JAY Z: Malumbano ya familia/ Kumpiga kaka yake RISASI / Usaliti kwa Beyonce/ Msamaha na Funzo kwa mabaharia wote

hahahahhaa huyu anaweza kukukana hata polisi
 
Never go Eric Benet, anamaanisha kama una chombo kikali usikipoteze kama ilivyomtokea Eric kumpoteza Halle Berry.
 
Mpka Beyonce anachitiwa itakua mimi Maliyatabhuu huku senegerema. Wanaume ptuuuh ila uzuri wa wenzetu wakiomba msamaha wana maanisha hawarudii tenaa.
 
Hawawezi tulia na K moja nadhani sio kosa lao wamerithi toka kwa mfalme suleimani au Mfalme Daudi.

Tunapopiga k za out haimaanishi kwamba hatuwapendi wapenzi wetu, sisi wanaume hisia za Upendo na kupiga mbupu out yaani ni vitu tofauti yaani na havihusiani. Kwanza hatukumbukagi yaani. Yaani si inakuwa kama game tu. Kwa hiyo Mwana akikupa ufunguo ukaingia nyumbani au akikuoa maana yake anakupenda Ila sio kwamba ndo hatapiga show za miscellaneous huko nje. Plain truth nimekupa hiyo.
 
"Dark nigga,light nigga,faux nigga,real nigga
Rich nigga,poor nigga ,house nigga ,field nigga

Still nigga ,still nigga

I like that second one "

Nilikuwa naisikiliza "The story of O.J " Jamaa katema madini mule
 
Nimepokea. Truth to be told ...
 
ahsante kaka[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…