo tatizo

Materials si kitu ktk maisha huyo dada najua amefuata zaidi hela na mtu usitumie fedha kumnyanyasa m/ume mwenzio kwa kumchukua mkewe na kumjengea na kumnunulia magari na kulipa ada na matumizi mengine. Kumbuka huyo dada anamkomoa mmewe au ilikuwa ni njia ya kujitoa kwenye mateso ya ndoa ila kwa huyo mfanyabiashara na kwamba anaiba mke wa mtu tena kwa kutumia uwezo wake kifedha
. Kwa m/ume yoyote hiyo ni dharirisho kubwa sana ndio maana naona hapo hakuna ndoa tena. Fikikria kwa mapana sana utaona tatizo kubwa lililopo hapo ndani na hicho kitendo cha mme kwenda na mkewe sehemu mfanyabiashara alipo ni dalili mbaya kuwa kuna mitego inawekwa ambayo siku ikipata prove im telling utaudhuria msiba. Najua kabisa jinsi w/ume wasivyo na moyo wa kuvumilia

Najua utasema kuwa mbona yeye alimfanyia mabaya mkewe lakini "two wrongs does not make it right" hivyo naona mwisho mbaya sana hapa na huyo mdada amefanya kosa kwa kulipiza kosa kwa kosa ambapo sasa mwenzake ametubu na kosa limebaki kwake

Huu uhusiano unatakiwa usitishwe kabisa au lah wahame huo mji na hiyo nyumba aliyojengewa huyo mama waiuze au wamrudishie huyo mfanyabiashara na je huyo mfanyabiashara ana mke? huoni kuwa mnazidi kuongeza tatizo kwenye familia nyingine ambayo nayo inaweza ikaleta tatizo jipya kama hili

Hii ni laana ya zinaa aaaagh what kind of life is this? ikinitokea mimi naua mtu i swear


i beg 2 differ....Funza mke alikuwa hana akili ya kumkomoa mume kabisa, miaka miwili mume hajawahi kumgusa mke wake, mke kama binadamu jamani yakatokea yaliyotokea, sio kwamba mke alifanya hivyo kwa ajili ya pesa ya mfanyabiashara bali alifanya kwa ajili ya ammbo ya kimwili, baada ya mazoeano mke na mfanyabiashara wakawa na mapenzi moto moto, ndipo hapo alianza kumwandalia malengo yake ya baadae kama mume hatakuja kuishi tena nae/au mume akamtimua kwenye nyumba bac mke awe na option b ndio wakaafikiana kumjengea, akaona ampe na msaada wa kusomesha watoto/kutunza coz mume alikuwa hayatekelezi, ishu hapa ni kwamba mapenzi ya mfanyabiashara na mke yamenoga....kingine ni kwamba cdhani kama mume anaweza kusema mbele za watu kwamba amfanyabiashara kumwibia mke, kamwibiaje? alimshikia bastola akamchukua mke akakimbia nae? c mume mwenyewe ndio alimkimbia mke?.....haki ya nani mambo haya amgumu sana omba tu uyackie.
 
ooh yeah....sema mama alikuwa anawadanganya ady anasafiri coz c alikuwa anakujaga labda mara moja kwa wiki au mara moja kwa week mbili, bac mama alikuwa anawaambia dady yupo safari nje ya nchi ili wacmwambie amcal waongee nae, walikuwa wanam mic day wao sana, lakini dady ndio hivyo tena.....mie nawauliza akiomba talaka na hili vuguvugu lililopo haita leta shida jumla? yaani huyu mume atoe talaka tu ili hali inajua mke wake ameshamsamehe? mke aanzie wapi kuomba talaka?

Kwa jinsi hali aliyonayo mwanaume sasa hivi hata kama akiomba talaka sidhani kama atakuwa yuko tayari kutoa, hivi nyamayao je na huyo mfanyabiashara ameoa ana watoto? Maana huu msala ulivyokaa umekaa vibaya kweli
 
i beg 2 differ....Funza mke alikuwa hana akili ya kumkomoa mume kabisa, miaka miwili mume hajawahi kumgusa mke wake, mke kama binadamu jamani yakatokea yaliyotokea, sio kwamba mke alifanya hivyo kwa ajili ya pesa ya mfanyabiashara bali alifanya kwa ajili ya ammbo ya kimwili, baada ya mazoeano mke na mfanyabiashara wakawa na mapenzi moto moto, ndipo hapo alianza kumwandalia malengo yake ya baadae kama mume hatakuja kuishi tena nae/au mume akamtimua kwenye nyumba bac mke awe na option b ndio wakaafikiana kumjengea, akaona ampe na msaada wa kusomesha watoto/kutunza coz mume alikuwa hayatekelezi, ishu hapa ni kwamba mapenzi ya mfanyabiashara na mke yamenoga....kingine ni kwamba cdhani kama mume anaweza kusema mbele za watu kwamba amfanyabiashara kumwibia mke, kamwibiaje? alimshikia bastola akamchukua mke akakimbia nae? c mume mwenyewe ndio alimkimbia mke?.....haki ya nani mambo haya amgumu sana omba tu uyackie.

Duh! Funza mke? Hivi kuna funza mke au funza jike?:doh::doh::doh:
 
Hivi ni wewe Nyamayao tumjuwae au tumebadilishiwa leo? Nyamayao nayemfahamu mkemea maovu wetu hapa hawezi kumuendekeza rafiki kama huyo.

jamani mie ctetei maovu hapa, nasema kitu halic, sasa huyu mke amwambia mume ukweli wake kitakachotokea nani anajua? bac c bora acmwambie tunusuru tucyoyajua?
 
i beg 2 differ....Funza mke alikuwa hana akili ya kumkomoa mume kabisa, miaka miwili mume hajawahi kumgusa mke wake, mke kama binadamu jamani yakatokea yaliyotokea, sio kwamba mke alifanya hivyo kwa ajili ya pesa ya mfanyabiashara bali alifanya kwa ajili ya ammbo ya kimwili, baada ya mazoeano mke na mfanyabiashara wakawa na mapenzi moto moto, ndipo hapo alianza kumwandalia malengo yake ya baadae kama mume hatakuja kuishi tena nae/au mume akamtimua kwenye nyumba bac mke awe na option b ndio wakaafikiana kumjengea, akaona ampe na msaada wa kusomesha watoto/kutunza coz mume alikuwa hayatekelezi, ishu hapa ni kwamba mapenzi ya mfanyabiashara na mke yamenoga....kingine ni kwamba cdhani kama mume anaweza kusema mbele za watu kwamba amfanyabiashara kumwibia mke, kamwibiaje? alimshikia bastola akamchukua mke akakimbia nae? c mume mwenyewe ndio alimkimbia mke?.....haki ya nani mambo haya amgumu sana omba tu uyackie.

Na kweli maana uchizi na wenyewe unaanzia kwenye haya mambo unadata kabisa
 
Kwa jinsi hali aliyonayo mwanaume sasa hivi hata kama akiomba talaka sidhani kama atakuwa yuko tayari kutoa, hivi nyamayao je na huyo mfanyabiashara ameoa ana watoto? Maana huu msala ulivyokaa umekaa vibaya kweli

ameoa...mke anafanya kazi nje ya nchi so kaamia na watoto huko.
 
unaju mie cmsapoti my frnd kwamba kafanya kitendo kizuri, mie nipo 50-50 hapa tena nawezasema lawama nitazitanguliza kwa mume ndio alisababisha yote haya, kama yeye acngefanya alichofanya haya yote yangetokea wapi?...nani ana hakika kama kweli huyu mume ataichukulia hii hali ya kikawaida/kirahc? mfanyabiashara ana network kubwa mjini, mume aifanya hata kutaka kumuuliza mfanyabiashara lolote litaleta shida kubwa, ndio mana anataka ku deal na mke wake, nani anajua mume akishaambiwa atamfanyaje mke wake?


Nyamayao hata kama haumsapoti huyo rafki yako angefanyaje katika situation kama ile? watoto hawana ada mume ndio kajenga makazi kwa hawala. Alijisacrifise kwa ajili ya watoto wake hapo alikuwa hana choice. Na niamini nakwambia huyo mume akiambiwa ukweli ndio yataisha tena kwa amani nakwambia hapo anataka tu apate ukweli kama mke wake alipata wa kumsaidia kipindi amemuacha na akijua ukweli hata kama alikua anaomba msamaha wa uongo nakwambia atajirekebisha kiukweli na hatokaa atafute hawara wa nje tena kwani atajua kumbe nikienda nje na mke wangu pia atatoka wote wataishi kwa uaminifu na upendo kwa sana kwani kila mtu atakuwa anajutia kosa lake.
 
Kwa jinsi hali aliyonayo mwanaume sasa hivi hata kama akiomba talaka sidhani kama atakuwa yuko tayari kutoa, hivi nyamayao je na huyo mfanyabiashara ameoa ana watoto? Maana huu msala ulivyokaa umekaa vibaya kweli

Kuoa au kuwa na watoto siyo big deal. Mwanaume anaweza na anaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za nchi kuoa mke zaidi ya mmoja. Concern yangu kubwa hapo ni je: Huyo mfanyabiashara alikuwa anajua rafiki yake nyamayao ni MKE WA MTU. Sijui kwanini nyamayao hataki kuniweka wazi hili..............
 
i beg 2 differ....Funza mke alikuwa hana akili ya kumkomoa mume kabisa, miaka miwili mume hajawahi kumgusa mke wake, mke kama binadamu jamani yakatokea yaliyotokea, sio kwamba mke alifanya hivyo kwa ajili ya pesa ya mfanyabiashara bali alifanya kwa ajili ya ammbo ya kimwili, baada ya mazoeano mke na mfanyabiashara wakawa na mapenzi moto moto, ndipo hapo alianza kumwandalia malengo yake ya baadae kama mume hatakuja kuishi tena nae/au mume akamtimua kwenye nyumba bac mke awe na option b ndio wakaafikiana kumjengea, akaona ampe na msaada wa kusomesha watoto/kutunza coz mume alikuwa hayatekelezi, ishu hapa ni kwamba mapenzi ya mfanyabiashara na mke yamenoga....kingine ni kwamba cdhani kama mume anaweza kusema mbele za watu kwamba amfanyabiashara kumwibia mke, kamwibiaje? alimshikia bastola akamchukua mke akakimbia nae? c mume mwenyewe ndio alimkimbia mke?.....haki ya nani mambo haya amgumu sana omba tu uyackie.

Tatizo hapo Nyamayao ni huyo bidada kulipiza kisasi!jamani kisasi kwenye ndoa kinauma kweli asikwambie mtu!hakutakiwa na yeye aende kwa huyo mfanyabiashara, eti kupata tulizo la moyo!BIG NO!
 
Kuoa au kuwa na watoto siyo big deal. Mwanaume anaweza na anaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za nchi kuoa mke zaidi ya mmoja. Concern yangu kubwa hapo ni je: Huyo mfanyabiashara alikuwa anajua rafiki yake nyamayao ni MKE WA MTU. Sijui kwanini nyamayao hataki kuniweka wazi hili..............

I guess atakuwa anajua hebu Nyamayao yuko wapi atuwekee straight kwenye hili
 
Tatizo hapo Nyamayao ni huyo bidada kulipiza kisasi!jamani kisasi kwenye ndoa kinauma kweli asikwambie mtu!hakutakiwa na yeye aende kwa huyo mfanyabiashara, eti kupata tulizo la moyo!BIG NO!

Hapo kwenye bold... ina maana kama angepata mtu wakati mumewe hakuwa na mtu, kosa lingekuwa dogo? Ina maana kisasi ndio dhambi?
 
Naheshimu kabisa mawazo yako NY,
Nilitaka kujua, huyu mfadhili warafikio ana mke/familia? Kama anaye basi hapo ni shughuli pevu!



Asprin...mfanyabiashara anajua hilo toka hata hawajaanza kumtongoza ni watu waliokuwa wanakutana church, town, yaani wanafahamiana ile ya kusema huyu ni mke wa jamaa fulani hivi anafanyakazi mahali fulani, cjui naeleweka?sio ile fahamiana ya ukaribu sana ntaweza kusema ile ya kuonana mara kwa mara town, walivyokubaliana kuanzisha uhusiano bac ndio wakajuana ki undani na mfanyabiashara akapata moyo wa kumsadia mdada.
 
SIO RAHISI KWA HUYU MDADA KUACHANA NA HUYU MFANYA BIASHARA,iana vyoonekana hata kama ataficha siri bado wataendelea tu kula tunda,mimi nadhani ni bora tu awe muwazi kama jinsi alivyokuwa muwazi mmee wake.hapo kila mmoja anamakaosa hivyo sioni kama kutakuwa na sababu ya mwanamme kumchukia mke wake wakati alimwacha yeyemwenyewe.
Ni ukweli tu ndio utakao waweka huru wao wote na kurudia maisha yao ya zamani,lakini kama atamficha hiyo familia haitakuwa na Amani kamwe.
Tena mwambie asije akathubutu kumbwambia jamaa ukweli ni kosa kubwa sana. Akae kimya tu atafute njia ya kuweza kuachana na mfanyabiashara maana kama mumewe kajirekebisha basi amsamehe sababu wanaume ndivo walivyo. Ila kucheki HIV muhimu asije akawa kamletea maradhi bure.
 
ni rafiki yangu kipenzi sana, alikuwa na matatizo ya kumtosha na mume wake, mume alipata hawara akamfanya kama mke wa pili, kamjengea, kamfungulia biashara nzuri, yaani ni kama mke mdogo, wamezaa na mtoto 1, kipindi hicho my frnd alisota sana kwenye ndoa, manyanyaso yote aliyapata, mume aamua acje nyumbani hata week nzima yupo kwa huyo hawara, mume alifanya vituko vya kutosha, my frnd ktk kutaka kujifariji alitokea mfanyabiashara mmoja wakapendana, pendo limekuwa pendo. my frnd kasahau kama alikuwa kwenye matatizo ya ndoa, ndani ilikuwa kila mtu anakuja kwa ajili ya kulaza ubavu tu, mwanamke hakuwahi kuonyesha kama ana uhusiano nje, cku ya cku mume akamfumania huyo hawara yake yupo na mwanaume mwingine kwenye nyumba aliyomjengea yeye na kumuwekea kila kitu ndani, kasheshe likawa kasheshe, mume akaamua kwenda kufanya DNA ya mtoto aliezaa na hawara akakuta sio wake, kasheshe likaongezeka....alivyoona hivyo alirudi kwa mkewe na kumuomba msamaha wa kutosha na kumuelezea kila kitu kilichotokea kwa hawara...mke kaamua kumsamehe na kwa maelezo ya mke ni kwamba amejirekebisha sana, ishu ya sasa ni mke na mfanyabiashara, mfanyabiashara nae huku amemjengea mke nyumba nzuri, juzi juzi kambadilishia gari nzuri anawasomesha watoto wa my frnd tangu mume alivyotekwa huko alikuwa hajui watoto wanalipiwaje ada au wanakulaje hapo nyumbani, ni kama ndio aligeuka baba mzazi wa watoto..... mume amekuja dokezwa kwamba mke ana uhusiano na mtu fulani, mume amepeleleza vya kutosha lakini hajapata ushahidi, ni jana jioni mume kamtoa mke wake outing na kumuomba mpaka kumpigia magoti na machozi juu kwamba "japo aridhike" tu amwambie ukweli ili wawewze ku solve kikamilifu matatizo yao waaanze maisha mapya, hawakufikia muafaka coz mke aliendelea kukana,ni asubuhi hii kanical kunipa hii ishu ya kwamba amweleze ukweli au aendelee kukana? mie nilimuuliza tu kama bado anaihitaji hiyo ndoa? alinijibu bado anahiitaji, kwa ushauri wangu nilimwambia kama unahiitaji uckae ukasema ukweli, endelea kukana hivyo hivyo, ni leo maongezi yao yataedelea, wewe kama wewe ungemshaurije huyu dada?

Kosa kubwa alofanya ni kulipa kisasi kwa ubaya wa mumewe hata hivyo maji yashamwagika kinachotakiwa asimwambie mumewe kilichokuwa kinaendelea ila amtimue huyo mfanyabiashara na asionane naye tena..arudishe majeshi yote kwa mumewe. halooooooo
 
nimekuelewa maty, lakini kwa tunavyomjua mume nina mashaka kama atalichukulia hili suala ki rahic hivyo, mie nimehic na nimemshirikisha frnd wangu labda jamaa anataka kupata uhakika kutoka kwake na kitachofata mungu anajua, na hofu kubwa ni kwamba mfanyabiashara ana mtandao wa kutosha yacjetokea ambayo hatukutegemea chini ya jua, aambiwe kabisa na watoto anawasomesha/watunza ? jamani Maty...unajua kingine huyu frnd wangu ni very smart,hakujisahau/bweteke kwa miaka yote miwili, watoto hawamjui huyo mfanyabiashara, hata hawajawahi kuona sura yake, lakini mfanyabiashara anawajua watoto vzr, mama anatoka outing na watoto wanafurahia maisha mfanyabiashara anakamilisha kila kitu wanajiondokea, mume amewahoji watoto mpaka kawatishia sana watoto wamesema ukweli wao hawajawahi kumuona mtu baki ndani....mume anazidi kuwa njia panda.

Mtu wa hivyo nyamayao asipoambiwa cku akija gundua ndio itakuwa mbaya zaidi amwambie sasa wakati hata mwanaume anajiona ana makosa akija kugundua wakati ameshasahau kwamba na yeye alikosea ndio itakuwa balaa zaidi. Mimi huyo mume wa rafiki yangu ni mkorofi balaaa ninaposema mkorofi cjui kama unanielewa hata mimi nilijua akimwambia ukweli basi aweza tolewa roho lakini huwezi amini alivyoona na kuambiwa ndio mwanaume alijisikia vibaya lakini alijua kwamba yeye ndio alisababisha hayo yote so maisha yakaendelea. Huyo mume anataka aambiwe ukweli na mwanamke na mkewe atubu na kuachana na huyo jamaa na umshauri huyo rafiki yako hata kama huyo jamaa amemfanyia nini aachane nae tu na naamini huyo mfanyabiashara ni muelewa atakubaliana na huyo shoga yako hasa akishajua kwamba mumewe anajua kwamba alikua anammegea mkewe
 
Asprin...mfanyabiashara anajua hilo toka hata hawajaanza kumtongoza ni watu waliokuwa wanakutana church, town, yaani wanafahamiana ile ya kusema huyu ni mke wa jamaa fulani hivi anafanyakazi mahali fulani, cjui naeleweka?sio ile fahamiana ya ukaribu sana ntaweza kusema ile ya kuonana mara kwa mara town, walivyokubaliana kuanzisha uhusiano bac ndio wakajuana ki undani na mfanyabiashara akapata moyo wa kumsadia mdada.

Swali ambalo linaniijia kichwani ni Je, Huyu dada yuko tayari kuachana na huyo mfanyabiashara? Na Je? Huyo mfanyabiashara naye yuko tayari kuachana na huyu dada?
 
Back
Top Bottom