Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi inabidi tupate mtoto Mmoja Ili tupate Sahani yake🙃🙃Sijapata jmni
Huko deal zipo
Raha ya dunia utamu wa puneneBila utamu hutoi hela
Njoo tupate😂😍Basi inabidi tupate mtoto Mmoja Ili tupate Sahani yake🙃🙃View attachment 3245627
Hakuna mimba inayobagua chakula ni hisia zenu tu wanawake na hapo ndipo mnapitia sijui mimba haitaki nini hamna kitu cha namna hiyo ni tamaa zenu tuUzazi ni gharama.. mimba zenyewe zinabagua vyakula, hazitaki wali dagaa 🤣
Hapo mtoto hajaja..
Wee chelewa kufa uteseke mie mwenzio 2027 nipo zangu kaburini nimepoaUtakufa mapema ww
Alahamdulilahi nije nikojoe pazuri mie,ije Sahani yenye minyama za ngamiaNjoo tupate😂😍
Ushawahi kubeba mimba ukakutana na hizo hisia??Hakuna mimba inayobagua chakula ni hisia zenu tu wanawake na hapo ndipo mnapitia sijui mimba haitaki nini hamna kitu cha namna hiyo ni tamaa zenu tu
Utakuwa handsome ehAlahamdulilahi nije nikojoe pazuri mie,ije Sahani yenye minyama za ngamiaView attachment 3245633
Angalia avatar mamaa 90% ni ukweli,mtoto atafata Kwa mama scientifically proved🤣🤣🤣Utakuwa handsome eh
Tutoe watoto wazuri😍
Basi sawa tutazaa motivation speakers 🤣🤣🤣Ata Mimi mbaya vile vile 😂avatar inadanganya...
Kwahio hapa kwenye avatar baba atakuwa na shingo kama la twiga😹
😆"Nepi ni ghali kuliko condom."
Zingatia hiyo busara.