Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Mentality hizo za kudhgarau dini za wengine zinawaletea wote wanaoziendekeza ugonjwa wa mtindio wa ubongo...achana nazo bwana wewe.Hazijawahi kumlipa yeyete anayezifanya na hazitakaa kufanya hivyo. Don't waste your precious time!

Sasa unanilaumu mimi wakati Mwingereza ndio aliweka hiyo sheria! Unasikitisha sana kama hutaki kujuwa ulikotoka, wewe utakuwa ni zao lilelile la Wabaguzi wa Ujinga.

Ni wapi dini ya mtu ilidharauliwa?
 
 
Kwanini watu hawazungumzii jaribio la Mwaka 1982 wanajadili lisilokuwepo kwenye mada?
 
Ahsante mkuu marcos kwa post hii #157 :
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...serikali-ya-nyerere-1982-a-8.html#post4971387

Kwa haraka between line na ufahamu wa mambo mengine yanayomzunguka Nyerere na waingereza na sababu ya wao kumuamini ktk suala la uongozi ni wazi waingereza walimsaidia mwalimu haraka kwa sababu hizi:

1.Ili kuwaokoa raia wake wakiokuwa wakifanya kazi ya hand over na espionage.Ila haikuwa rahisi kuwaokoa bila kuzima uasi.

2.Hawakuwa wamekabidhi taifa rasmi likiwa linajitegemea,na hivyo walikuwa liable kwa hayo.

3.pamoja na kwamba walikuwa a shida na Mitizamo ya Nyerere bado hawakua na mtu anayeaminika kwa kauli na maetndo kama Nyerere.Nyerere hakuwa threat kwa mtu kwa vile hakuna mchokozi kwa ustaarabu wa magharibi au hata mashariki,


Pia mwalimu kuamua meza jeuri yake mbele ya mabeberu huku akijifanyia mzaha,inaonyesha jinsi gani alikuwa kiongozi safi,jasiri na clever.hakuona ni kitu kigumu ingawa bado alikuwa na jeuri ya kusem abila bila jinyenyekeza(au kujipendekeza).

Pia kinachoonekana ni Mgogoro mkubwa uliopo kati ya agha khan na tanzania kwa ujumla, alichohofia Nyerere kuhusu Agha khan,kunaonekana pia kuwa Hilo gazeti lilishaonyesha kuwa silaha baada ya hawa jamaa kushidnwa kupitia Jumuia ya Kiislam ya Africa mashariki,na pengine pia nao walishiriki kwa hilo.

Kwa mwenendo uliopo ni wazi agha khan wana agenda ya siri na hii nchi kwani tayari wameshashika vitu vingi sana hapa nchini,kuanzia ktk korosho,kahawa, mahoteli, hospital na vituo vya afya, shule, na universities, wana NGOs chingi sana na miradi yake chini AKDN na wameshika kasi sana kipindi cha awamu hii.Sasa wanachukua mashamba yao waliyoachia watu enzi hizo wamiliki kwa niaba yao.

Picture inakuwa clear taratibu.
 
Kwanini watu hawazungumzii jaribio la Mwaka 1982 wanajadili lisilokuwepo kwenye mada?

Mwaka huo nilikuwa nyoka,nikiona kipira cha polisi nilikuwa sina amani kabisa walikuwa wakiibuka na maswali yao lazima utoe ushirikiano kujibu maswali na muda si mrefu wanaondoka na watu,ingawa njaa yanga miaka michache baadaye nilikuwa nikiuza unga kwa kopo babake.Watu walikuwa akigombea kama daladala dar leo au foleni za maji ubungo.Mafisadi wa enzi walikuwa lupango wakati familia zao zikiunga mstari kununua unga.Mafuta ya Amarica walinunua wakati baba zao walikuwa wamefukia Ardhini,na kwenye mapango mtoni.
 

Umenikumbusha historia za unga wa yanga!

Unajua nchi ilikuwa ndio inatoka bitani hivyo uchumi ulidhoofu ilihali!
 
Mzawa Halisi, Kibunango,

..nadhani wakati wa jaribio la mwaka 80, Maj.Gen.Mwakalindile alikuwa Chief of Staff.

..mimi hii kesi niliifuatilia kupitia magazeti yaliyokuwa yanaripoti kesi hiyo ilipofika mahakama kuu.

..inasemekana hawa jamaa walijaribu kum-rectruit Maj.Gen.Silas Mayunga kwa kumtumia askari mmoja aliyekuwa karibu naye ambaye alikuwa stationed Zanzibar.

..it is a long time now kukumbuka kila kitu, lakini nadhani huyo jamaa wa Zanzibar ni mmoja kati wa watu walioripoti mpango mzima kwenye vyombo vya usalama.

..kuna ushahidi ulitolewa na Brig.Gen Juma Pongwe[r.i.p], na askari mmoja anaitwa Balarti. I wish ningepata nafasi kuusoma tena.


NB:

..Musuguri na Mwakalindile waliendelea kuongoza JWTZ mpaka wakati wa Raisi Ali Hassan Mwinyi.

..nadhani[sina uhakika] baada ya kutoka jeshini Mwakalindile aliteuliwa kuwa balozi Msumbiji.
 
JokaKuu, you must be of the same generation...inawezekana natakiwa kusema shikamoo maana hizo details, mhhh!
Ndahani,

..LOL!!

..of which generation?? Hingo Ilogi's generation, or Zacharia Hans Pope's generation?

..kuna kitabu kinachoongelea maasi ya Tanganyika Rifles. it is a very interesting book, na kinajibu maswali yote yaliyoulizwa hapa.

..pia nilifuatilia kesi ya uhaini miaka ya 80. waandishi waliokuwa wakiripoti kesi ile walifanya kazi nzuri sana.
 
Last edited by a moderator:
NB:

..Musuguri na Mwakalindile waliendelea kuongoza JWTZ mpaka wakati wa Raisi Ali Hassan Mwinyi.

..nadhani[sina uhakika] baada ya kutoka jeshini Mwakalindile aliteuliwa kuwa balozi Msumbiji.
Sio kama alikwenda Msumbiji kama Mwambata wa Jeshi?
 

inafaa kuandika kitabu cha matukio haya. Kwani kuna sheria inakataza
 
KunaUfisadi zaidi ya kabla kuondoka kwake madarakani akachoma moto na kuiteketeza kabisa benki kuu? au hulijui hilo?
Duuh, hizi twist and turns za hii debate,unaweza jistukia umerun mento
 
Kuna kitabu fulani kinaitwa uhaini kinaelezea kesi ilivyokuwa kwa watu hawa miaka ya 80 sidhani kama kitabu hicho kipo sokoni!
 
Hii mada ni jaribio la miaka 80 lakini watu wanaongelea jaribio la miaka ya 60.
 
Sasa unanilaumu mimi wakati Mwingereza ndio aliweka hiyo sheria! Unasikitisha sana kama hutaki kujuwa ulikotoka, wewe utakuwa ni zao lilelile la Wabaguzi wa Ujinga.

Ni wapi dini ya mtu ilidharauliwa?

teh teh teh...zomba, imagine I move around busy feeding my mind and brain those issues which you are so busy trying to portray as the sources of your own problems.... Do you know what you do to your own mind, especially subconscious mind? white and Arab boys used to rule us back then...what a waste of energy and time!!!
 


I was too young to remember everything...but worth sharing the story maana siku hizi longo longo zimezidi utafikiri kuna watu watakaa milele kwenye ofiosi za umma walizopo.
 

Never a problem of mine could be depicted to others. We had a problematic leader, highly. Believe you me, he was insane. Family heritage.
Who can deny that? not even Andrew
 
Last edited by a moderator:

Mkuu mimi huwa siamini kama askali waasi walikuwa na nia ya kumdhulu Mwalimu, shida yao ilikuwa ni maslahi tu na vyeo - lakini wabaya wa Kambona walimgeuzia kibao na kutaka kumuhushisha na na ghasia hizo, alafu si kweli kusema Kambona alikuwa hajuhi kwamba Kawawa na Mwalimu walikuwa wamejificha kwa mzee mmoja huko Kigamboni; mtu aliye wapeleka huko ni the late Mzena ambaye alikuwa mkuu wa Usalama wa Taifa kama sikosei.

Kambona ali-play a pivotal role kujaribu ku-contain wanajeshi hao at his own risk, nikisikia watu wana muhusisha na mutiny hiyo, basi huwa nasema kwamba kumbe fitina katika Taifa letu haijahanza leo - kama Kambona angekuwa na nia ya kumugehuka Mwalimu basi angetumia mwanya huo kufanya lolote maana Wanajeshi walikuwa wana msikiliza sana Kambona lakini alibakia kuwa royal kwa Mwalimu mpaka alipo toka mafichoni.
 
Mkuu Yericko,huyu Meja Gen Hans Popi ndiye yule Zakariah Hans Pope ambaye ni kiongozi wa lile kundi la Friend of Simba na mwnyekiti wa kamati ya usajili ya Simba Sports Club?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…