Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
."Nimekuja hapa kwa kazi moja tu kuhakikisha Edward Lowassa kamwe Hachaguliwi kuwa Rais wa nchi hii", nilimnukuu Jasusi huyo akijigamba kwa Mtu wake wa karibu aliyekuwa naye hotelini hapo...
Nenda kamuulize huyu ''mtu wake wa karibu'' nae amuulize Mwangoda atahakikishae Lowassa hachaguliwi wakati Mwangoda haingii ndani ya CC. Then urudi utupe mrejesho.