mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
Serikali ni chombo chenye mamlaka nyingi inakuwa Kazi kujibu ndio au hapana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni ccm mwenzio ujueWatanzania sio wapumbavu,mpumbavu ni wewe ambae umeshindwa kufahamu kuwa serikali ndio inayowakilisha watanzania mil 60 ndio inatakiwa kujibu hizi tuhuma. Hata Au au Un wakifuatilia hizi tuhuma za watu kuuwawa ni serikali ndio itawajibishwa,sio kila Mtanzania.
Magufuli ni fisadi;Watanzania sio wapumbavu,mpumbavu ni wewe ambae umeshindwa kufahamu kuwa serikali ndio inayowakilisha watanzania mil 60 ndio inatakiwa kujibu hizi tuhuma. Hata Au au Un wakifuatilia hizi tuhuma za watu kuuwawa ni serikali ndio itawajibishwa,sio kila Mtanzania.