hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Uyo ni mmoja kati ya Punda wa madawa ya kulevya aliyefanikiwa kupeleka mzigo south afrika na kujipatia senti kadhaa za kubadili mboga na kumlipia ada mdogo wake.
Ni mmoja kati ya wasanii waliomu-inspire magwea kujaribu kazi hii ya upunda wa madawa ya kulevya, hamadi mauti yakamfika.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Source ya hii habari ni we mwenyewe, sio?
Is this info reliable?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums