Jaribio la kuiba dhahabu katika mgodi wa Geita (GGM) lazimwa

Jaribio la kuiba dhahabu katika mgodi wa Geita (GGM) lazimwa

hivi mtanzani hasa wa geita ananufaika nini na huo mgodoi?
 
Jambazi

View attachment 44799View attachment 44800 Photo-0147.jpg
 

Attachments

  • Photo-0148.jpg
    Photo-0148.jpg
    456.8 KB · Views: 246
aaisee.. Hii ni hatari... Ianonekana zoez lilifail baada ya kuuawa huyu kaamanda aliekua na plan nzima
 
huyu jamaa ni mjeshi au? ila suala la kujiuliza kwa nini hiyo dhahabu itokee kwa kiwanja cha ndege cha hapo uwanjani na kwenda direct south africa? nani anaikagua au kuthibitisha kiwango? wanaona tabu gani kuipitishia dar?
 
RIP kamanda pamoja sana.
Hata walio kuua nao ni majambazi tuu.
Au kwa kuwa wao wanatuibia kwakushirikiana na mafixad ccm
 
Jaribio la kutaka kuiba kiasi kikubwa sana cha dhahabu ktk mgodi wa Geita mchana huu mida ya 11:30hrs na watu wenye silaha nzito za kivitaa limezimwa na walinzi wa mgodi (snipers & quick respond unit force wakishilikiana na makomandoo walinzi wa ndege inayosafirisha dhahabu) mpaka mida hii imethibitika watu 2 wamepoteza maisha.

Jaribio hilo limefanyika Ktk airport ya mgodini wakati dhahabu hiyo ikipakiwa ktk ka ndege special tayari kwa kusafirishwa kwenda South Africa, hadi mida hii wana Geita bado tunasikia milio ya risasi zikilindima maporini na ving’ora vya ambulance za mgodini zikiwabeba majeruhi wengi wao ni walinzi wa wa mgodi, polisi walitarifiwa mapema kabisa lakini bado wanajipanga namna ya kufika eneo la tukio!


Tutazidi kuajuza kadri nitavyo pata habari zaidi.

UPDATE:
Polisi wamefika eneo la tukio na kwa sasa wanawakamata wakata mbao, wachungaji na wachoma mkaa wakiwatuhumu kwa ‘ujambazi’ wakati wapiga deal halisi wameisha sepa , walinzi 8 wa mgodini ( wa kitanzania) wameahidiwa 10,000 USD kila mmoja kwa kuweza kulinda mali ya ’ mwekezaji’, huku mlinzi mzungu akisafilishwa kurudi RZA kwa matibabu ( huyu jamaa amepigwa kama risasi 3 mkononi na mguuni, na huyu ndio aliyeuwa jambazi baada ya kukabiliana naye uso kwa uso).

Polisi wamekabidhiwa sub machine gun 3, mabomu ya mkono 9 ( moja lilirushwa lakini halikulipuka vizuri) magazine zaidi ya 5 zikiwa na risasi zaidi 100, bullet proof vest 2.

Polisi wanasomeshwa wakubali kuwa wao ndio waliopambana na ku uwa majambazi ili hawa jamaa wanakwepa lawama za mauaji kimtindo, Mwili wa jambazi (kipande cha jibaba lenye asili ya kisomali inaaminiki ndiye alikuwa kiongozi wa uvamizi) umepelekwa mortuary, nikifanikiwa nita upload picha ya maiti yake.

Hali ya hewa imetulia kidogo na shuguli za kumtumikia kaburu zimeanza mnamo 1330hrs, kwa ujumla kulikuwa na vitofali 34 vya dhahabu ( kila kitofali kina 24KG) vilivyo pona pona kutembea ( ila nawalaumu hawa ma intruders kwa uchoyo wao!)

KUTOKA FIKRAPEVU:



Good attempt!

Nilitamani kusikia kuwa hawa jamaa wamefanikiwa kuchukua hii DHAHABU maana ni mali yao halali inayoporwa na WAWEKEZAJI UCHWARA. PENGINE TUWAULIZE HAWA POLISI WALIOZIMA JARIBIO HILI LA WIZI NCHI YETU INAPATA FAIDA GANI?

Maaana kiukweli HAWA WENYE NDEGE NDIO MAJAMBAZI WALIOKUWA WANATOROSHA DHAHABU YETU KWENDA AFRIKA KUSINI. Nawaita waizi kwasababu katika DHAHABU hii serikali haiambulii chochote kwa maana ya KODI INAYOTOKANA NA THAMANI ya dhahabu hiyo.
 
tofauti ya huyu jambazi na hao makaburu wanaokwapua bila kutulipa hata hiyo 3% kwa ku-underdeclare ni nini??


kwa upande wangu nadhani ni bora tu majambazi yangechukuwa dhahabu hiyo,maana haitufaidishi kabisaaaaaaaaa,

tena nayashukuru majambazi hayo kutujulisha kuwa kulikuwa na dhahabu za zaidi ya bilioni 1 zilizokuwa zikisafirishwa kwenda nchi ya nje na naimani kabisa kuwa serikali ilikuwa haijui nini kinaendelea juu ya usafirishaji huo,

bila ya hayo majambazi tusingejua nini hua kinaendelea ktk viwanja hivyo vilivyopo ndani ya mgodi huo,inasikitisha sana hivi ni sh ngapi serikali inapata baada ya wao kusafirisha mali ya zaidi ya bilioni 1?
 
tofauti ya huyu jambazi na hao makaburu wanaokwapua bila kutulipa hata hiyo 3% kwa ku-underdeclare ni nini??

Wote wako sawa tu mkuu! Hapo Inamaana kwa mwizi Kaingia mwizi!
 
what is the importance of rescued gold shipment to our national welfare?
 
Kwani mapato ya hizo dhahabu yanatuhusu sisi wadanganganyika pia?? Pole sasa ndugu yetu jambazi kwani izo mali ni za akina ngeleja akiwasaidia kuibia ccm ambao nao ni majambazi tu tena wakubwa zaidi yako brother jambazi, rip
 
Imenisikitisha wamemuuwa kamanda aliyekuwa anapigania maliyake RIP man
 
Huyu Jamaa nadhani ni wa arusha huyu......Kama sio hii ni ile remainderya kina Simoni kimathi(Seymo)
ukicheki swaga zao zinafanana sana kuvaa mashati mengi,suruali ya jeshi mabomu hahahaha....na bulet proof,
na kama kweli jamaa ni kiongozi wao basi ndo walewale wakina kim.....by the way wabongo wachache sana tunaweza kufanya hiyo
kitu..lazima ni wakenya tena wa Isilii( east Leigh)manake jamaa yupo full...AB Tichaz upo wapi
 
Back
Top Bottom