🤭 hongera mkuu. Hizo mambo zina apply 1/10 nadhaniUnatisha watu wewe, Mimi ni shuhuda nilikua apeche alolo. Mwanangu alikuja na baraka mpya ndio nikamuoa na mama yake sasa na mengine mengi mengi.. na hivi punde tunatarajia baraka zingine 🤗
Kinacho watesa ni kukosa watoto au kukosa pesa?Bado, ila ninawaona wanaoteseka kwa kukosa vyote, yani mali na watoto.
Mchawi sanaUsiogope mkuu pata mtoto
Duh jamaa anasambaza mbegu tu.Kuna muhuni wangu anao 8 wanawake tofauti tofauti nikisema 8 situngi mkuu hii sio fiction Ni kweli na mwaka huu kaamua kuoa cha ajabu kachafua kitaa na mimba nyengine na hakuna hata mmoja anamuhudumia kuna watu wana ujasiri
Kweli kabisa...Kama una tatizo la kiuchumi kwa muda mrefu jaribu kupata mtoto...
Mtoto anakuja na sahani yake mambo Yako yanaweza kufunguka. .......
Wa kwanza asipoleta pandikiza mwingine ..jaribu kuleta mwingine na mwingine na mwingine...
Thank me later
Cc: Kijana masikini and 100 others
Duh jamaa anasambaza mbegu tu.