Dei Gratia Rex
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 423
- 696
Sawa, ila sitahusika kwa hela ya saluni,nguo,viatu,rangi za kucha,vocha,vipodozi n.k.Maliza kufikiria afu.uje tuzae
😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, ila sitahusika kwa hela ya saluni,nguo,viatu,rangi za kucha,vocha,vipodozi n.k.Maliza kufikiria afu.uje tuzae
😹😹
Kwani kabla ya kukutana na mwanaume, ulikuwa huwezi kununua nguo ?Unataka nitembee uchi
Bado, ila ninawaona wanaoteseka kwa kukosa vyote, yani mali na watoto.Imekutokea ukafanikiwa
Acha uoga wa maishaUzazi ni gharama.. mimba zenyewe zinabagua vyakula, hazitaki wali dagaa 🤣
Hapo mtoto hajaja..
Acha uoga wa maisha
Changamka sasa.Ni wewe tu, niko tayari huu mwaka wa kumi sasa
Leo kesho...Changamka sasa.
MallerinaKama una tatizo la kiuchumi kwa muda mrefu jaribu kupata mtoto...
Mtoto anakuja na sahani yake mambo Yako yanaweza kufunguka. .......
Wa kwanza asipoleta pandikiza mwingine ..jaribu kuleta mwingine na mwingine na mwingine...
Thank me later
Cc: Kijana masikini and 100 others
Leo.Leo kesho...
Mtoto au watoto hawakuzui wewe kuwa tajiri bali kipato chako.Sawa Hamza