Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia hao wape mawaidha ya mabikra 72, na mito ya pombe mbona sadaka watatoa wenyewe huku wakisema allah akbar.....allah akbar....Hao jamaa huwajui wewe....
Waulize maustadh ndiyo watakwambia....
Muislamu pesa yake hailiwi kizembe...huwa inafikia wakati shekhe anatoa mada za moto na majoka ili watu watoe pesa.
Ndiyo maana kwa waislam hakuna utapeli kama wa kina Gwajima na Mwamposa.
Hayo mimi siyajui...ni imani yao hiyo.Pia hao wape mawaidha ya mabikra 72, na mito ya pombe mbona sadaka watatoa wenyewe huku wakisema allah akbar.....allah akbar....
Ukiwa mgalatia unajifanya huna dini. 😀bado mjasema na mtasema soon kuna kuwekeza ccm ili ujipatie ubunge
Yake shetani untoa muongozo wa kuwaokoa wadanganyika,mbona kama hii sio kazi yako kama ndugu wa shetaniNaanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.
Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.
Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
unahamu nikutupie mikosi .siku ya leoKaka
Yake shetani untoa muongozo wa kuwaokoa wadanganyika,mbona kama hii sio kazi yako kama ndugu wa shetani
Kwenye vannila mapema sana watu wameshapigwaHivi yawezekana watu wamepigwa kwenye Vannila?
Kumbe ni mtu mmoja huyo huyo?Nawakumbusha tu mzee wa vanilla bwana Simon ndio huyohuyo wa kijiji cha nguruwe ameibuka kivingine baada ya kuona vanilla ameshikiliwa koo watu wanadai pesa zao..
Alafu jamaa ni kama 50 hasi hamsini chanya..
Wajinga hawaishiNaanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.
Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.
Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
Hahaaaaa acha kutisha mwenzako wewe.unahamu nikutupie mikosi .siku ya leo
Usinikumbushe kuhusu Mr kuku maumivu yangu hayajapoa!!!!Wale wale tu mataperi, kama upatu tu, Mr kuku, jatu kilimo, kayanda, mle mle , za
kuna baraka za serikali zinakuwepo .na serikali wanasubiri wakiona pesa ni nyingi wanaingilia na mnakosa vyoteUsinikumbushe kuhusu Mr kuku maumivu yangu hayajapoa!!!!
Nahisi serikalini kuna wajanja wanakuwa behind the scenes kwenye hii miradi ya kitapeli.....pesa zikishakuwa nyingi mradi unapigwa stop halafu hao wajanja kuna namna wanafaidika na hizo pesa.kuna baraka za serikali zinakuwepo .na serikali wanasubiri wakiona pesa ni nyingi wanaingilia na mnakosa vyote
bado mjawa na jicho la tatu kuhusu wisdom ya duniaNahisi serikalini kuna wajanja wanakuwa behind the scenes kwenye hii miradi ya kitapeli.....pesa zikishakuwa nyingi mradi unapigwa stop halafu hao wajanja kuna namna wanafaidika na hizo pesa.
Atakuwa kapelekwa huko kama influencer 😄 jamaa Ana ushawishi,jamAa ni role modoooni hivi ni hiyo hiyo.. Doto magari , alienda Dodoma kwamba anacheki, uwekezaji wake??
Aisee nimeshawaelewa hawatanipiga tena!!!bado mjawa na jicho la tatu kuhusu wisdom ya dunia
sio tu kupigwa na ili mpaka maisha yetu na mlolongo tunavoishi kuna watu ndio wanafanya haya na kikundi hiki kilishatajwa mpaka kiama hukoAisee nimeshawaelewa hawatanipiga tena!!!