Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
ni kama hii issue ya abdul itamuaandama sana jamaa 🤣Lisu ana uhakika Gani kama pesa hizo hazijatoka kwa mama Abdul.Lisu aache siasa za kijinga ili kupata uongozi
Hao viongozi wa BAWACHA ni mapandikizi ya MBOWE, hilda newton ni timu lisu, anaelewa kinachoendeleaYeye na viongozi wake tuamini nani?
Yeye alikuwa kamati ya MaandaliziYeye na viongozi wake tuamini nani?
Kwahiyo?Yeye alikuwa kamati ya Maandalizi
Amesema Kila Pesa Iliyoingia Walijua Inatoka Wapi na Hakuna Pesa Ipiyotoka Ikiwa inasema Imetoka Kwa Mbowe..Kwahiyo?
baada ya kumsema sana, ameona aibu, ngoja tu achangie. kutoa ni moyo.Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
View attachment 3269091
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Ngoja yaje machawa walizoea pesa za bureTaarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
View attachment 3269091
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Nani amemchafua Mbowe? Maccm ndo yanalalamika kwa hili ,chadema imewashika pabayaNa mchango sio lazima pesa. Wakati mwingine ushauri ni mchango mkubwa kuliko pesa. Sharifa alisema wazi kuwa yeye ni Team Mbowe. Na kwa alivyozungumza Sigrada nae ni Team Mbowe. Kuwa hivyo haina maana kuwa hawamheshimu na kumkubali Mwenyekiti Lissu. Kitu ambacho hawakubali ni mchango wa Mbowe kuchafuliwa au kupotoshwa.
Amandla....
Unadhani Lissu amewapa kazi Bazecha ya kuponya majeraha yaliyopo Chadema kwa sababu gani? Au na yeye ni CCM?Nani amemchafua Mbowe? Maccm ndo yanalalamika kwa hili ,chadema imewashika pabaya
Wakiishiwa hoja uchochoro ni kuingiza CCM katika mauchafu yao, hata mke wake akibaduliwa na boda boda atakazana kuwa CCM tu inakula mzigo kuna shida sana uko Chadomo.Unadhani Lissu amewapa kazi Bazecha ya kuponya majeraha yaliyopo Chadema kwa sababu gani? Au na yeye ni CCM?
Amandla...
""A LEADER MATERIALS""Mbowe waga namkubali sana yule Mwamba pamoja na kwamba siikubaligi CHADEMA. Ana busara sana Mbowe, ni kiongozi yule.
Unazingua.Mbowe waga namkubali sana yule Mwamba pamoja na kwamba siikubaligi CHADEMA. Ana busara sana Mbowe, ni kiongozi yule.
Kwa kungangania madaraka au ?Mbowe waga namkubali sana yule Mwamba pamoja na kwamba siikubaligi CHADEMA. Ana busara sana Mbowe, ni kiongozi yule.
La ajabu ni lipi hapo?Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
View attachment 3269091
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.