Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

Jasmine Razack: Feitoto amekwisha fungua kesi CAS dhidi ya TFF na sio Yanga!

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Msimamizi wa Feisal Salum, Bi. Jasmine Razack asubuhi hii amesema kuwa, tayari Feisal amelipa pesa ya awali na amefungua jalada (CAS).

Amesema, kwenye kesi hiyo, Feisal hajaishitaki Yanga huko CAS, ameishitaki (TFF) kwa kushindwa kuvunja mkataba wake na Yanga na kumuamuru arejee Yanga.

"Shauri ni baina ya (TFF) na Feisal. Yanga hawahusiki, hajawashitaki," Jasmine Razack.

FB_IMG_16856952974515231.jpg
 
Ndio mikataba inavunjwaga hivyo?

Sijui watu mnafikiria kwa njia gani sijui.

Fei mwenyewe anasema Hana shida na Yanga ila ana shida na Eng Hersi! Ye aliingia mkataba na Hersi au na Yanga?
Hawa mbumbumbu hawana akili kabisa kila siku TFF inatoa muongozo aende kwenye club yake amekaza shingo ngoja aendelee kuzurula
 
Ndio mikataba inavunjwaga hivyo?

Sijui watu mnafikiria kwa njia gani sijui.

Fei mwenyewe anasema Hana shida na Yanga ila ana shida na Eng Hersi! Ye aliingia mkataba na Hersi au na Yanga?
Ana shida na Hersi rais sijui mwenyekiti wa yanga. Bila mwenyekiti/ rais ambae ni Hersi yanga haijakamilika. Yanga sio jiwe Bali inajumuisha kuanzia viongozi, Mashabiki, miundombinu n.k.
 
Back
Top Bottom