Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
- Thread starter
- #21
Yamakagashi, scenario ya bus ni tofauti aseh, hata hivyo kaua wachache kuliko angedondosha bus zima!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ilikuaje mbona hiyo habari sijaipata!..
hahahaa unaiburuza ukutani mpaka isimame!..
Kipindi hiko tukienda shy town ilikuwa ukipita Sekenke lazima ukutane na scania imeburuzwa kwenye ukuta mlimani!.
scenario ya bus ni tofauti aseh, hata hivyo kaua wachache kuliko angedondosha bus zima!.
mambo ya hand brake na kudrift sio!..🙂
kwamba unatembea na gari bila mafuta ya breki!, ilikuwa kwenye lami au vumbi!!It was more than that Mkuu
Kuna vijana walibuni kumwaga mafuta ya break katika magari halafu kushindana racing bila break
Ni hatari sana lakini msisimko wa tofauti kabisa kama huna uoga
Unapiga gear kama kichaa
Sent from my iPhone using Tapatalk
kwamba unatembea na gari bila mafuta ya breki!, ilikuwa kwenye lami au vumbi!!
huu mchezo bado hujanichezesha!.
Hii ya kumwaga mafuta ni hatari. Mimi na jamaa yangu tuliwahi kushindana kutotumia kabisa breki kwenye safari ndefu.It was more than that Mkuu
Kuna vijana walibuni kumwaga mafuta ya break katika magari halafu kushindana racing bila break
Ni hatari sana lakini msisimko wa tofauti kabisa kama huna uoga
Unapiga gear kama kichaa
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hii ya kumwaga mafuta ni hatari. Mimi na jamaa yangu tuliwahi kushindana kutotumia kabisa breki kwenye safari ndefu.
Mimi breki kwenye gari ya manual nikiwa safari ndefu sipendi kutumia napenda sana Change Down ya Gear kuwa kama kipunguza mwendo.
Nilikuwa napiga change down kwenye Isuzu Kb mpaka nikipita maeneo ya stendi au sokoni raia wanashangilia kwa kupiga miluzi.
Ile michezo ya waarabu jangwani napenda sana wanavyoifanya, mingine Formula One!.Ilikuwa tunaanza kwenye lami halafu tunamalizia kwenye desert [emoji248]
Sijawahi kuogopa na sijui woga ukoje
Ila kuna mambo mengine ni magumu kuyafanya kama unaogopa au kuogopea maisha yako
Siku hizi nimezeeka huwa naenda kuangalia tu mashindano [emoji23]
Sent from my iPhone using Tapatalk
Dah...ushaanza kuzeeka 🤭Hii inanikumbusha kwenye miaka ya nyuma sana nikiwa ni napenda sana racing
Ukiwa kijana unafanya mambo ya hatari sana mpaka sasa najishangaa
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ile michezo ya waarabu jangwani napenda sana wanavyoifanya, mingine Formula One!.
Dah...ushaanza kuzeeka [emoji2960]
120kph mkuu si speed ndogo....likilia mzinga kishindo chake ndiyo kinaelezea hiyo speedWengi wetu tunafariki ni kwa sababu ya speed kubwa ya gari. Mara nyingi nikiwa natoka mbeya to dsm, speed kubwa kwangu ni 120km/h
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ford Mustang au Mercedes Benz Wd124 maarufu kama Master Piece yenye V12 engine toleo la zamani umewahi kutumia kwenye mbio.
Maana kuna waarabu nimeona wakitumia iyo Benz mzee kuchezea jangwani.