Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hapa ulilamba dume!95 ni jasusi mrema.2015 ni mbowe na lowassa usijitoe ufahamu
Twende slowly, alipoondoka Slaa mliimba wimbo huo huo! Leo hii mnakula matapishi yenu with the same songs!Acha kujifariji mkuu
Nenda kaisikilize ile hotuba Ya Slaa You tubeTwende slowly, alipoondoka Slaa mliimba wimbo huo huo! Leo hii mnakula matapishi yenu with the same songs!
Nyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Thread imeanzishwa na JINGALAO kwa hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa aliyeanzisha ni kubwa la wajinga
Duh mkuuWewe kweli jingalao! Unajua maana ya jasusi mzoefu wewe au unabwabwaja tu hapa jf?
Kama kaiua kesi za nini Mahakamani?Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
UPDATES:
Leo tarehe 1/3/2019 mwanaccm mwenye ushawishi nchini ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA amerejea CCM baada ya kuhamia CHADEMA mwaka 2015 nilipoandika thread hii.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Tundu Lissu alisema hivyo lakini aliikimbia NCCR baada ya kudorora
[emoji3][emoji3]mpaka leo unapuuzaThread imeanzishwa na JINGALAO kwa hiyo ni ya kupuuzwa kwa kuwa aliyeanzisha ni kubwa la wajinga