Jaribuni kuwa na shukrani

Jaribuni kuwa na shukrani

Anataka mgawane mali kwan mna ndoa?alale mbele hukoo.,bora umeanza kujua litabia mbaya lake
NASHUKURU KWA KUNIELEWA, WAPO MAZUZU HAPA WANASEMA ETI NADAI MAPAZIA NA KITI, YANI HIYO NI KAMA NIME INCLUDE NA WALE AMBAO WASHATOA SANA VITU VYA THAMANI, LAKINI KWENYE KUACHANA WANADAIWA VITU VIDOGO SANA WALIVYOPEWA
 
Unahofia ukimpa kiti chake utakaa chini. Kiti chenyewe kinaonekana kile cha cello.
 
Rejea ya nini. Mpe mali yake
Fanya stuli kabisa ya 5,000 sio kiti cha cello, kiti cha cello ghali sana

Tumeelewana sasa kua tufanye stuli???
Ok, tuendelee

Nilikua nalipa 1,200,000 kwa mwaka kodi ya nyumba (kwa mwezi 100k)

Kula 50,000 kwa week (200k kwa mwezi)
Bado kuna ada, saluni, smartphone, vocha,
Angalia kwa mwaka nilikua natumia shngap, halafu naachana nawewe unanidai kitu cha 5,000 tena umekomalia kabisa, tena hicho kitu chenyewe ulinunua kwa pesa zangu, halafu unaleta ugomvi unataka kiti chako na mapazia ya elfu 30

Shukran yako ipo wapi hapo??
 
Karibuni tujipooze na supu ya makongoro ya chairfire
JPEG_20211027_174622_8544391625756637439.jpg
 
Kuna watu wana bahati jmn... Mm nikimpataa mbona natulizaaaa takoooo chini.
Ila mpe tu akitakachoooo
 
Ipo hivi:

Tumedumu kwenye mahusiano kama mwaka hivi, imefikia muda sasa nataka kuoa halafu yeye
Kaka hao watu ndo wako hivyo kuna mmoja nilipiga chini kwa uninafsi kama huu tukabaki tunaheshimiana tu yaan mtu unaenda likizo mkoa kaniagiza nimchukulie mafuta singida pale nkambebea lita 5 fresh kasema ntakurudishia hela yako hapo lita 5 kama 15k tu nimefika kaja kayachukua home next day na akanipa 10k then 5k kaanza sound nkampotezea tu coz 5k sio issue maana keshagakula hela zangu zaid ya hiyo na nshakula papuch yake mara nyingi pia

Sasa kuna issue ambayo yeye alitakiwa anisaidie pale ofcn kwake maana anafanya kazi halmashaur akadai hiyo issue inahitaj ajiunge bundle maana limeisha nkamwambia jiunge tu ntakupa ebwanaaeee next day mbona nilijuta message kibao za kunidai elfu 2 ya bundle lake mpaka ananitolea kashfa nkamwambia wee vipi mbona unakuwa mbinafs sanaaa???

Mbona nshakupa hela zangu kibao tu wala siwaz kukudai na juzi ninekuletea mafuta umesema unanilipa ila ukanipa 10k tu na 5k ukakacha na wala sijawahi kukusumbua??? Sasa 5k pekee nlokuqchia juzi na hii 2k yako unayonipigia kelele ipi kubwa????? Nkamchana sanaaa akajifanya kusema bas yaishe ila nkampiga chini mazima from that day
 
Back
Top Bottom