Japo Yanga siwapendi kuliko timu zote duniani lakini ninapenda Tanzania na sisi tuingize timu mbili makundi CAFCL

Japo Yanga siwapendi kuliko timu zote duniani lakini ninapenda Tanzania na sisi tuingize timu mbili makundi CAFCL

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Thamani ya ligi yetu itaongezeka sana. Watanzania wataanza kuangaliwa ili wasajiliwe timu nyingine za Afrika. Na pengine makocha wetu wanaweza kutazamwa.

Yanga siwapendi na mpira wao uko sana mdomoni lakini ningefurahi mwaka huu na sisi tuwe na timu mbili kwenye makundi CAFCL. Azam nao nawatakia heri wapindue meza kesho kwenye Confederation.

Mnyama mkali sina wasiwasi naye, ni mfalme wa mechi za kimataifa na ndio timu pekee kubwa Afrika Mashariki.

Kila la heri Tanzania 🇹🇿
 
Omba dua ambazo zinajibika. Vinginevo usimjaribu bwana Mungu wako. Wacha wafu wazikane wenyewe
 
Yanga hawezi kabisa.

Tumaini lipo kwa Simba, japo Simba yangu hii ni mbovu.
 
Thamani ya ligi yetu itaongezeka sana. Watanzania wataanza kuangaliwa ili wasajiliwe timu nyingine za Afrika. Na pengine makocha wetu wanaweza kutazamwa.

Yanga siwapendi na mpira wao uko sana mdomoni lakini ningefurahi mwaka huu na sisi tuwe na timu mbili kwenye makundi CAFCL. Azam nao nawatakia heri wapindue meza kesho kwenye Confederation.

Mnyama mkali sina wasiwasi naye, ni mfalme wa mechi za kimataifa na ndio timu pekee kubwa Afrika Mashariki.

Kila la heri Tanzania 🇹🇿
Daah! Timu zimejaa wageni tupu
 
Thamani ya ligi yetu itaongezeka sana. Watanzania wataanza kuangaliwa ili wasajiliwe timu nyingine za Afrika. Na pengine makocha wetu wanaweza kutazamwa.

Yanga siwapendi na mpira wao uko sana mdomoni lakini ningefurahi mwaka huu na sisi tuwe na timu mbili kwenye makundi CAFCL. Azam nao nawatakia heri wapindue meza kesho kwenye Confederation.

Mnyama mkali sina wasiwasi naye, ni mfalme wa mechi za kimataifa na ndio timu pekee kubwa Afrika Mashariki.

Kila la heri Tanzania [emoji1241]
Yanga kwenda makundi ni swala la muda tu.
 
Natamani yaende shirikisho,huko nako yacheze mchezo mmoja tu yaharibu yarudi nyumban kula viazi
 
Back
Top Bottom