super hero1
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,057
- 825
Bawacha wamesema hajachangia hata senti miaTaarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
View attachment 3269091
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Hilda Newton sio msemaji wa Bawacha. Lile ni tamko lake binafsi, sio la Bawacha. Katibu Mwenezi ( ambae ndie msemaji wa Bawacha) wa Bawacha amemshukuru kwa mchango wake katika kufanikisha shughuli ya Bawacha.Bawacha wamesema hajachangia hata senti mia
Ameiba mabillion mangapi ya chadema?.Lissu kachangia ngapi? Hata kwenye hili hamkutaka kumpa stahili yake FAM kwa sababu mlisema hajachangia hata thumni. Kila siku tunawaambia kuwa pamoja na juhudi zenu za kumchafua FAM atabakia kuwa muungwana.
Amandla...
Na wewe ni bawacha? Au malisa ni bawacha?Yeye na viongozi wake tuamini nani?
Malisa lake ni tamko la chama? Au hicho kipande cha blog ni tamko la chama?Hilda Newton sio msemaji wa Bawacha. Lile ni tamko lake binafsi, sio la Bawacha. Katibu Mwenezi ( ambae ndie msemaji wa Bawacha) wa Bawacha amemshukuru mchango wake katika kufanikisha shughuli ya Bawacha.
Amandla...
Amefanya jambo la maana kuiwezesha taasisi yake iendeshe mkutano bila stress.Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Malisa alikuwa anam quote Katibu Mwenezi wa Bawacha ambae ni msemaji wa chama. Na Sigrada aliyasema haya mbele ya Lissu na Mwenyekiti wa Bawacha. Wote hao hawakumsahihisha.Malisa lake ni tamko la chama? Au hicho kipande cha blog ni tamko la chama?
Unaweza tupa alichoongea lisu kuhusu mpasuko ndani ya chama? Akiomba wazee wa chama wafanye jambo?Malisa alikuwa anam quote Katibu Mwenezi wa Bawacha ambae ni msemaji wa chama. Na Sigrada aliyasema haya mbele ya Lissu na Mwenyekiti wa Bawacha. Wote hao hawakumsahihisha.
Amandla...
Anarudisha tu hela ya chadema aliyochukuaKutoa ni moyo, hasa kwa kiongozi kama yeye.
Lakini mahela ya aina hiyo inayotajwa kama ni kutoka kwa mtu mmoja yanatia shaka sana bila kujali ukwasi alio nao mtu huyo.
Isije ikawa ni njia ya mlango wa pembeni toka kwa mahasimu wa chama kupaka mafuta ya kulainisha maeneo hafifu ya chama ili kukidhoofisha.
Mkuu. Iko humu mpaka video yake. Ukiitaks utaipata. Mimi sitakufanyia kazi hiyo.Unaweza tupa alichoongea lisu kuhusu mpasuko ndani ya chama? Akiomba wazee wa chama wafanye jambo?
Ingekuwa ni kabla ya uchaguzi,ungesikia zinaitwa ni fedha chafu za "Mama Abdul ". Ila msemaji wa hizo hoja kwa sasa yuko meza kuu anapiga makofi na smile kubwa.Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Bwahabwahabwahahahaaaaa!Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.
Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania
Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.