Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
🤠hongera mkuu. Hizo mambo zina apply 1/10 nadhaniUnatisha watu wewe, Mimi ni shuhuda nilikua apeche alolo. Mwanangu alikuja na baraka mpya ndio nikamuoa na mama yake sasa na mengine mengi mengi.. na hivi punde tunatarajia baraka zingine 🤗