myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣Hahahaha. Dogo ana mishtuo ya hapa na pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Hahahaha. Dogo ana mishtuo ya hapa na pale.
SI AMESEMA MPK SASA MCHANGO UMEFIKIA MIL9 TU!... 🚨 'Feisal kaishitaki (TFF) sio Yanga!'
Msimamizi wa Feisal Salum, Bi. Jasmine Razack asubuhi hii amesema kuwa, tayari Feisal amelipa pesa ya awali na amefungua jalada (CAS).
Amesema, kwenye kesi hiyo, Feisal hajaishitaki YANGA huko CAS, ameishitaki (TFF) kwa kushindwa kuvunja mkataba wake na Yanga na kumuamuru arejee Yanga.
"Shauri ni baina ya (TFF) na Feisal. YANGA hawahusiki, hajawashitaki"
©️ Jasmine Razack
View attachment 2643365
Ameiandikia barua Yanga, wao TFF wanahusika nini? Tena ukizingatia Yanga wameonyesha ushirikiano kumwita wazungumze? Unafikiria kutumia makalio au?Ila wana mamlaka ya kumbakisha iwapo yeye ameiandika barua Yanga ya kuomba kuvunja mkataba.
Wajibu ni mchezaji kwenda kuzungumza na club yake kuhusu mkataba, wao wanahusika nini?Ni sahihi kabisa. Nilishawahi kusema TFF hawajatimiza wajibu wao.
Anayepaswa kuwajibika ni Fei na muajiri wake, sio TFFHuyo Mama Akili kubwa! TFF itadhalilishwa soon Kwa kushindwa kuwajibika na kuleta unazi. TFF ingewajibika inshu ya Fei ilishakwisha.
Walimuita wazungumze au walikimbilia TFF kwanza?Ameiandikia barua Yanga, wao TFF wanahusika nini? Tena ukizingatia Yanga wameonyesha ushirikiano kumwita wazungumze? Unafikiria kutumia makalio au?
Jana kasema hana shida na Yanga ana shida Hersi muwe mna sikiliza vizuri , anawashitaki TFF kwa kosa gani,?Ana shida na Hersi rais sijui mwenyekiti wa yanga. Bila mwenyekiti/ rais ambae ni Hersi yanga haijakamilika. Yanga sio jiwe Bali inajumuisha kuanzia viongozi, Mashabiki, miundombinu n.k.
TFF Wamesema akaongee na waajiri wakeWalimuita wazungumze au walikimbilia TFF kwanza?
Mnakipenda sana hicho kiungo.
TFF jukumu lake ni lipi pale mchezaji anapoandika barua ya kuomba kuvunja mkataba na club kukataa maombi ya mchezaji na kukatokea kutokuelewana?TFF Wamesema akaongee na waajiri wake
Yanga wako tayari kuzungumza naye
Yeye kaweka kiburi kwenda kuzungunza.
TFF inahusika vipi?
TFF wametimiza jukumu lao la kumrudisha kwenda kuzungumza na Yanga. Pia Yanga wametimiza jukumu lao kumuita kwa ajili ya mazungumzo, Maana mkataba huvunjwa kwa makubaliano ya pande mbili.Swala linabaki kwa mchezaji kuweka jeuri, asipokuwa makini huko CAS anaweza kuhukumiwa adhabu kubwa zaidi.TFF jukumu lake ni lipi pale mchezaji anapoandika barua ya kuomba kuvunja mkataba na club kukataa maombi ya mchezaji na kukatokea kutokuelewana?
Pengine mimi ndio sijui sakata lilivyoanza. Hivi TFF aliingilia au aliingizwa? Ni nani aliyepeleka mashtaka TFF?TFF inaingilia maamuzi yake ya kuomba kuvunja mkataba na Yanga kwa vifungu vipi?
Okey, nieleweshe hapa.TFF wametimiza jukumu lao la kumrudisha kwenda kuzungumza na Yanga. Pia Yanga wametimiza jukumu lao kumuita kwa ajili ya mazungumzo, Maana mkataba huvunjwa kwa makubaliano ya pande mbili.Swala linabaki kwa mchezaji kuweka jeuri, asipokuwa makini huko CAS anaweza kuhukumiwa adhabu kubwa zaidi.
Hiyo barua ya kwanza ya kuomba kuvunja mkataba alitakiwa kumuandikia MWAJILI WAKE siyo TFF 😂😂Barua ya kuomba kuvunja mkataba siyo hatua ya kwanza ya kuvunja mkataba?
1. Yanga ndo walienda wakaambiwa huyo ni mchezaji wenu na Fei akaambiwa kaa na mwajiri wako ww ni mchezaji wao.Pengine mimi ndio sijui sakata lilivyoanza. Hivi TFF aliingilia au aliingizwa? Ni nani aliyepeleka mashtaka TFF?
Tff ni baba wa hao wote!inapoonekana wamekosa muafaka basi baba anapaswa kuingilia kati.Nafikiri yasingefika huko CAS.Anayepaswa kuwajibika ni Fei na muajiri wake, sio TFF
Barua ya kwanza ilienda kwa mwajiri. Iliambatana na m100.Hiyo barua ya kwanza ya kuomba kuvunja mkataba alitakiwa kumuandikia MWAJILI WAKE siyo TFF 😂😂
Kumbe ni mpaka inapoonekana wamekosa muafaka? Basi hawajakosa muafaka! Maana Kijana ameitwa wakazungumze amekataa, Na hatua ya awali ya TFF ni kumrudisha wakazungumze kwanza, kama ingeshindikana then wangejua hatua ya kuchukua, Lakini kijana kaweka jeuri kwenda kuzungunza, Mbaya zaidi hana sababu za msingi kuvunja mkataba.Tff ni baba wa hao wote!inapoonekana wamekosa muafaka basi baba anapaswa kuingilia kati.Nafikiri yasingefika huko CAS.
Tff Ina mkataba na Feisal? Je,Feisal na party ya pili(Yanga) walishajadiliana wakashindwana?Huyo Mama Akili kubwa! TFF itadhalilishwa soon Kwa kushindwa kuwajibika na kuleta unazi. TFF ingewajibika inshu ya Fei ilishakwisha.
Pengne unasukumwa na ushabiki . Hvi unazifahamu taratibu za mchezaji kuvunja mkataba na timu ?.Barua ya kwanza ilienda kwa mwajiri. Iliambatana na m100.