Foul
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 796
- 1,160
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usijal shemeji angu,pole na majukumuShemeji leo nimetingwa kidogo nadhani naeza ibuka usiku sana na ahsubuh mkaikuta ama la basi kesho
Mtanisamehe kwa usumbufu wa kuchungulia chungulia kila mara
Poleni
Vipi haijaisha bado[emoji28][emoji28]nipo APA nshaagiza peps ya baridi naamini kabla aijaisha mzigo utakuwa ushashuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu agiza kreti tu uendelee na moja moja.nipo APA nshaagiza peps ya baridi naamini kabla aijaisha mzigo utakuwa ushashuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesubiri hili fumanizi la sajin Kebu na Honda hata halitokei.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe si mimi tu ninayepata tabu!Mkuu Kudo wengine tumesha zeeka sana, tupunguzie safari za mara kwa mara kuja kuchungulia... Nisije nikakufwaa kabla sijajua hatma ya Solomon
Sanaaaa tutaanza kuwasahau wahusika sasa, Nataka kuona kojo anavyomwaga kojo tena
Wee acha tu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe si mimi tu ninayepata tabu!
Mkuu Kudo wengine tumesha zeeka sana, tupunguzie safari za mara kwa mara kuja kuchungulia... Nisije nikakufwaa kabla sijajua hatma ya Solomon