Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
jamani acheni uongo mbona mke wake sajuki amesema wamepata mil 19 kama jack angekua amechanga hizo hela basi c ingepita milioni 25
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ndo hiyo. Kumbe wasanii wa bongo wana hela.
Habari ndo hiyo hutaki unaacha.
source Radio pendwa na magazeti pendwa.
Teeh teeh!nimeipenda hiyo!Abarikiwe mpaka kuku wa jirani watage kwake
Mbona hata wewe uchumi unao lakini unaukalia tu!!??.....
hamna ukweli hapo leo wanakamati walikuwa wanasema kuwa zimesalia ml. 10 kumsafilisha na jumla ya fedha inayotakiwa ni ml. 25. Kama ndio unataka kuniambia pesa yote katoa peke yake au kuna uchakachuaji !
wiki iliyo isha si ulisikia wanalalamika kwamba sajuki kaibiwa hela yote laki 9 kwenye account ya simu? unafikiri kuna nini hapo.wabongo walikua hawajafikisha million 2 mkuu. mi mwenyewe habari nmetoa kwenye radio pendwa.
jamani acheni uongo mbona mke wake sajuki amesema wamepata mil 19 kama jack angekua amechanga hizo hela basi c ingepita milioni 25
Habari ndo hiyo. Kumbe wasanii wa bongo wana hela.
Habari ndo hiyo hutaki unaacha.
source Radio pendwa na magazeti pendwa.
Maaavi...
Eti Kabisa huku unabana pua ''Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu''.
peleka huu ushuzi Facebook.
Hapa watu hawakurupuki wala kuburuzwa.
abarikiwe mpaka kuku wa jirani watage kwake
amina!
Molleli au!?
Maaavi...
Eti Kabisa huku unabana pua ''Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu''.
peleka huu ushuzi Facebook.
Hapa watu hawakurupuki wala kuburuzwa.
Maaavi...
Eti Kabisa huku unabana pua ''Jaqueline Wolper amchangia Sajuki mil 15 za matibabu''.
peleka huu ushuzi Facebook.
Hapa watu hawakurupuki wala kuburuzwa.