Japo yuko nje ya nchi Freeman Mbowe achangia zaidi ya 50 mil ili kuwezesha Kongamano la BAWACHA Mlimani City

Japo yuko nje ya nchi Freeman Mbowe achangia zaidi ya 50 mil ili kuwezesha Kongamano la BAWACHA Mlimani City

Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.

Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania

View attachment 3269091

Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Bawacha wamesema hajachangia hata senti mia
 
MBOWE hawezi kutoa hata senti 4 ana kinyongo,roho mbaya dhidi ya uongozi uliopo madarakani. Hatakuja wala hatakihusisha nao.... Yupo pale kuangalia watakavyoanguka na ndio maombi yake makubwa. Hata siku anakubali kushindwa alitamka wazi wacha akae pembeni. Acheni kumtafutia sifa asizostahili.... MBOWE ni mroho wa madaraka hawezi kuchangia ili qenzake waonekana wanaofanya vizuri.
 
Lissu kachangia ngapi? Hata kwenye hili hamkutaka kumpa stahili yake FAM kwa sababu mlisema hajachangia hata thumni. Kila siku tunawaambia kuwa pamoja na juhudi zenu za kumchafua FAM atabakia kuwa muungwana.

Amandla...
Ameiba mabillion mangapi ya chadema?.
 
Hilda Newton sio msemaji wa Bawacha. Lile ni tamko lake binafsi, sio la Bawacha. Katibu Mwenezi ( ambae ndie msemaji wa Bawacha) wa Bawacha amemshukuru mchango wake katika kufanikisha shughuli ya Bawacha.

Amandla...
Malisa lake ni tamko la chama? Au hicho kipande cha blog ni tamko la chama?
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.

Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania


Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Amefanya jambo la maana kuiwezesha taasisi yake iendeshe mkutano bila stress.
 
Malisa lake ni tamko la chama? Au hicho kipande cha blog ni tamko la chama?
Malisa alikuwa anam quote Katibu Mwenezi wa Bawacha ambae ni msemaji wa chama. Na Sigrada aliyasema haya mbele ya Lissu na Mwenyekiti wa Bawacha. Wote hao hawakumsahihisha.

Amandla...
 
Malisa alikuwa anam quote Katibu Mwenezi wa Bawacha ambae ni msemaji wa chama. Na Sigrada aliyasema haya mbele ya Lissu na Mwenyekiti wa Bawacha. Wote hao hawakumsahihisha.

Amandla...
Unaweza tupa alichoongea lisu kuhusu mpasuko ndani ya chama? Akiomba wazee wa chama wafanye jambo?
 
Kutoa ni moyo, hasa kwa kiongozi kama yeye.
Lakini mahela ya aina hiyo inayotajwa kama ni kutoka kwa mtu mmoja yanatia shaka sana bila kujali ukwasi alio nao mtu huyo.
Isije ikawa ni njia ya mlango wa pembeni toka kwa mahasimu wa chama kupaka mafuta ya kulainisha maeneo hafifu ya chama ili kukidhoofisha.
Anarudisha tu hela ya chadema aliyochukua
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.

Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania


Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Ingekuwa ni kabla ya uchaguzi,ungesikia zinaitwa ni fedha chafu za "Mama Abdul ". Ila msemaji wa hizo hoja kwa sasa yuko meza kuu anapiga makofi na smile kubwa.
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Mwenyekiti Mstaafu wa Chadema, Freeman Mbowe amewezesha kitita kikubwa cha fedha ili kugharamia Kongamano la Wanawake la Kidunia lilioandaliwa na BAWACHA kwenye Ukumbi wa Mlimani City, D'Salaam.

Inatajwa kwamba Mwamba amechangia zaidi ya Sh mil 50 za Kitanzania


Kwa niaba ya Dunia Natoa Shukrani za Dhati kwa Freeman Mbowe kwa Moyo wake huu wa kutoa, Mungu amzidishie.
Bwahabwahabwahahahaaaaa!

Ni lini ccm iliendelea na makundi baada ya chaguzi zao?!!!! Huyo ndo mwamba na anayepaswa kupigwa. Ukiulizwa kundi gani? Eti kundi la lissu na mbowe. Lissu nae kuwa na kundi la kusumbua?!!!! Huko hakukuwa na MAKUNDI yoyote, huko kulikuwa mipasho tu ya overgrown babies wakijifunza kutokelezea na wao. Mbowe hakuwa na haja ya kiviiile na huo uenyekiti......naamini hivyo.
 
Back
Top Bottom