Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
."Nimekuja hapa kwa kazi moja tu kuhakikisha Edward Lowassa kamwe Hachaguliwi kuwa Rais wa nchi hii", nilimnukuu Jasusi huyo akijigamba kwa Mtu wake wa karibu aliyekuwa naye hotelini hapo...
Nadhani kuna ukweli ndani yake kataja mpaka hotel aliyofikia kinachofanya mkatae ni nini ?.
Ukiambiwa ukweli jifunze kuukubali hata kama wakati mwingine unauma
Mnajitahid aisee
Sijakataa kama sio kweli. Quote yangu ilikusudia kujua maelezo uliyoyatoa, kwamba kaingiza marais wote, ukimaanisha hata Nyerere?
Jaman huu utakuwa uongo wa kutupwa
Mh! mnajua kudadavuaNajitahidi kwa lipi?Mtu anajiandikia tu, sijui nchimbi kaingiza marais wote? Wote akimaanisha hata Nyerere? Hata Mwinyi?Na kama hao nao kawaingiza madarakani, mbona umri kama hauruhusu?
Du kila jambo mnamtupia Membe anawasumbua nini au mmegundua ndiye atakayepeperusha bendera ya CCM?
Hapa Membe anahusikaje, kwani yupo Dodoma au mnamwogopa baada ya kujua ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kupeperusha bendera ya CCM?Huu Uzushi umepikwa na membe ni mjinga pekee anaweza kuuamini !
Jiongeze wewe kuanzia mkapa
Amekuwa mwenyejiti wa vijana miaka mingi ni mtu wa kuangalia sana
Wabongo bwana... Sasa wewe una uhakika gani kama hiyo hotel alotajwa ndio aliokuwepo? Trust nothing and suspect everything
Wakati Watu Wakijenga Mnala Mungu Aliwafitinisha Akawachanganya Kidogo Tu Wakashindwa Kuelewana Lugha, Sasa Naona Amewachanganya Ccm Wanashindwa Kuelewana Ukawa Kiulaini Ikulu.
Membe ndiye mratibu na mfadhili mkubwa wa mtandao wa kumpakazia na kumchafua Lowasa .
Hamjachoka kumuandikia Uzi kila siku Mh? Au mgombea ni mmoja tu jamani?
Safari ya matumaini ileeeeeee