Wabongo hawajifunzi kamwe.Naanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.
Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.
Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
Hahahahabado mjasema na mtasema soon kuna kuwekeza ccm ili ujipatie ubunge
Unfortunately m0therfvckers will succumb to this scam,yet once again....Naanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.
Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.
Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
bahati nzuri matusi ya kingereza kwa tanzania haya umizi hata ukilalamika.unaweza shangaa Admin asikupige ban sababu umetukana kwa kingerezaUnfortunately m0therfvckers will succumb to this scam,yet once again....
Fvck Tanzanians
Kuna wajinga kweli hukuUnfortunately m0therfvckers will succumb to this scam,yet once again....
Fvck Tanzanians
Ongeza na BBTNaanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.
Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.
Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
Mkuu.Hao jamaa huwajui wewe....
Waulize maustadh ndiyo watakwambia....
Muislamu pesa yake hailiwi kizembe...huwa inafikia wakati shekhe anatoa mada za moto na majoka ili watu watoe pesa.
Ndiyo maana kwa waislam hakuna utapeli kama wa kina Gwajima na Mwamposa.