Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

Wapi imesemwa ni mtoto wa pekee wa Ibrahim na Sara?
Mwanzo 22:2

[2]Akasema, Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.
 
Kwa mujibu wa historia Ishmael na mama yake Hajir walikuwa wamekwisha fukuzwa kwenye nyumba ya Ibrahim Kwa maana hy mtoto wa pekee aliyekuwepo ni Isaka
Maandiko yenu yenyewe ndo yanasema Sara alikasirika kwa kuwa alimuona Ismail anamfanyia dhihaka Isaac ndo akaamuru wafukuzwe, sasa historia ipi hiyo inayoenda kinyume na maandiko yenu?
 
Mwanzo 22:2

[2]Akasema, Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.
Sasa anakuaje mwanawe wa pekee wakati yupo mkubwa wake? ... au kiswahili kimebadilika saivi kwamba pekee haimaanishi pekee tunayoijua?
 
Habari stormryder
Japo sikuzungumzia kuhusu Ibrahimu Kufika Makka/Bakka ila ninaweza kuwa nina majibu ya Huenda alifika Makka au Bakka..

Kwanza nitadeclare Interest:- Mimi sio Muislamu,Muarabu wala Mkristo..
Ila ni Mtu wa kuchunguza na Kuweka Fact mezani...


Kwanza kabisa katika Mapito ya Ibrahimu Alizaliwa Ur of the Chaldeans (Uru wa Wakaldayo) ambayo ilipatikana Mesopotamia..Ambayo kwa sasa inaitwa modern town of Tell el-Muqayyar in southern Iraq..
So naweza kusema Kuwa Ibrahimu Alizaliwa Iraq ambapo Ni Uarabuni..


(Soma Mwanzo 11:31-32)

Tuendelee.. Abrahimu Aliishi Shuri (Ambayo kwa Sasa Huitwa saudi Arabia au Macca na medina)

Mwanzo 20:1
"Ibrahimu akaondoka huko kwenda nchi ya kusini, akakaa kati ya Kadeshi na Shuri, naye akatembea katika Gerari."



Na Je Hajari na Mwanaye walikimbilia Wapi?

Mwanzo 16:7
"Malaika wa BWANA akamwona kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi iliyoko katika njia ya kuendea Shuri"

Je Hiyo Shuri Iko wapi kwa Sasa?
Jaribu kusoma Historia Utajua..
Wote Tunafahamu kuwa Shuri Ipo karibu na Bahari ya Shamu Humo ndyo Mlima sinai ulipo..(Kutoka 15:22)

Sasa Mlima sinai Upo wapi?

Wagalatia 4:25

"Maana Hajiri ni kama mlima Sinai ulioko Arabuni, umelingana na Yerusalemu wa sasa; kwa kuwa anatumika pamoja na watoto."

Sasa kwakuwa Sasa Tunajua kuwa Ibrahimu alikaa Shuri yaani Uarabuni....

Kwanini Sasa Tutaje makka.. Nifuatishe hapa Chini..

Zaburi 84:6-8 (Psalms)

"As they pass through the Valley of Baca, they make it a place of springs; the autumn rains also cover it with pools.
They go from strength to strength, every one of them in Zion appeareth before God.

O LORD God of hosts, hear my prayer: give ear, O God of Jacob. Selah."

Umeona valley of Baca/Bakka/Makka?
Sasa hao wanaoenda Makka/Bakka ni kina nani?

Najua unaweza ukashangaa ila Jina Jingine la Maca ni baca..
View attachment 3021297

Kama una swali Unaweza kuniuliza nitakujibu
Katika Historia ya Ibrahim alimpata Ishamil baada ya kufika Kaanani na si njiani, unakubalina na Hili?

Ibrahim Hadi Leo Waislam na Wakristo wote wanakubaliana kuwa Kaburi lake liko Hebron Israel?

Je unataka kusema Ibrahim alitembea kwenda Saudi Arabia kumtoa Sadaka mtoto wake?
 
hakuna kitu kama hicho labda unalazimisha ili ukubaliwe na jamii mkristo ni tofauti na muislamu na hawajawahi kuwa watoto wa baba mmjoja kamwe na haijawahi kuwa na haitakaa iwe na miungu yao ni tofaoti pia wala hailingani maana kila mmoja ameagizwa tofauti hivyo hawawezi kuwa na baba mmoja
Leta reference kukataa islam haitoki kwa Ismail ambaye n mtoto kutoka mgongo wa Ibrahim
 
Nimep
Aulizwe yeye mpotoshaji, msikilize vizuri "sheikh" aliyepewa kutafsiri, yeye kamsukumia "Ibn Kathir", anaelewa kuwa hapo kwenye aya hizo zilizosomwa halijatajwa jina la Ismail.

Hapo juu kidogo neno "sheikh" nimeliweka kwenye mabano kwa sababu naamini Sheikh wa kweli hawezi kuwa mpotoshaji na kupachika majina yasiyokuwepo kwenye aya zilizosomwa.

Hiyo ni tafsiri inayopogtosha na kubadilisha maana.
Nimependa unavyosema ukweli.
Vitabu vya dini ndio muongozo sahihi wa dini husika.
Mambo ya nani kasema nje ya hivyo vitabu hayana mashiko.
 
Sasa anakuaje mwanawe wa pekee wakati yupo mkubwa wake? ... au kiswahili kimebadilika saivi kwamba pekee haimaanishi pekee tunayoijua?
mtoto wa pekee ni mtoto wa ahadi aliahidiwa na Mungu, baada ya kuona ahadi inachelewa mke wake(Sarah) akamshauri mumewe alale house girl, kwahiyo kwenye ndoa ya Ibrahim na Sara mtoto pekee ni Isaka. Lakini pia Maandiko yanasema Ibrahimu alimpenda Isaka kuliko huyo Ishmail, ndo maana Mungu akamwambia amtoe yule ampendaye
 
Pindi ismael alipozaliwa yungali mchanga...Ibrahim aliamriwa na Mungu kuwa ahame na mkewe bi hajira ..wakafunga safari na akawaacha katika jangwa la makka kisha akaridi zake Palestine ambako alikuwepo mkewe Sarah.

Huu pia ulikuwa mtihani wa kiimani aliopewa Ibrahim . Aliomba sana kupata mtoto ila baada ya kupata mtoto tu akaamrishwa amuhamishe bi hajira na mwanawe ismael kwenda jangwani katika mji wa makka hali ya kuwa hakukuwa na mtu yeyote kipindi hiko. Akaawacha hapo,jua na kiu kikali wakiwa na chakula kidogo tu...kisha akageuza...Ila Mungu aliufanya mji ule kuwa mkubwa na watu wakakusanyika pale kufanya makazi mpaka leo hii.
Unaongea kinyume na Mafundisho yenu, according to Quran, Ibrahim alimfukuza Hajiri na wakaenda Kusini yeye akabaki na mke wake
 
Je amri ya kumtoa sadaka ilitoka akiwa wote wawili watoto wakiwepo wameshazaliwa?
 
Wewe tubaki kwenye kufanya UCHAWA kwenye siasa. Haya mabo ya dini waachie werevu.

Judaism ni dini ya Wayuda. Yuda ni mtoto wa Yakobo. Hivyo, UKWELI unabaki pale pale kwamba Ibrahimu hakuwa Myahudi.

Ibrahim ni Myahudi kwa dini.
Mwebrania kwa taifa kutoka uhuru wa ukaldayo.

Wewe mwerevu tuambie Dini ya Ibrahim ilikuwa Dini gani? Mungu wake aliitwa nani?
 
Biblia haijaandika hiyo miaka.
Una Uhakika Mkuu? (Soma mwanzo 13:25)
Lets Talk Facts..

Tuanze na Mwanzo 16:15-16
Screenshot_20240620_124254_Biblia Takatifu.jpg

Ibrahim/Abram alikuwa na Miaka 86 Alipomzaa Ishamael..

Baada ya Miaka 13 Mungu alifanya Agano na Abram agano la kwanza La kutahiriwa na kubadilishwa Jina kutoka Abram Kuwa Ibrahimu..

Mwanzo 17
Screenshot_20240620_124620_Biblia Takatifu.jpg


Wakati wa Agano hili na wakati watoto wote wakitahiriwa na watu wote wa Ibrahimu..
Ishmaili alikuwa Mtoto pekee wa Ibrahimu akiwa na miaka 13 na Isaka akiwa bado hajazaliwa..

Ibrahimu alimpenda Sana Ishamael na ndo maana alimuambia Mungu kuwa Anaomba Ambariki Ishmaili..

Hapa chini utapata uone Ombi la Ibrahimu kwa Mungu na ukisoma kwenye aya ya 23 utapata miaka ya Ishamael
Screenshot_20240620_125333_Biblia Takatifu.jpg


Kwahyo Ibrahimu alikuwa na Miaka 100 alipozaliwa Isaka hiyo inamaanisha Kuwa Ishmael alikuwa na Miaka 14
Screenshot_20240620_125917_Biblia Takatifu.jpg


Sasa lini Amri ya Kuchinjwa Ilifanyika.?

Katika Theolojia Wanatheolojia Baadhi wanakubaliana kwamba Ibrahimu alipata Amri ya Kumchinjwa mwanae akiwa na Miaka 100 yaani Ibrahimu akiwa na miaka 100..

Sasa Do the maths Kipindi Ibrahimu akiwa Na miaka 100 Only Son aliyekuwepo Ni Ishmael na Baadae alizaliwa Isaka..
All you have to do ni kutafakari tu na Kuchambua utapata Ukweli
Pascal Mayalla
 
mtoto wa pekee ni mtoto wa ahadi aliahidiwa na Mungu, baada ya kuona ahadi inachelewa mke wake(Sarah) akamshauri mumewe alale house girl, kwahiyo kwenye ndoa ya Ibrahim na Sara mtoto pekee ni Isaka. Lakini pia Maandiko yanasema Ibrahimu alimpenda Isaka kuliko huyo Ishmail, ndo maana Mungu akamwambia amtoe yule ampendaye
Tatizo kubwa hapa ni ku-mordernize mambo, enzi hizo kulikuwa na house girl? tumia neno sahihi kumuelezea hajra laikuwa ni nani!
 
Wewe tubaki kwenye kufanya UCHAWA kwenye siasa. Haya mabo ya dini waachie werevu.

Judaism ni dini ya Wayuda. Yuda ni mtoto wa Yakobo. Hivyo, UKWELI unabaki pale pale kwamba Ibrahimu hakuwa Myahudi.
Ibrahim hakuwa myahudi wala mkristo bali alikuwa ni muislam aliyejisalimisha kwa mola wake.
 
Sawa mahakama, mtoririko wa hizo aya ni huo hapo chini

99 - And [then] he said, "Indeed, I will go to [where I am ordered by] my Lord; He will guide me.

100- My Lord, grant me [a child] from among the righteous."

101 - So We gave him good tidings of a forbearing boy.

102 - And when he reached with him [the age of] exertion, he said, "O my son, indeed I have seen in a dream that I [must] sacrifice you, so see what you think." He said, "O my father, do as you are commanded. You will find me, if Allah wills, of the steadfast."

103 - And when they had both submitted and he put him down upon his forehead,

104 - We called to him, "O Abraham,

105 - You have fulfilled the vision." Indeed, We thus reward the doers of good.

106- Indeed, this was the clear trial.

107 - And We ransomed him with a great sacrifice,

108 - And We left for him [favorable mention] among later generations:

109 - "Peace upon Abraham."

110 - Indeed, We thus reward the doers of good.

111 - He was truly one of Our faithful servants.

112 - We ˹later˺ gave him good news of Isaac—a prophet, and one of the righteous.

113 - We blessed him and Isaac as well. Some of their descendants did good, while others clearly wronged themselves.

Hakuna sehemu Ishmael ametajwa kama alitolewa kafara.
Zaidi hapo namwona Isaack.

Tufanye tupo Mahakamani, na Ishmael ndiye alitaka kutolewa kafara,
Unaweza ukaeleza dhabihu hiyo ilifanyika wapi?

Maana kwa Isaka eneo limetajwa.

Embu nukuu Quran ikionyesha eneo hilo ambapo tukio lilitokea.

Mwandishi wa Quran aliandika uongo na niliwahi kueleza hili.
Mwandishi wa Quran hakuwahi kuishi Canaan, Israel au Palestine hivyo ingemuwia vigumu
 
Aulizwe yeye mpotoshaji, msikilize vizuri "sheikh" aliyepewa kutafsiri, yeye kamsukumia "Ibn Kathir", anaelewa kuwa hapo kwenye aya hizo zilizosomwa halijatajwa jina la Ismail.

Hapo juu kidogo neno "sheikh" nimeliweka kwenye mabano kwa sababu naamini Sheikh wa kweli hawezi kuwa mpotoshaji na kupachika majina yasiyokuwepo kwenye aya zilizosomwa.

Hiyo ni tafsiri inayopogtosha na kubadilisha maana.
Hebu ifanyie tarjama hiyo aya kwenda kwa kiswahili ili tuone kama aliyetolewa sadaka si Ismael?

Aya ipo wazi imeeleza mtiririko mzima toka ibrahim anapata mtoto wa kwanza kisha mtoto anakua kufika balehe, ibrahim anapata ndoto kuwa amtoe sadaka mwanae, anatekeleza ila Mungu anamlipa kwa kumpa kichinjo, kisha anapewa bishara kuwa atapata mtoto mwingine aitwae ishaq.
 
Hebu ifanyie tarjama hiyo aya kwenda kwa kiswahili ili tuone kama aliyetolewa sadaka si Ismael?

Aya ipo wazi imeeleza mtiririko mzima toka ibrahim anapata mtoto wa kwanza kisha mtoto anakua kufika balehe, ibrahim anapata ndoto kuwa amtoe sadaka mwanae, anatekeleza ila Mungu anamlipa kwa kumpa kichinjo, kisha anapewa bishara kuwa atapata mtoto mwingine aitwae ishaq.

Tukio hilo linafanyika wapi au kwenye ndoto?
 
Back
Top Bottom