Kosa kubwa alofanya ni kulipa kisasi kwa ubaya wa mumewe hata hivyo maji yashamwagika kinachotakiwa asimwambie mumewe kilichokuwa kinaendelea ila amtimue huyo mfanyabiashara na asionane naye tena..arudishe majeshi yote kwa mumewe. halooooooo
Nyamayao:
Kati yao wote hao hakuna aliyekwisha ambukizwa VVU?
- your friend
- your friend's man
- your friend's hawara
- your friend's hawara's wife
- your friend's hawala's wife' hawara
and the list goes on!
Kama yupo basi waendelee - Sinza Makaburi yanaonekana kujaa, Kisutu nadhani pia yamejaa - Kinondoni kule chini watu washanunua - labda waje mitaa ya huku Bunju kushika nafasi ya makaburi mapema!:rip:
Kosa kubwa alofanya ni kulipa kisasi kwa ubaya wa mumewe hata hivyo maji yashamwagika kinachotakiwa asimwambie mumewe kilichokuwa kinaendelea ila amtimue huyo mfanyabiashara na asionane naye tena..arudishe majeshi yote kwa mumewe. halooooooo
kwa maelezo ya my frnd....alivyoona mume kahamia kwa hawara aliamua kwenda ku check afya yake akawa yupo fit, alipoanza uhusiano ya mfanyabiashara walianza kwa kutumia kinga waliponogewa walitaka live, walikubaliana kupima wakajikuta wazima, mume alivyorudi home mke alimpa sharti la kufanya nae mapenzi bila kinga mpaka wapime angalau mara mbili,mara ya kwanza walikutwa wote wazima......
Hapo kwenye bold... ina maana kama angepata mtu wakati mumewe hakuwa na mtu, kosa lingekuwa dogo? Ina maana kisasi ndio dhambi?
:ranger::ranger::ranger::ranger:
Asprin...mfanyabiashara anajua hilo toka hata hawajaanza kumtongoza ni watu waliokuwa wanakutana church, town, yaani wanafahamiana ile ya kusema huyu ni mke wa jamaa fulani hivi anafanyakazi mahali fulani, cjui naeleweka?sio ile fahamiana ya ukaribu sana ntaweza kusema ile ya kuonana mara kwa mara town, walivyokubaliana kuanzisha uhusiano bac ndio wakajuana ki undani na mfanyabiashara akapata moyo wa kumsadia mdada.
Tatizo hapo Nyamayao ni huyo bidada kulipiza kisasi!jamani kisasi kwenye ndoa kinauma kweli asikwambie mtu!hakutakiwa na yeye aende kwa huyo mfanyabiashara, eti kupata tulizo la moyo!BIG NO!
Tatizo hapo Nyamayao ni huyo bidada kulipiza kisasi!jamani kisasi kwenye ndoa kinauma kweli asikwambie mtu!hakutakiwa na yeye aende kwa huyo mfanyabiashara, eti kupata tulizo la moyo!BIG NO!
Kosa kubwa alofanya ni kulipa kisasi kwa ubaya wa mumewe hata hivyo maji yashamwagika kinachotakiwa asimwambie mumewe kilichokuwa kinaendelea ila amtimue huyo mfanyabiashara na asionane naye tena..arudishe majeshi yote kwa mumewe. halooooooo
Swali ambalo linaniijia kichwani ni Je, Huyu dada yuko tayari kuachana na huyo mfanyabiashara? Na Je? Huyo mfanyabiashara naye yuko tayari kuachana na huyu dada?
Hapo kwenye blue...Hawa wazinzi wanaenda kufanya nini kanisani? Mbona wanataka Mungu aingiwe na ile hasira yake ya zamani?
Ila huyo mwanaume hana akili timamu kichwani. Inakuwaje unajua huyu ni mke wa mtu ukafanya yote aliyoyafanya? Kumegana, sawa, yaweza kuwa tamaa ya miili. Lakini ndio mpaka umnunulie gari, tena umbadilishie kabisa? Umjengee nyumba? Yani unaweka ushahidi kwenye mahusiano na mke wa mtu? Huyu mfanyabiashara si chizi? Hivi huyu mama akiamua kurudiana na mume wake, huyu chizi mfanya biashara atadai gari na nyumba yake?
Nyamayao darling...mshauri rafiki yako amrudie mume wake. Aftaroo wote wametoka nje ya ndoa. Ni rahisi kusameheana na kusahau na kuendelea na maisha. Tayari wana faida ya gari na nyumba, Mungu awape nini.
Afu niPM nikupe namba za mama Matesha umpe mfanyabiashara aje animegee, amjengee nyumba na kumnunulia gari. Hilo kwangu halina shida, ili mradi haondoki na kikojolea cha mama Matesha wangu. Ila ajue akishamaliza kujenga, anatakiwa a-keep distance kabla sijaigeuza sura yake kuwa bucha la kitimoto!
Hapo kwenye blue...Hawa wazinzi wanaenda kufanya nini kanisani? Mbona wanataka Mungu aingiwe na ile hasira yake ya zamani?
Ila huyo mwanaume hana akili timamu kichwani. Inakuwaje unajua huyu ni mke wa mtu ukafanya yote aliyoyafanya? Kumegana, sawa, yaweza kuwa tamaa ya miili. Lakini ndio mpaka umnunulie gari, tena umbadilishie kabisa? Umjengee nyumba? Yani unaweka ushahidi kwenye mahusiano na mke wa mtu? Huyu mfanyabiashara si chizi? Hivi huyu mama akiamua kurudiana na mume wake, huyu chizi mfanya biashara atadai gari na nyumba yake?
Nyamayao darling...mshauri rafiki yako amrudie mume wake. Aftaroo wote wametoka nje ya ndoa. Ni rahisi kusameheana na kusahau na kuendelea na maisha. Tayari wana faida ya gari na nyumba, Mungu awape nini.
Afu niPM nikupe namba za mama Matesha umpe mfanyabiashara aje animegee, amjengee nyumba na kumnunulia gari. Hilo kwangu halina shida, ili mradi haondoki na kikojolea cha mama Matesha wangu. Ila ajue akishamaliza kujenga, anatakiwa a-keep distance kabla sijaigeuza sura yake kuwa bucha la kitimoto!
SIO RAHISI KWA HUYU MDADA KUACHANA NA HUYU MFANYA BIASHARA,iana vyoonekana hata kama ataficha siri bado wataendelea tu kula tunda,mimi nadhani ni bora tu awe muwazi kama jinsi alivyokuwa muwazi mmee wake.hapo kila mmoja anamakaosa hivyo sioni kama kutakuwa na sababu ya mwanamme kumchukia mke wake wakati alimwacha yeyemwenyewe.
Ni ukweli tu ndio utakao waweka huru wao wote na kurudia maisha yao ya zamani,lakini kama atamficha hiyo familia haitakuwa na Amani kamwe.
we una uhakikia sio mzinzi na hauendi church kwani dhambi ni uzinzi tu?