Jaribuni kuwa na shukrani

Jaribuni kuwa na shukrani


  1. Utasikia Sasa Hivi:-

  2. Umenipotezea Muda

  3. Hukuwa Muoaji

  4. Huna Mapenzi

 
Yan kiti na pazia moja ndio unalalamika hvyo !!? Kuna kingne nyuma ya hvyo vitu
 
Ipo hivi:

Tumedumu kwenye mahusiano kama mwaka hivi, imefikia muda sasa nataka kuoa halafu yeye dini tofauti na naona kuna mambo tunatofautiana sana, dini amekataa kubadilisha anataka nibadilishe mimi

Sasa leo nimemwambia tu bora kila mtu atafute wa kufanana naye anaanza kudai eti nataka kiti na mapazia yangu niliyoyaacha kwako, yaani kiti na na pazia moja anaona ni gharama kubwa kuliko pesa zangu nilizomlisha kumsomesha nakumlipia kodi kwa mwaka mmoja.

Kwanini wasichana wengi wa sasa hamna shukuran? Na mimi nikisema anilipe ataweza kweli
Mpatie yaishe..fanya kama ndio kiinua mgongo chake wengine tuliacha nyumba na magari na leo hawana kitu wanahemea
 
We mpe aende usitupigie kelele humu mbona lako dogo mkuu siku ukipata mdada ambae anaroga ndo utaelewa.
siku ukipata mdada ambae anaroga ndo utaelewa.[emoji23]
Umeumwa na nyoko wewe..[emoji23]
 
Ipo hivi:

Tumedumu kwenye mahusiano kama mwaka hivi, imefikia muda sasa nataka kuoa halafu yeye dini tofauti na naona kuna mambo tunatofautiana sana, dini amekataa kubadilisha anataka nibadilishe mimi.

Sasa leo nimemwambia tu bora kila mtu atafute wa kufanana naye anaanza kudai eti nataka kiti na mapazia yangu niliyoyaacha kwako, yaani kiti na pazia moja anaona ni gharama kubwa kuliko pesa zangu nilizomlisha kumsomesha nakumlipia kodi kwa mwaka mmoja.

Kwanini wasichana wengi wa sasa hamna shukurani? Na mimi nikisema anilipe ataweza kweli?
Mkuu we mpatie tu , huwa hawakumbuki hayo ,
Halafu kumbuka mpenzi hasomeshwi
 
Yaani na nyie vijana wa siku hizi mnachelewa kukomaa kiakili. Ndio mambo ya kuja kulalamikia hayo kweli?.

Hata kama huna kipato,jifunze kuona mali au vitu sio kitu cha kukunyima amani moyoni. Sio kitu cha kuumiza moyo. Wewe mpe tu hivyo vitakataka. Tena mwambie kama kuna kingine aseme,tena jifanye umekosea mpe hata viti viwili mapazia hata manne. Hivyo ni nini mbele ya utu?.

Unaonekana hata wewe sio mstaarabu,kulilia takataka hizo. Nafikiri kinachokuuma sio hivyo bali ni zile hela ulizompa umesema na kumsomesha. Hivyo vyote fanya kama ulinywea pombe,hivyo vyote vihesabie hukuwahi kuwa navyo.

Songa mbele na mambo yako ya maana,achana na kulilia mapazia au ada ulizomlipia. Utachelewa.
Afuate ushauri huu atakushukuru
 
Alitakiwa akudai na figo maana ulijipendekeza kusomesha mtu asiye nduguyo, na unakuta una ndugu na jamaa kibao walitaka msaada wako na hukufanya lolote
 
Kila Mtu Ashinde Match Zake,Kwa Mkapa Hatoki Mtu
255744270339_status_278b7565a1ac4999b86752aa28fc57da.jpg
 
Ipo hivi:

Tumedumu kwenye mahusiano kama mwaka hivi, imefikia muda sasa nataka kuoa halafu yeye dini tofauti na naona kuna mambo tunatofautiana sana, dini amekataa kubadilisha anataka nibadilishe mimi.

Sasa leo nimemwambia tu bora kila mtu atafute wa kufanana naye anaanza kudai eti nataka kiti na mapazia yangu niliyoyaacha kwako, yaani kiti na pazia moja anaona ni gharama kubwa kuliko pesa zangu nilizomlisha kumsomesha nakumlipia kodi kwa mwaka mmoja.

Kwanini wasichana wengi wa sasa hamna shukurani? Na mimi nikisema anilipe ataweza kweli?
Sasa unatuuliza sisi? Mbona yeye hajakuja huku?
 
ni hasira tu hizo si kwamba kweli anataka umrudishie. na mimi kuna kipindi nilitaka kufanya hivyo ila nikawaza na mimi nikidaiwa vyake ambavyo vilizidi maradufu ya nilivyompa nikaacha. mpe mda hasira zikipoa hatadai.
 
Ipo hivi:

Tumedumu kwenye mahusiano kama mwaka hivi, imefikia muda sasa nataka kuoa halafu yeye dini tofauti na naona kuna mambo tunatofautiana sana, dini amekataa kubadilisha anataka nibadilishe mimi.

Sasa leo nimemwambia tu bora kila mtu atafute wa kufanana naye anaanza kudai eti nataka kiti na mapazia yangu niliyoyaacha kwako, yaani kiti na pazia moja anaona ni gharama kubwa kuliko pesa zangu nilizomlisha kumsomesha nakumlipia kodi kwa mwaka mmoja.

Kwanini wasichana wengi wa sasa hamna shukurani? Na mimi nikisema anilipe ataweza kweli?
Wanawake Mungu ana waona
 
Ipo hivi:

Tumedumu kwenye mahusiano kama mwaka hivi, imefikia muda sasa nataka kuoa halafu yeye dini tofauti na naona kuna mambo tunatofautiana sana, dini amekataa kubadilisha anataka nibadilishe mimi.

Sasa leo nimemwambia tu bora kila mtu atafute wa kufanana naye anaanza kudai eti nataka kiti na mapazia yangu niliyoyaacha kwako, yaani kiti na pazia moja anaona ni gharama kubwa kuliko pesa zangu nilizomlisha kumsomesha nakumlipia kodi kwa mwaka mmoja.

Kwanini wasichana wengi wa sasa hamna shukurani? Na mimi nikisema anilipe ataweza kweli?
dogo, sasa wewe ulikuwa huna kiti wala pazia? unanitia aibu jamani hebu fanya urudishe vitu vya mwenzio

ila umekuwa na gats gani kuleta huu uzi?

ahahahahahah
 
Back
Top Bottom