Japokuwa ni Wakatoliki wenzangu Nashindwa kukielewa Hiki Chama cha Kitume..

Japokuwa ni Wakatoliki wenzangu Nashindwa kukielewa Hiki Chama cha Kitume..

Ukikasirika usikasirike hainisaidii kitu. Leta ushahidi kuwa Uislam ni biashara ya vatikano kama ulivyobwabwaja juu huko.
Leta ushahidi kuwa Ukatoliki ni Biashara ya Vatikano!
 
Mimi najuaje kama ni Yesu? ndio Maana sisi Tunasema Tumsifu Yesu Kristu.. lazma yesu na Kristu litamkwe..
Mwisho wa siku bwana ni yuleyule wa asifiwe na tumsifu. Ni kama kusema x 'ameshakula' na mwingine akasema x 'amekula'.
 
Shida kubwa ya kanisa katoliki ni kuwa na wakatoliki wasiojua ukatoliki na wanadai wanaujua, hawa ndio shida kuliko wasioijua imani yenyewe. Mkatoliki kama unajua kusoma lazima utafute maana ya imani yako sio kuwa mvivu wakutafuta masuala ya imani yako halafu unakuja humu unasema unakwazwa tafuta maana ya maandiko yapo mengi ya kujua imani yako. Mungu tuepushie mbali wakatoliki wasiotafuta maana ya imani yao na bado wanajiita wakatoliki
 
Ukatoliki ni biashara ya kanisa la vatikano, siyo dini.
Nawashangaa ambao mpaka leo hamjafunguwa macho.
Ni biashara Vatican (nchi) siyo kanisa
Mungu mwenyewe ndio anafungua macho na hufungua mmoja mmoja kwa wakati wake naamini hivyo
 
Sasa mtoa maada kusema asante baba inakuuma? Kusema mpendwa unawashwa? Kusema Bwana Yesu asifiwe unakonda? Kweliwewe zao la shetani unaona masanamu hayo mnayo fukizia ubani nimhimu sana duu kweli tabu ipo
Kuokoka kwako ni kupi hasa
 
Khan

Nikuongeze ushahidi? Au kama umetosheka leta wako, la sivyo u muongo.
 
Back
Top Bottom