JATU, Mr. Kuku, Vanira na sasa Kijiji cha Nguruwe

JATU, Mr. Kuku, Vanira na sasa Kijiji cha Nguruwe

Naanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.

Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.

Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
Unfortunately m0therfvckers will succumb to this scam,yet once again....

Fvck Tanzanians
 
Hao jamaa huwajui wewe....
Waulize maustadh ndiyo watakwambia....
Muislamu pesa yake hailiwi kizembe...huwa inafikia wakati shekhe anatoa mada za moto na majoka ili watu watoe pesa.

Ndiyo maana kwa waislam hakuna utapeli kama wa kina Gwajima na Mwamposa.
Mkuu.
Unaongelea waislamu gani? Hawa hawa tunaishi nao kitaa? Au wapi?
 
Back
Top Bottom