Uchaguzi 2020 Japokuwa kukaa kimya ni jibu, Serikali inatakiwa ijibu hizi tuhuma

Wewe umesikia mbili tu
Mbona zipo nyingi tu ikiwemo Mtoto wa dadake pombe kuidhinisha peke yake mabilioni ya pesa kujenga uwanja
Uwanja wajengwa na mume mwenza bila zabuni
Kila sehemu mayanga construction company
Kujimilikisha ranch watu kuuawa na kupotezwa
Mbona mambo ni mengi wewe unatoka Tanzania gani?
Yaani kwa sababu media inebanwa sio kama wakati wa mkwere tungesikia mengi
 
Kwa hiyo?
 
Manyanga construction na uwanja wa chato utolewe maelezo ya kina pia.
 
Aliyetaka kumuua Lissu ni nani?
tuanzie hapo kwanza..
Viashiria vyote vinaonyesha alietaka kumuua lissu ni Mr Pombe kwa sababu
1,. Masaa mawili kabla ya shambulio alisema watu wanaosema Sana kuhusu mikataba hawastahili kua hai
2. Wakati yupo Hoi walililazimisha apelekwe muhimbili wakakataa kumpeleka Nairobi wala ubalozi haukujihusisha na lolote
3. Mpaka Leo Tanzanian na Kenya hatuna mahusiano mazuri wakenya ealijitolea lissu alindwe na jeshi la Kenya
4. Pombe kwa maksudi alikataa kuidhinisha pesa ya matibabu yake
5. Yeyote alieenda hospitali kumjulia hali lissu pombe alimchukia
6. Alisema vita vya kiuchumi ni vibaya Sana
 
Kwa hio ujue kwa Mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu tunaongozwa na dikteta maswali ni mengi kuliko majibu
Labda jaribu kumtafuta msemaji mkuu wa serikali umuulize
Yumo humu JF ndio maana hoja kibao zinazochangiwa humu huwa anazijibu. Leo hujaona anatoa ufafanuzi juu ya miradi inayotekelezwa na mapato yake? Kwa hiyo hata hili nalo atoe majibu.Kweli Ansbert alitaka kuuliwa na wale waliompatia ulemavu Lissu?
 
Mkuu, ilishaelezwa na Mzee wa Msoga kwamba akili za kuambiwa changanya na zako.

Tusubiri uchaguzi ufike tupige kura kwa kutumia akili zetu, baada baada ya kuwasikiliza wote. Na utasikia mengi kipindi hiki, maana tuliambiwa kuwa hata ndege za ATCL ni mitumba, na tena tukaambiwa kuwa bajeti ya ununuzi ndege hizo haikupita bungeni. Lakini tulivyochanganya na akili zetu kwa kutumia teknolojia tulienda kwenye hansard tukamuona mbunge wa Kawe akichangia hoja hiyo ya fedha zilizotengwa kwa miaka miwili mfululizo kwa ajili ya ununuzi wa ndege.
 
Lakini uongo ukivuma sana hugeuka ukweli,huu uongo lazima serikali iukanushe. Maana ni taswira mbaya kwa taifa letu.
 
Mambo mengine yapo wazi ila kuna watu Wana roho za kishetani
Wanajaribu kujificha kwenye kimvuli Chao
 
7. Wakamnyima kulipia matibabu yake
8. Wakamnyima kumlipa mshahara
9. Wakamfuta na ubunge
 
Sio kweli,ardhi huwa haiibiwi,bali inamilikiwa isivyo kihalali. Je hiyo anayosema Lissu, JPM anamiliki kihalalai?
Ukimiliki isivyo halali ndio umeiba gari yangu ukiimiliki wewe isivyo halali ndio umeniibia akili hizi ndizo zilizotufikisha hapa
 
Lissu ni mgonjwa wa akili kila mtanzania ana fahamu! Kama anajua waliotaka kumuua sasa mbona analilia polisi wafanye uchunguzi wakati anajua fika polisi ndio walihusika?

Huyo ni mgonjwa wa akili nafikiri kuna risasi ipo kwenye ubongo wa Lissu!
Mgonjwa wa akili anawakusanya viongozi wote kujibu hoja anazozitoa Mgonjwa wa Akili na hakuna hata mmoja anaejibu badala kujikanyaga tuu hapo ni Nani mgonjwa??
 
7. Wakamnyima kulipia matibabu yake
8. Wakamnyima kumlipa mshahara
9. Wakamfuta na ubunge
Naomba nyie wazandiki msitake kuharibu mada niliyoanzisha. Mimi nataka tupate ukweli, Lissu ni mkweli? Au sio. Serikali itoe ufafanuzi kwa manufaa ya taifa. Sio hayo mnayotaka kuongeza chumvi hapa.
 
Naomba nyie wazandiki msitake kuharibu mada niliyoanzisha. Mimi nataka tupate ukweli, Lissu ni mkweli? Au sio. Serikali itoe ufafanuzi kwa manufaa ya taifa. Sio hayo mnayotaka kuongeza chumvi hapa.
Tumekusifia uzi mzuri, sasa kwa nini utuite wazandiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…