hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Uyo ni mmoja kati ya Punda wa madawa ya kulevya aliyefanikiwa kupeleka mzigo south afrika na kujipatia senti kadhaa za kubadili mboga na kumlipia ada mdogo wake.
Ni mmoja kati ya wasanii waliomu-inspire magwea kujaribu kazi hii ya upunda wa madawa ya kulevya, hamadi mauti yakamfika.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Duh
Africa nzima???????!!!!!!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
tena dunia nzima jamaa hana mpinzani jay z,rick ross,diddy,na wengneo wote hawatii mguu kwa huyu Juma Mohammed Mchopanga
kwani hao wanaflow kwa lugha 1 wakati mo tech anaflow kwa lugha tatu kiswahili,kingereza na kimakonde
Buzz 272519
Uyo ni mmoja kati ya Punda wa madawa ya kulevya aliyefanikiwa kupeleka mzigo south afrika na kujipatia senti kadhaa za kubadili mboga na kumlipia ada mdogo wake.
Ni mmoja kati ya wasanii waliomu-inspire magwea kujaribu kazi hii ya upunda wa madawa ya kulevya, hamadi mauti yakamfika.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums