Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
AahaaaaAya chukueni hizo point 3 ziko pale mezani, aliziacha Aseki na kama hamtaziona juu ya meza mpigieni awaambie alipoziweka
hujui ballAya chukueni hizo point 3 ziko pale mezani, aliziacha Aseki na kama hamtaziona juu ya meza mpigieni awaambie alipoziweka
Tunamuona mchezaji wenu hatari Esomba Onana lazima awape point 3 bila kusahau mchezaji tishio kiungo Bora ambae whydad wanatakiwa wawe nae makini kijana wa Bujumbura Saido ntibazonkiza ataingia kambani maana anayo Kasi ya ajabu mithili ya radi point 3 lazima zibaki kwenu aisee🤣🤣🤣Tunajua kuna wenye roho mbaya hawalali wakitutakia mabaya wana Simba tushindwe na hao waarabu.
Enyi wenye roho mbaya nawaambieni wazi kwamba tumekuja kuchukua point zetu 3 kwa mwarabu, Simba sio team ya kukaa mkiani.
Simba nguvu moja.
View attachment 2836205
We mwehu (utani ) nani ana haki mbaya wakati mna point 1😜Watani Mna Hali Mbaya Sana Pambaneni Lakini Tuone.
TuliaAya chukueni hizo point 3 ziko pale mezani, aliziacha Aseki na kama hamtaziona juu ya meza mpigieni awaambie alipoziweka
Wenye roho mbaya kwa kawaida ni wale washindwao kimataifa, leo mtabaki na kile kile kipoint chenu kimoja 🤣Sisi wenye roho mbaya tunasema hiviiiii, tutaona.
Kesho sio mbali, ngoja tuanze sisi kwanza.
Tulia kijanaEsomba onana anawaongoza mambumbumbu kuchuka points 3
Nyie mko na hali nzuri?Watani Mna Hali Mbaya Sana Pambaneni Lakini Tuone.
Na ndicho tulichofuata huko kwa mwarabu, points 3 ni zetu.point 3 lazima zibaki kwenu aisee🤣🤣🤣
Point moja ipo kwa looser, sisi tutabeba 3 leoSio rahisi kihivyo. Wakichukua 1 inatosha