Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Utawala wowote wa ki autocrat unakuwa na uwezekano mkubwa wa kupinduliwa...kwa hiyo hilo jaribio halikuwa la kushangaza kwa wanaojua political science...

Na ndio maana pamoja na Nyerere 'kupendwa' aliajiri watu wa usalama weeengi hajabu...those days watu walikuwa wanaogopa hata vivuli vyao...huwezi kumsema vibaya Nyerere ukapona...ndio maana kina Kambona waliamua kutimkia uhamishoni.

Kikwete ni rais ambaye hawezi kujishuku kuwa anaweza kupinduliwa kwa sababu hata kama kuna wasiompenda watamsubili amalize muda wake...wanajua hatakaa ikulu milele...na ndio maana unamuona hana wasiwasi na wananchi wake....

Tofauti na akina Mseven na Kagame...

Nenda Kenya pale...Uhuru hawezi kupinduliwa...hata kama kuna wasiompenda wanajua ana ukomo wa kutawala...na wanaweza kujipanga wakakutana kwenye uchaguzi ujao na kfanikiwa kumtoa kabla ya ukomo kufika...


Ukimpindua kiongozi aliyechaguliwa ki democrasia ulimwengu utakutenga...lakini ukimpindua autocrat watu wanaona haukuwa na jinsi...

Hakujua alitendalo, kwani alitaka kumpindua mzalendo aliye ipenda nchi na watu wake. Angepindua hawa mafisadi na mawakala wa mabeberu ndiyo angeonekana shujaa wa kweli kama John Okelo!
 
Kila kitu kimawezekana...na ndio tatizo la kuwa na viongozi wafanya biashara au wenye close ties na wafanya biashara (corrupt)....maana reli ikiwa reliable nani atakodi lori?

ndiyo kiongozi
 
Mi huwa nafuatilia siasa za Nigeria kiasi...kule bwana kila Governor mpaka president ana God Father....sasa God Father ndio anayeendesha serikali....na ndio hao wafanya biashara wakubwa wanao sponsor politicians kwenye chaguzi...Ukipata madaraka na usitimize masharti mlokubaliana ya kuneemesha biashara ya God Father unaweza hata kuuawa...ni umafia mtupu

Ndio maana hili la mawaziri wasiwe wanasiasa naona ni wazo zuri...watakuwa na autonomy kubwa na less corrupt.
 
hizo tetesi za kuhasi hata mimi nimewahi kuzisikia, lengo ilikuwa ni kumaliza generation ya watu wa design hiyo
 
Eugene Maganga. Wengine
Deutrich Mbogora. Kanali Ngalomba. Uncle Tom.
Balozi Ngaiza. Zera Banyikwa . Kapt Tamimu.
Hans pope alikuwa na kaka yake.

Bela mnyikwipogolo ndemuyago ndihuma pa ndiuka.... Vahungilage avanyakae

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Hans Poppe[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Zacharia Hans Poppe, ambaye alizaliwa mwaka 1956 mjini Dar es Salaam na kukulia mkoani Iringa.

Baada ya kumaliza elimu ya sekondari, Zacharia alijiunga na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambako alifikia cheo cha Kapteni, kabla ya kuachishwa kazi na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela, kwa tuhuma za uhaini, dhidi ya serikali ya awamu ya kwanza, ya hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, mwaka 1983.

Lakini mwaka 1995, Zacharia aliachiwa huru kwa msamaha wa rais wa awamu ya pili, Alhaj Ally Hassan Mwinyi, mwezi mmoja kabla hajamuachia Ikulu ya Tanzania, Benjamin William Mkapa, rais wa awamu ya tatu.

Kama zinavyosema sheria za nchi, mtu aliyehukumiwa kifungo, hana haki ya kugombea wadhifa wowote au kuajiriwa tena, Zacharia naye hakuweza kurejea kazini, badala yake akaamua kujiajiri, kwa kuanzisha miradi yake mwenyewe, ambayo leo ikiwa ni miaka 17 baadaye, miradi hiyo imesimama imara.

Kwangu mimi namuona shujaa si kwasababu ya kutaka kumpindua nyerere bali pamoja na kupotezewa muda mwingi akiwa gerezani lakini ameibuka na kuwa mmoja wa matajiri na mfanya biashara mkubwa nchini,ikumbukwe baba yake mzazi aliuwa na iddi amini kipindi kile cha vita ya kagera
.

Baba yake aliuwawa mwaka 1971 wakati wa vita iliitwa ya MUTUKULA muda kidogo baada ya kumpindua Obote. Mzee Hanspope alikuwa RPC mkoa wa ziwa magharibi sasa Kagera. Mwili wake ulifichwa Mulago Hospital mpaka 1979 ukardishwa na kuzikwa Iringa.
 
Jamani naombeni kufahamishwa kuna jamaa mmoja anaitwa Dietrick Osward anamiliki kanisa la Winning Faith lina makao makuu yake Mbeya mjini lkn ana matawi Mbalizi, Kyela, Morogoro, Dodoma, Moshi na Dar kama sijakosea. Nasikia na yeye alikuwa miongoni mwa hawa waasi mwenye data tafadhali.
 
Kila kitu kimawezekana...na ndio tatizo la kuwa na viongozi wafanya biashara au wenye close ties na wafanya biashara (corrupt)....maana reli ikiwa reliable nani atakodi lori?

Hivi katika nchi zilioendelea viongozi hawafanyi biashara??!!!!
Bush family na Chevron ni vipi kwani??!!!
Hali ya mafuta hapo USA inakuwaje???!!!!!
Ni kweli kiongozi akifanya biashara lazima uti wa mgongo wa Taifa lazima uvunjike???!
 
duh, hii kali, sasa kwanini waliuficha?

Baba yake aliuwawa mwaka 1971 wakati wa vita iliitwa ya MUTUKULA muda kidogo baada ya kumpindua Obote. Mzee Hanspope alikuwa RPC mkoa wa ziwa magharibi sasa Kagera. Mwili wake ulifichwa Mulago Hospital mpaka 1979 ukardishwa na kuzikwa Iringa.
 
Huwa nikisoma/nikisikia mpango huo wa kutaka kuipindua Serikali ya Nyerere mwaka 1983 mwili huwa UNANISISIMUKA, sijui ni kwanini, I'm clueless.

Tatizo la Watanzania huwa hatuwezi ku-document mambo wether mazuri au mabaya ili KWANZA kuweka kumbukumbu na PILI ili tuweze kujifunza kutokana na matukio hayo.

Waadishi wa habari wengi wa Tanzania wamezoea kuandika LIGHT TOUCH NEWS au kutafasiri maandishi ya watu wengine kwa lugha ya kiswahili.

Hivi kweli hakuna hata mwandishi mmoja wa Tanzania anayeweza kuandika kitabu kuhusu kisa hiki cha akina Hans Pope?! Maggid Mjengwa & Co. What are you doing?. Nakumbuka Maggid Mjengwa aliwahi kuandika simulizi ya Mwamwidi(?) jinsi alivyomua Dr. Kreluu (?) RC wa Iringa wakati huo katika gazeti ya RAIA MWEMA. Tulipo mu-challenge Maggid andika kitabu kuhusu hicho kisa cha kusisimua akaingia mitini. Haya ndiyo mambo yanayosababisha baadaye historia kupotoshwa kama sasa hivi tunavyoshuhidia ulimwengu ukipotoshwa kwamba kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar alikuwa Amani Karume. Kumbe hata siku ya mapinduzi hakuwepo huko Unguja.

Mkuu hapo nilipo bold kwenye RED. Katika kundi hilo la waliotaka kumpundua Nyerere alikuwemo pia Balozi Ngaiza. Sasa hivi ni Marehemu. Huyu ana Hotel yake Muleba inaitwa KAMACHUMU INN. Kwa standard za Muleba na Kagera naye alikuwa a successfull business man.

Mwaka 2000 aligombea ubunge wa Muleba Kusini (?) kupitia CCM akaongoza kwenye kura za maoni. Lakini akaja kuenguliwa na NEC ya CCM kwa shinikizo la akina Kingunge Ngombale Mwilu kwamba mtu aliyetaka kupindua serikali ya Nyerere hawezi kugombea uongozi kwa tiketi ya CCM.

Balozi Ngaizi akahamia CUF na kugombea kwenye uchaguzi mkuu dhidi ya Lucy Msafiri wa CCM. Balozi Ngaiza akashindwa kwa kura chache (ingawa kulikuwa na tetesi kwamba NEC walichakachua matokeo).

Baadaye Balozi Ngaiai akahamia CDM baada ya CUF kukosa mvuto. Nakumbuka mwaka 2010 alikuwa anajiandaa kugombea ubunge kwa tiketi ya CDM. Lakini kabla ya kutimiza hiyo ndoto yake mauti ikamfika. Nakumbuka M/kiti wa CDM Freeman Mbowe alihudhuria mazishi yake huko Kamachumu Muleba.

Kama uliyoandika hapo juu ni kweli kwamba sheria za nchi haziruhusu mtu aliyepatika na kosa na kufungwa jela, ilikuwaje basi Balozi Ngaiza akagombea ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye kura za maoni na baadaye kwenye uchaguzi mkuu kwa tiketi ya CUF?!

For those who have short memory, Ismail Aden Rage alishawahi kupatikana na kosa mbele ya mahakama na akafungwa jela. Je, imekuwaje Ismail Aden Rage amegombea ubunge na sasa ni Mbunge wa Tabora mjini?.

Naomba tu wanasheria/wana JF wanaofahamu sheria wanijibu haya maswali yangu.
Aden Rage alikutwa na hatia akafungwa! Hata hivyo, baade alikata rufaa na akashinda rufaa ile! Kisheria, ikiwa mtu amekata rufaa na akashinda basi maana yake ni kwamba hajapata kutenda kosa husika! Yaani ikiwa ulihukumiwa miaka 30 kwa ujambazi; ukatumikia baadhi ya miaka lakini ulipokata rufaa, ukashinda rufaa yako! Hapo maana yake ni kwamba hujawahi kutenda kosa la ujambazi! Hivyo basi, Rage hajawahi kutenda kosa ambalo alifungwa!
 
Kwa nchi zenye demokrasia changa ni hatari yes...kwa kuwa kiwango cha checks and balances kiko chini sana


Hivi katika nchi zilioendelea viongozi hawafanyi biashara??!!!!
Bush family na Chevron ni vipi kwani??!!!
Hali ya mafuta hapo USA inakuwaje???!!!!!
Ni kweli kiongozi akifanya biashara lazima uti wa mgongo wa Taifa lazima uvunjike???!
 
Kwa nchi zenye demokrasia changa ni hatari yes...kwa kuwa kiwango cha checks and balances kiko chini sana

Watu "wafanyabiashara"wanakomaa kwa kasi ya ajabu ioa nchi bado bado ina demokrasia changa!!!!!!
Tunahitajia miaka mingapi ili kukomaa kidemokrasia;by then hata tuta la reli watakuwa washapandia viazi mkuu!!!!!

Loop hole hii tunayoijenga ndio serikali inaitumia kukaa kimya na passive huku hao wafanyabiashara wakifanya yao!!!
 
hivi nyerere amekoswakoswa mara ngapi kupinduliwa?

Kuna mtu aliniambia kuwa Nyerere alikoswa kupinduliwa mara 39 katika utawala wake.Na waliotaka kumpindua kundi la kwanza lilikuwa ni mikono ya Mabeberu maajenti killers wa mataifa ya kibeberu walioona yeye ni tishio kwa interests zao na sera zao afrika wakiwemo wale waliokuwa wakitaka kumwua kukomesha harakati za kupigania uhuru kusini mwa Afrika.

Kundi la pili lilikuwa ni la Viongozi wa serkali waliokuwa hawakubaliani na sera zake na staili yake ya uongozi na waroho wa madaraka.

Kundi la tatu lilikuwa la wanajeshi wa vyeo vya chini ambao walikuwa hawaridhiki na maisha yao jeshini.Hawa walikuwa wakisoma magazeti yakionyesha watu hata masajenti kama akina samuel Doe kuwa walipindua nchi wakadhani na Tanzania yawezekana makoplo na masajenti wakaweza ikala kwao.

Kilichomwokoa Mara Zote asipinduliwe ni kupendwa kupindukia na watu wa tabaka la chini ambao ndio wengi mijini na vijijini.Hawa walijitolea kumlinda bure kwa gharama yeyote.Hivyo siri na mikakati yote ilikuwa na uwezo wa kujulikana mapema mno tena bila serikali kutumia gharama.Alikuwa kipenzi cha watu na watu ndio walikuwa watoa siri na walinzi wake.Ulinzi wake ulikuwa jukumu la kila mtanzania.

Ndio maana kila juhudi za kumpindua hazikufanikiwa.
 
Ni kiongozi wa Malori ya akina Lowassa,
mm sifa nyingine huwa nashindwa kuzimeza
Yaani kuua Shirika la Reli ili mpate Biashara ya kupeleka mizigo Rwanda nayo ni sifa kweli?
Je Mwakyembe anapowakaribisha Wachina waifufue na kuua biashara ya malori si mtamlaani
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/586769-high-speed-train-in-tz-wachina-watajenga.html

Acha uzushi wa kumuhusisha Zacharia na wakina Lowassa; yeye anafanya biashara zake na ndugu zake kusafirisha mafuta hana ushirika na hao mafisadi!!!
 
Kuwa na demokrasia ilokomaa haina uhusiano na miaka...mfano South Korea wameshakomaa na walianza miaka ya 90s kukubali demokrasia...

Tutakomaa pale watu watakapojitambua...democrasia ina uhusiano na kiwango cha elimu na ukuaji wa uchumi...mtu masikini hawezi kufikiri vizuri...akipewa elfu 10 ana trade his/her vote bila kujali atakayemuongoza ni fisadi au ana potential ya kumvusha kwenye wimbi la umasikini ....



Watu "wafanyabiashara"wanakomaa kwa kasi ya ajabu ioa nchi bado bado ina demokrasia changa!!!!!!
Tunahitajia miaka mingapi ili kukomaa kidemokrasia;by then hata tuta la reli watakuwa washapandia viazi mkuu!!!!!

Loop hole hii tunayoijenga ndio serikali inaitumia kukaa kimya na passive huku hao wafanyabiashara wakifanya yao!!!
 
Kuwa na demokrasia ilokomaa haina uhusiano na miaka...mfano South Korea wameshakomaa na walianza miaka ya 90s kukubali demokrasia...

Tutakomaa pale watu watakapojitambua...democrasia ina uhusiano na kiwango cha elimu na ukuaji wa uchumi...mtu masikini hawezi kufikiri vizuri...akipewa elfu 10 ana trade his/her vote bila kujali atakayemuongoza ni fisadi au ana potential ya kumvusha kwenye wimbi la umasikini ....


Ulianza na "wafanyabiashara" sasa umetanua wigo unataja "watu" hivi kwa mpangilio wa maelezo yako kuna sehemu utaona umuhimu wa serikali kuwajibika na kufanya pre requisites ili wafanyabiashara na watu waweze kuwa sehemu ya maendeleo badala ya kuwa sehemu ya lawama???!!!!
 
Siongelei lawama...naongelea separation of power...wafanyabiashara tunawahitaji sana na tunawapenda...lakini waendelee tu kufanya biashara lakini wasiwe na kofia tatu...

Chunguza kinachodidimiza uchumi wa nchi nyingi za Afrika utakubaliana na ninachokwambia

Nimeongelea watu kwa sababu serikali ni ya watu na kwa ajili ya watu...nikiwa na maana ya wananchi...kama kuna democrasia kiongozi hawezi kutumia ofisi ya umma anavyotaka...atawajibishwa haraka na si kwa kusuasua...

Kwanza fikiri mtu ambaye ni mfanyabiashara halali anapata wapi muda wa kufanya politics...au anategemea politics zineemeshe biashara? through public procurements


Ulianza na "wafanyabiashara" sasa umetanua wigo unataja "watu" hivi kwa mpangilio wa maelezo yako kuna sehemu utaona umuhimu wa serikali kuwajibika na kufanya pre requisites ili wafanyabiashara na watu waweze kuwa sehemu ya maendeleo badala ya kuwa sehemu ya lawama???!!!!
 
Siongelei lawama...naongelea separation of power...wafanyabiashara tunawahitaji sana na tunawapenda...lakini waendelee tu kufanya biashara lakini wasiwe na kofia tatu...

Chunguza kinachodidimiza uchumi wa nchi nyingi za Afrika utakubaliana na ninachokwambia[/
QUOTE]

Nilikutajia Chevron ukasema hatujakomaa,umetoa mfano wa Korea ambao una time frame inaonekana,na inaonesha kuwa ni kukosa maamuzi tu ndio kunakwamisha!!!!!

Nchi nyingi za Afrika haziwezi kuwa re models sababu hata wasomi wanaoandika kuhusu umasikini huwa wanafurahi maandiko yao yanapotimia hata kama proof hiyo itagharimu maisha ya wengi!!!

Tusubiri kukomaa au tuibane serikali ifanye yanayohitajika??!!!!
 
Back
Top Bottom