Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Mada inasema nani alitolewa sadaka.
Mimi nimesema kwa mujibu wa Biblia ni Isaka.
Kwa mujibu wa qurani ni Ishmaeli.
Sijui wewe unaongea nini tena. (Gen) 22:1
Ikawa baada ya mambo hayo Mungu alimjaribu Ibrahimu, akamwambia, Ee Ibrahimu! Naye akasema, Mimi hapa.
Mwanzo (Gen) 22:2
Akasema, Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.

Wewe soma qurani yako inatosha.
 
Haukuandika tu mtoto yupi alitaka kutolewa sadaka ila uliandika mengi sana yanayotokana na ujinga uliyojazwa kanisani nyinyi kudanganywa na kuami kuwa ni Isaka hilo ni juu yenu kwani mmedanganywa mangapi? Mmedanganywa Yesu ndio Mungu wenu na mmekubali tutashangaa hilo la Isaka kutolewa sadaka

Umeandika mengi mengine hata nikikuhiji itakuwa kama nakuonea tu jibu swali hili ndio rahisi kwako Ili ijujue kuwa wewe ni kilaza na Wazungu wamekufanya msukule wao


Mungu anamuahidi Ibrahim mtoto atakaye mrithi atatoka katika viuno vyake

Mwanzo 15:3
Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15:4
Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

Ibrahim anamuingilia Hajiri na Hajiri anapata mimba na hatimaye Ibrahim anapata mrithi wake naye ni Ishmael

Mwanzo 16:2
Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

Sasa wewe Ili usiwe mbumbu na msukule wa Wazungu toa andiko linalothibisha kuwa Isaka ametokana na viuno vya Ibrahim
 
Nilikua naitafuta sana ii coment, iv kwa akil ya kawaid jaman uwe din yoyote nabii mkubwa bab wa iman anazin vp apo ndo tunasem sku zote kun maandiko kwenye Bible yamechakachuliwa na ni uongo nabii awez kuzin,nabii awez kupgn na mungu,but ni sheria za muda uwoo ilikua halal
 
We msikilize Nabii wako Muhammadi inatosha
 
Ndugu yangu mwandishi mahiri. Kama sehemu ya jibu lako nakuzawadia kitabu kitabu hiki, kisome utafaidika sana.
 

Attachments

Tuiamini bible au encyclopaedia?
 
Mungu hujitambulisha kama Mungu wa Ibrahim ,Isaka na Yakobo
 
Ukristo na uislam ni dini mbili tofauti, zenye Miungu&maandiko tofauti, isipokuwa sehemu moja tu yaan uhalali wa maandiko yao.

Hao wote ni waongo, dini zote hizo zimeundwa tu kwa kucopy stories za zamani katika jamii ya waafrika na baadae kuunda hizo takataka ziitwazo dini.

Huyo Mungu wa hizo dini ni useless ndiomaana hana msaada wowote ktk jamii.

Acheni kubishania tamaduni za watu.
 
Hizo za binadam kuchinjwa binafsi natofautiana haa na Waislam, hakuna habari hiyo kwenye Qur'an, kilipachikwa tu hicho kisa kutokea nje ya Qur'an.
 
We msikilize Nabii wako Muhammadi inatosha

Mungu anamuahidi Ibrahim mtoto atakaye mrithi atatoka katika viuno vyake

Mwanzo 15:3
Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15:4
Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

Ibrahim anamuingilia Hajiri na Hajiri anapata mimba na hatimaye Ibrahim anapata mrithi wake naye ni Ishmael

Mwanzo 16:2
Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

Sasa wewe Ili usiwe mbumbu na msukule wa Wazungu toa andiko linalothibisha kuwa Isaka ametokana na viuno vya Ibrahim

kama hilo andiko hauna acha kuandika andika uongo kuhusu Uislam
 
Someni kwanza mjue sheria za miaka hiyo na ujue Ibrahim aliitwa baba wa imani. Baba wa imani anakuwaje mzinifu? Huko ni kumkosea heshima Ibrahim. Na si Biblia wala Quran iliyomtaja Ibrahim kuwa alikua mtu mwovu. Wewe mafundisho hayo umeyapata wapi?

Ni nyie pia mnaosema Muhammad was a pedophile......na hamjui nini was a custom katika jamii yao. Msidhani mnavyoishi leo ninyi ndivyo hivyo hivyo waliishi watu wa enzi.
 
Hizo za binadam kuchinjwa binafsi natofautiana haa na Waislam, hakuna habari hiyo kwenye Qur'an, kilipachikwa tu hicho kisa kutokea nje ya Qur'an.
Naomba utuelimishe kidogo kuhusu Quran Tukufu, una maanisha nini kusema "Hizo za binadam kuchinjwa binafsi natofautiana haa na Waislam, hakuna habari hiyo kwenye Qur'an, kilipachikwa tu hicho kisa kutokea nje ya Qur'an"?.

Kwako wewe Sikukuu ya Eid el Hajj yaani Iddi ya kuchinja, ina maana sio maelekezo ya Mola?. Kisa cha Nabii Ismail hakipo kwenye Qur'an Tukufu?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…