Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Agha khan wamerudi kama multimillion corporate ,sasa wana nguvu kuliko serikali yetu na ni strickly Asian.Wananunua kila kitu nchini.Sijui unasemaje?Mmezoea kudanganywa sana.Nasikitika mod wamemix thread yangu inayoonyesha jinsi waislam walivyo lazimisha TANU na mwalimu Nyerere wawaweke miundo mbinu ya elimu bila hivyo wangechelewesha uhuru.Nyerere hakuwa na njia ya kujenga shule Zaidi ya kuplan kutaifisha shule.Waislam walikuwa troublesome na miserable kabla ya uhuru.Wabongo tumejaa mikao ya upotoshaji kila angle.

Nyerere was a briliant leader, hizo drama za akina Bibi titi na wenzie zilikuwa ni everyday reality, achilia mbalia mbali hivi movemenet zanationalist na waaasi wengine.
 
Agha khan wamerudi kama multimillion corporate ,sasa wana nguvu kuliko serikali yetu na ni strickly Asian.Wananunua kila kitu nchini.Sijui unasemaje?Mmezoea kuganganywa sana.Nasikitika mod wamemix thread yangu inayoonyesha jinsi waislam walivyo lazimisha TANU na mwalimu Nyerere wawaweke miundo mbinu ya elimu bila hivyo wangechelewesha uhuru.Nyerere ahkauw ana nji aya kujenga shule Zaidi ya kuplan kutaifisha shule.Waislam walikuwa trouble na miserable kabla ya uhuru.Wabongo tumejaa mikao ya upotoshaji kila angle.

Nani aliokudanganya kuwa Aga-Khan ni Asians?

Kwanza kabisa uelewe kuwa hao wanaitwa Ismailia, Ismaili ni mji mmoja uliopo Afrika, huko Misr(Egypt). Sasaa u Egyption na u Asia wapi na wapi? kipi kilichokufanya uwaone ma Aga Khan kuwa ni wa Asia?

Kama unakumbuka hata hapa Tanzania timu ya mpira ya kutoka Ismailia imeshawahi kuja na kupambana na Mnyama Mkali, SSC.
 
Chukua muda kusoma posts za nyuma usikurupuke kama swala aliyekoswakoswa na mshale...

Posts za nyuma uliweka historia ya Tanzania, wewe?

Hapa JF tumemuona mwana Historia mmoja tu, Mohamed Said, na hakuna aliyethubutu zaidi yake. Wewe unaijuwa historia ya nchi hii? Duhhhh!

Uongo mwingine unatia kichefuchefu.
 
Yericko Nyerere,

asante sana mkuu kwa kinifungua macho... Huyu MABERE MARANDO aliyeendesha hii operation ndiye huyu huyu wa CHEDEMA?? au majina yamefanana?? Kuna tetesi pia kuwa mwalimu mambo yalipoenda kombo kutokana na kikosi cha anga kumgeuka aliamua kuomba msaada kwa majeshi ya UINGEREZA na within a minitu kuna midege ilikuja na kusafisha wasaliti wote msituni na hakuna hata mabaki yaliyopatikana...je ni keli au ni stori za vijiweni??

Exactly
 
Nani aliokudanganya kuwa Aga-Khan ni Asians?

Kwanza kabisa uelewe kuwa hao wanaitwa Ismailia, Ismaili ni mji mmoja uliopo Afrika, huko Misr(Egypt). Sasaa u Egyption na u Asia wapi na wapi? kipi kilichokufanya uwaone ma Aga Khan kuwa ni wa Asia?

Kama unakumbuka hata hapa Tanzania timu ya mpira ya kutoka Ismailia imeshawahi kuja na kupambana na Mnyama Mkali, SSC.

Tripoli nayo ipo lebanon na Libya,yote ni miji mikubwa. so what?Agha khan madhehebu ya ismaili ktk syria na mambo mbali mbali katika jumuia ya kiislam yakapelekea kwenda meneo ya india, pakistan na afghanistan .Na sasa inabeba identities zao.Agha khan inaweza sitawi sana kwa kuwepo EA ila si ya waafrica.Aghakhan hata katika ya washia wanaonekana kuwa si waislam kamili.Subiri basi tuone lini Black atakuwa mkuu wa agha khan?
 
Ningependa kuielewa Ilitokeaje na nani walio panga hilo jaribio.
Na imani lazima kulikuwa na watu sehemu nyeti,ukiwatoa wale waliokamatwa.
Nime google,nika toka kapa.Hi story tumeisika jujuu tu.

Watawala wengi wa kiafrika walipewa utawala,na kurithi mifumo na wat;umishi waliokuwa wanafanya kazi serikali za Wazungu.kwa hiyo wafanyakazi walikuwa wanawadharau watawala wapya wa kiafrika ambao walikuwa ni wanasiasa waliozungukwa na watu wasio wasomi.

1961;unakabidhiwa nchi,majeshi,wafanyakazi na wizara kama ilivyokuwa chini ya mkoloni.:
1964;wanajeshi walikuwa wanataka vilevile na wao wajikomboe na amri na makamanda wakigeni waliokuwa bado wapo nadani ya majeshi,hali hii ilikuwa inasumbu nchi nyingi za afrika,na baadhi ya wafrika walikuwa baado wanawatukuza wakoloni.

Kipindi hiki J.K.Nyerere,akaamuwa kuwapa madaraka makada wa TANU,chama tawala nafasi zote muhimu na wanajeshi wapewa madaraka ya juu ili kutuliza manung'uniko;lakini kuanzia hapo mpaka leo Tz imeporomoka kwa kila kitu.!!!!!
1967;Nyerere akafikiri akitaifisha biashara na mashamba ndipo serikali itawea kudhibiti na kusimamia uchumi,kumbe uchumi ukazidi kuporomoka.

Mpaka kufikia mwaka 1975,nchi ilikuwa taabani,mpaka akataka kung'atuka lakini,makada ndani ya chama wakamshawishi Nyerere aendelee.

kipindi chote hiki alikuwa anawafadhilli wapigania uhuru na wakimbizi wa kisiasa kutoka nchi majirani,pamoja na kufanya jitihada za kumrudisha Obote madarakani,kwa bahati mbaya vita vya Uganda vikadhoofisha uchumi wa Tz+sera zilizoshindwa kusimamia uchumi.Miaka ya 80,hali ya uchumi ikawa ngumu sana,mashirika mengi yakawa taabani na upungufu wa bidhaa ukawa mkubwa.!!!

Serikali ya Nyerere ilikuwa imewapeleka wanajeshi vijana kusoma nje ya nchi( Kanada na U.K) ,na unavyojua msomi yeyote anapenda kufanyia kazi alichokisomea;ukizingatia kule walikuwa wanakutana na WaNIGERIA ambao walikuwa classmates wenzao walikuwa wakirudi kwao wanafanya Mapinduzi pindi serikali inapokuwa imeshindwa kulinda katiba na kusimamia Utawala bora.

Wengi walioshiriki ktk jaribio lile la mapinduzi mwaka 1982 walikuwa ni wale waliokuwa wamesoma nje,kwani ipo Mapinduzi ya kijeshi ipo kwenye syllabus ya msomo ya jeshi.Kipindi hiki na hapo Kenya vilevile Moi alikumbana na jaribo la Mapinduzi.!!!

Jaribio hili,lilimfanya Nyerere ajitathimini upya(uamuzi wa kung'atuka) na ukizingatia kwa wakati huo alikuwa ametoka katika vita,takwimu za uchumi zilikuwa zinaporomoka,fedha ya kigeni ilikuwa imepungua.!!!

Mara madogo wakateka ndege ya ATC.!!!,yaaani ilikuwa kama,kiongozi wa nchi hakuna kilichokuwa kinakwenda sawa.

Nafikiri utakuwa umepata baadhi ya sababu ya kutaka kufanyika kwa Jaribio la Mapinduzi.!!!!!!
 
Siku hizi hakuna mzalendo. Askari wa JWTZ ni fisadi, Usalama wa taifa ndio kabisa, maaskari wengine wote ni wakwapuaji wa vinoti vya wananchi. Wenzao wa enzi hizo walikuwa na uchungu na nchii hii. Ndio maana waliweza kumpima Nyerere.
 
Tatizo moja kuu la kupata historia nchi hii ni kuweka na kuzidisha hisia za UDINI, Masimulizi ya Mohamed Said na hata mtazamo wa akina Zomba na wenzie ni wa Kidini.

Watanzania tutashindwa kupata historia sahihi kwakukuwa kadiri ya siku zinavyo songa ndivyo UDINI unavyochukua nafasi yake!

Ukishaweke hisia za kidini pasipohitaji hisia hizo bila shaka utatoka nje ya mada tu!
 
Sina hakika kama Maj. Gen Mwakalindile ambaye naye aliteuliwa kuwa balozi Msumbiji naye ni kwa sababu hii, maana wakati anapewa ubalozi alikuwa ni moja ya watarajiwa wa kuwa CDF.
Huyo hakuwepo kwenye mpango huo!
 
Teh teh Mwanakijiji, punguza dharau! Unataka kusema Kikwete hawezi hata kuvunja sungusungu? Hii si sawa kabisa... Lakini pia naona unamtetea sana Mwalimu, kama kweli alikuwa na uwezo na jeshi kwanini aliwaita waingereza, si ingetosha mwenyewe kulivunja hata kabla ya kwenda mafichoni na pia kabla ya kuwaita waingereza? Ile Mutiny ilishamuelemea Nyerere tuseme tu ukweli. Na hata hivyo tukubali pia kwamba kambona alikuwa na ujasiri wa aina yake maana kwa migomo ya kijeshi isingekuwa salama kwake kwenda huko kwenye barracks za jeshi.
 
Last edited by a moderator:
Posts za nyuma uliweka historia ya Tanzania, wewe?

Hapa JF tumemuona mwana Historia mmoja tu, Mohamed Said, na hakuna aliyethubutu zaidi yake. Wewe unaijuwa historia ya nchi hii? Duhhhh!

Uongo mwingine unatia kichefuchefu.

Mohammed Said siyo mwanahistoria; ni mwanaharakastoria!
 
Teh teh Mwanakijiji, punguza dharau! Unataka kusema Kikwete hawezi hata kuvunja sungusungu? Hii si sawa kabisa... Lakini pia naona unamtetea sana Mwalimu, kama kweli alikuwa na uwezo na jeshi kwanini aliwaita waingereza, si ingetosha mwenyewe kulivunja hata kabla ya kwenda mafichoni na pia kabla ya kuwaita waingereza? Ile Mutiny ilishamuelemea Nyerere tuseme tu ukweli. Na hata hivyo tukubali pia kwamba kambona alikuwa na ujasiri wa aina yake maana kwa migomo ya kijeshi isingekuwa salama kwake kwenda huko kwenye barracks za jeshi.

Ndio maana nimesema watu hawajui historia; hivi President Bush kwenda kujificha siku ya Septemba 11 manake ni Al Qaida walikuwa wamechukua Marekani na wamemuelemea? HIvi unajua Winston Churchil wakati wa vita ya pili ya dunia alikuwa anaishi wapi na wakati London inapigwa mabomu na Mjerumajni alijificha wapi? Juzi hapa Waislamu walipoandamana hadi wizara ya Mambo ya Ndani unajua maaskari walikimbizwa kwenda kuwapa nguvu walinzi wa Ikulu? Unafikiria leo hii Waislamu wakiamua kuandamana kwenda Ikulu Kikwete atakaa nje anakunywa kahawa?

Kama Kambona alikuwa na nguvu anazodhaniwa alikuwa nazo asingekimbia nchi... na kuthibitisha hakuwa na nguvu hizo zaidi ya mythology ya kina Hamisi Nyau angeweza kutikisa nchi aliporudi. Au mmesahau alitishia kutangaza mabaya ya Nyerere na alipewa uwanja Jangwani...?
 
Mpaka kufikia mwaka 1975,nchi ilikuwa taabani,mpaka akataka kung'atuka lakini,makada ndani ya chama wakamshawishi Nyerere aendelee.

Nafikiri utakuwa umepata baadhi ya sababu ya kutaka kufanyika kwa Jaribio la Mapinduzi.!!!!!!
kwa hiyo mkuu mwalimu alikua ameshajiandaa kung'atuka kabla ya mwaka 1985??
Naanza kupata picha ya historia ya hii nchi
 
Watawala wengi wa kiafrika walipewa utawala,na kurithi mifumo na wat;umishi waliokuwa wanafanya kazi serikali za Wazungu.kwa hiyo wafanyakazi walikuwa wanawadharau watawala wapya wa kiafrika ambao walikuwa ni wanasiasa waliozungukwa na watu wasio wasomi.

1961;unakabidhiwa nchi,majeshi,wafanyakazi na wizara kama ilivyokuwa chini ya mkoloni.:
1964;wanajeshi walikuwa wanataka vilevile na wao wajikomboe na amri na makamanda wakigeni waliokuwa bado wapo nadani ya majeshi,hali hii ilikuwa inasumbu nchi nyingi za afrika,na baadhi ya wafrika walikuwa baado wanawatukuza wakoloni.

Kipindi hiki J.K.Nyerere,akaamuwa kuwapa madaraka makada wa TANU,chama tawala nafasi zote muhimu na wanajeshi wapewa madaraka ya juu ili kutuliza manung'uniko;lakini kuanzia hapo mpaka leo Tz imeporomoka kwa kila kitu.!!!!!
1967;Nyerere akafikiri akitaifisha biashara na mashamba ndipo serikali itawea kudhibiti na kusimamia uchumi,kumbe uchumi ukazidi kuporomoka.

Mpaka kufikia mwaka 1975,nchi ilikuwa taabani,mpaka akataka kung'atuka lakini,makada ndani ya chama wakamshawishi Nyerere aendelee.

kipindi chote hiki alikuwa anawafadhilli wapigania uhuru na wakimbizi wa kisiasa kutoka nchi majirani,pamoja na kufanya jitihada za kumrudisha Obote madarakani,kwa bahati mbaya vita vya Uganda vikadhoofisha uchumi wa Tz+sera zilizoshindwa kusimamia uchumi.Miaka ya 80,hali ya uchumi ikawa ngumu sana,mashirika mengi yakawa taabani na upungufu wa bidhaa ukawa mkubwa.!!!

Serikali ya Nyerere ilikuwa imewapeleka wanajeshi vijana kusoma nje ya nchi( Kanada na U.K) ,na unavyojua msomi yeyote anapenda kufanyia kazi alichokisomea;ukizingatia kule walikuwa wanakutana na WaNIGERIA ambao walikuwa classmates wenzao walikuwa wakirudi kwao wanafanya Mapinduzi pindi serikali inapokuwa imeshindwa kulinda katiba na kusimamia Utawala bora.

Wengi walioshiriki ktk jaribio lile la mapinduzi mwaka 1982 walikuwa ni wale waliokuwa wamesoma nje,kwani ipo Mapinduzi ya kijeshi ipo kwenye syllabus ya msomo ya jeshi.Kipindi hiki na hapo Kenya vilevile Moi alikumbana na jaribo la Mapinduzi.!!!

Jaribio hili,lilimfanya Nyerere ajitathimini upya(uamuzi wa kung'atuka) na ukizingatia kwa wakati huo alikuwa ametoka katika vita,takwimu za uchumi zilikuwa zinaporomoka,fedha ya kigeni ilikuwa imepungua.!!!

Mara madogo wakateka ndege ya ATC.!!!,yaaani ilikuwa kama,kiongozi wa nchi hakuna kilichokuwa kinakwenda sawa.

Nafikiri utakuwa umepata baadhi ya sababu ya kutaka kufanyika kwa Jaribio la Mapinduzi.!!!!!!
Kuna habari nimewahi kusoma sikumbuki chanzo chake kwa sasa, inazungumzia kuhusu kuporomoka kwa uchumi kwa sababu kama vita ulivyoelezea hapo juu,kuangushwa kwa ucommunist ikapelekea kuwa sehemu ambapo nchi ingeweza kupata msaada ni IMF NA WB.

Kwa maana hiyo ingempasa Nyerere kufuata masharti ya IMF na WB kitu ambacho kilikuwa kinyume kabisa na sera zake.... na isingekuwa rahisi kwake kuanza kuimba wimbo mpya hivyo akaamua kung'atuka.

Na kwa mtazamo wangu kinachonifanya niamini hiki ni kwamba alipotoka madarakani aliweka kautaratibu ka kuingilia utendaji pamoja na kuchagua viongozi anaowataka yeye ikiimanisha kuna mambo bado alitaka yawe anavyotaka yeye kitu ambacho kama angeweza angefanya akiwa bado madarakani.Haikusemwa wazi wazi lakini inaonekana kuna hiden pressure nyuma ya kung'atuka kwake.
 
books


TANU women: gender and culture in the making of Tanganyikan nationalism ... - Susan Geiger - Google Books
 
Kwa hiyo mkuu zomba ina maana kesi ya uhaini ya Bibi Titi na wengine ilikua ni ya kutungwa zaidi ya uhalisia??.. Kutokana na nyaraka za Mzee Mohammed said insonekana bibi Titi alikua na mambo yake ya kidini na sio ya kisiasa au akijeshi... Ni kwa nini aliingizwa kwenye hili sekeseke halafu cha ajabu nachoshangaa mpaka leo ni kuwa alikua mwanamke...

Soma post #109
 
Mohammed Said siyo mwanahistoria; ni mwanaharakastoria!

Wewe utasema utachoka lakini huyohuyo ndiye anaeiandika historia ya Tanzania ambayo wewe hata pa kuanzia hujui, utaanzia wapi? Handeni?

Prologue
Sheikh Haidar Mwinyimvua, a personal friend of Sheikh Suleiman Takadir, member of TANU Elders Council and member of TANU National Executive Committee in 1958, recalls Sheikh Takadir’s sudden and seemingly unprovoked attack on Nyerere:

It was at the TANU old office as we were waiting for the meeting of the National Executive. All of a sudden Sheikh Takadir stood up holding his walking stick pointing it out to Nyerere as he spoke, ‘This man will never come to favour us, he would come to favour his brethren! A stitch in time saves nine.’ Sheikh Takadir repeated these words twice. All of us in that meeting room were flabbergasted as to the meaning of those words. I saw Nyerere crying. Nyerere turned to us and asked, ‘Did Sheikh Suleiman speak those words on your behalf?’. We replied in the negative and the meeting broke there and then.

Sheikh Takadir was among the early supporters of Nyerere and had campaigned vigorously for TANU addressing meetings on the same platform as him. He had helped to wipe out the Christian stigma off Nyerere so that people in Dar es Salaam did not associate Nyerere with the Catholic Church but with TANU as a peoples’ movement. Sheikh Takadir’s own position as
chairman of TANU Elders Council commanded much respect.

It was not that all those who were in that room did not understand what Sheikh Takadir had hinted out. They understood each and every word spoken by him and its implications to the TANU leadership. What they could not grasp, perceive or believe was the fact that Nyerere, their beloved son and leader, would one day turn against Muslims and treat them as his enemies and rivals to his Christian faith. At that time this was a far-fetched thought to them. TANU and its precursor, the African Association, were not formed out of sectional interest, despite the fact that Muslims had always initiated their formation and taken active role in the leadership. Sheikh Takadir had touched a raw nerve. The only way to prevent this new crisis from developing further was for Nyerere to give assurance that Muslims would be treated fairly after independence had been achieved. In the meantime, unity of the people was important for the struggle ahead. This came to be Nyerere’s theme in his speeches since the Takadir episode leading towards the hated tripartite election. (The legacy of Sheikh Suleiman Takadir, Chairman, TANU, Elders Council - 1958).
(Mohamed Said, The Life and Times of Abdulwahid Sykes: The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press, London 1998).

 
Hata wewe mwarabu ni wakuja tu,na mlipokuja hao weusi hawakuwa waislam.Si unazungumzia baada ya utumwa?Ama wakuja na wenyeji wanaanzia kipindi gani?

Kuna Mwaarabu alikuja hapa? Uarabu unaujuwa au unausikia? hebu tupe Uarabu wa kuja uujuavyo wewe? "Waarabu" walikuja kutokea wapi? na nani aliyeandika kuhusu Waarabu waliokuja?
 
kwa hiyo mkuu mwalimu alikua ameshajiandaa kung'atuka kabla ya mwaka 1985??
Naanza kupata picha ya historia ya hii nchi

ndio sehemu yeyote,iwe shirika au taasisi ukitawala zaidi ya miaka 10,unakuwa hauna jipya.Kwa Nyerere jumlisha miaka tangu 1961,utaona 1971 mpaka 1973;nchi ilikuwa na njaa hii ilitokana na utawala uliokuwa umevuruga mfumo wa Mwineireza,na kuongoza kwa propaganda zaidi.
Kwa vile Mwl alikuwa ni msomi,alikuwa anasoma takwimu kila mwaka ilikuwa ni negative growth.!!!!,alikuwa na nia ya kuacha kazi mapema,kwani aligundua kazi ya Uraisi ni ngumu,aliahairisha kung'atuka kwa sababu ya vita na Idd Amini.
 
ndio sehemu yeyote,iwe shirika au taasisi ukitawala zaidi ya miaka 10,unakuwa hauna jipya.Kwa Nyerere jumlisha miaka tangu 1961,utaona 1971 mpaka 1973;nchi ilikuwa na njaa hii ilitokana na utawala uliokuwa umevuruga mfumo wa Mwineireza,na kuongoza kwa propaganda zaidi.
Kwa vile Mwl alikuwa ni msomi,alikuwa anasoma takwimu kila mwaka ilikuwa ni negative growth.!!!!,alikuwa na nia ya kuacha kazi mapema,kwani aligundua kazi ya Uraisi ni ngumu,aliahairisha kung'atuka kwa sababu ya vita na Idd Amini.

Hizi ndio tunaita historia za kutunga; hivi njaa ya leo Tanzania inasababishwa na nini? halafu mtu anasema kulikuwa na 'negative growth'.. "hii kila mwaka" ilikuwa ni mwaka gani?
 
Back
Top Bottom