Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?


Kwa nini Ishmael alifukuzwa kama ni kweli unachoongea?

Kwa nini Ishmael hakurithi mali ikiwa ni mzaliwa wa kwanza?
 
Hebu soma kisa cha Penina na Hana, Hana akiwa mke mkubwa na Penina mke mdogo

1samwel 1:1-21 halafu uje tena tuelewane
 
Ibrahim hahusiani chochote na ukiristo,hakuwa mkiristo, wakiristo wao Imani yao inatoka na yesu ambaye kwao ni Mungu na mwana wa Mungu pia, Mungu wa Ibrahim alikua mmoja tu,Hana mwana Wala hakuzaliwa Kama ilivyo Imani ya kiyahudi
 
ununuzi ulikuwa na time limit, na time ikiisha alikuwa na uhuru wa kuondoka ama kuendelea kubaki, maana malipo yake si wanakuwa wamepewa wazazi wake, housegirl wa sasa hela wanapewa wenyewe
Usilazimishe utakavyo wewe,huyo kijakazi anaingia kwenye kundi la 'inayomiliki mikononi yenu ya kuume' katika Quran,ambapo ni vijakazi na mateka wa Vita,Hawa huhitaji process za ndoa ya kawaida,wakikuvutia ni kupiga mbuzi na huhesabiki Kama umezini, kijakazi ilikua mpaka ajikomboe/akombolewe kwa kulipiwa gharama atakazotaja mmiliki
 
Mkuu
Kitu muhimu ni tuutafute ukweli, Mungu hakuleta dini wale Yesu hakuleta dini!. Hoja hapa ni nani mkweli na nani muongo?. Mtoto aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinja ni nani?.
P
Mkuu, jikite kwenye Meditation tu, hizi dini mbili ni pasua kichwa.
 
Kwa nini Ishmael alifukuzwa kama ni kweli unachoongea?

Kwa nini Ishmael hakurithi mali ikiwa ni mzaliwa wa kwanza?
Ishmaeli alimzika Baba yake wakiwa na Isaka baba yao akiwa na miaka 175..

Kingine nani alisema Ishmael hakupewa Urithi??
Mwanzo 17:20


Vizazi kwenye Biblia huanza mkubwa kwenda mdogo na ndivyo ilivyofanyika..
 
Na
Ibrahim hahusiani chochote na ukiristo,hakuwa mkiristo, wakiristo wao Imani yao inatoka na yesu ambaye kwao ni Mungu na mwana wa Mungu pia, Mungu wa Ibrahim alikua mmoja tu,Hana mwana Wala hakuzaliwa Kama ilivyo Imani ya kiyahudi
Nani kasema Ibrahimu alikuwa Mkristo ?
Wewe inamanksweke ?
Naona leo unamkubali Mwanaharamu.
 
Kwa nini Ishmael alifukuzwa kama ni kweli unachoongea?

Kwa nini Ishmael hakurithi mali ikiwa ni mzaliwa wa kwanza?
Bado unataka tutumie kitabu kilichoandikwa na wayahudi wasiompenda mwarabu Ishmael,ndugu yao ambaye upendeleo ungehamia kwake baadae.
Katika ahadi zinazodaiwa ni kuwa za Mungu kwa Wana wa Ibrahim imeandikwa kwamba uzao wa isaka utazidi maradufu na kuwa mkubwa,Sasa kati ya waarabu/Ishmael na waisraeli/wepi wamezidi maradufu?!..ndiyo uanng'amua uhuni wa kubadili majina na story kwenye vitabu vya kiyahudi ambapo QUR'AN huita kutia mikononi,mchezo kongwe wa waisrael
 
Ibrahim hahusiani chochote na ukiristo,hakuwa mkiristo, wakiristo wao Imani yao inatoka na yesu ambaye kwao ni Mungu na mwana wa Mungu pia, Mungu wa Ibrahim alikua mmoja tu,Hana mwana Wala hakuzaliwa Kama ilivyo Imani ya kiyahudi
kwahiyo Ibrahimu alikuwa Muislamu?
 
mbona swali ni jepesi tu, kwa ushahidi wa maandiko ni nani alitakiwa kuchinjwa kati ya Isaka na Ishmael?
 
Sijaona kwenye Qur'an kuwa Ibrahim alikuwa na mtoto anitwa Ismail, au hayo ni mafundisho nje ya Qur'an?
 
Cc. DK Mambo Jambo. 🤣🤣💪
Nop Kumbe Hujanielewa Mimi Mkuu!
Am Just Reasoning Na sipo kumtetea Ishmael wala Isaka ninachosema ni kuwa..

Kote kote Ukiangalia Bado hii storry Doesnt add up bado ina lack audacity ya Kusema fulani au ni Nani hasa ndo alitolewa,.. Factually speaking..

Katika Quran story doesnt Cite a name na kwa wakristo story cite a name but Factually wrong..
 
kwahiyo Ibrahimu alikuwa Muislamu?
Kwa mujibu wa Quran yeah, uislam maana yake unyenyekevu kwa Mungu'
kwahiyo Ibrahimu alikuwa Muislamu?
Kuna pahala kwenye bible pameandikwa Ibrahim alikua mnyenyekevu kwa Mungu',Kama kumbukumbu zangu si chakavu,ambapo bible ya kiarabu itakua imeandika Ibrahim alikua muislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…