Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Kwa takwimu za wanaofanya mitihani ya kidato cha nne mwezi huu Novemba 2024
Kenya ina jumla ya watahiniwa 965, 501 na Tanzania ina watahiniwa 557, 731.
Je, ni kwa nini Tanzania watahiniwa ni wa chache ilihali idadi ya watu ni kubwa kuliko. Kenya au ndio idadi kubwa ya wanafunzi wanaacha shule kwa sababu mbalimbali?
Kenya ina jumla ya watahiniwa 965, 501 na Tanzania ina watahiniwa 557, 731.
Je, ni kwa nini Tanzania watahiniwa ni wa chache ilihali idadi ya watu ni kubwa kuliko. Kenya au ndio idadi kubwa ya wanafunzi wanaacha shule kwa sababu mbalimbali?