Jaydee afunga mwaka kwa kuonyesha talaka hadharani

Yeye jide ndo hajamove on kupost vitu kama hivyo, inaonekana bado anamkumbuka jamaa vinginevyo asingekumbuka kupust hivyo vitu

Ni utoto uliopitiliza anaouonyesha jide, mtu mzima kama yeye ilipaswa aachane na drama hizi.
 
That thing is very personal....why sharing with the public? Did we engineer their marriage in the first place? Kumuibia mtu mme sio tatizo? Kaazi kweli kweli
Ndio gharama ya kua maarufu,share wewe kama kuna mtu atajali!
Sioni tatizo yeye kufanya hivyo!
 
Bana eeh...we tatizo lako nini?

Hutaki watu tutoe maoni yetu au unataka kuona maoni yanayokupendeza wewe tu?

Hakuna aliyesema kavunja sheria yoyote ile ya nchi.

Mimi nimetoa maoni yangu kwa kutumia haki ile ile uliyoitumia wewe kutoa maoni yako juu ya maoni yangu.

Sasa gumu kwako kuelewa hapo ni lipi?

Is entitlement to your own opinion that much of a foreign concept to you or what?

I am entitled to my own opinion and if you happen to not like it, kick rocks and die.
 
Yeye jide ndo hajamove on kupost vitu kama hivyo, inaonekana bado anamkumbuka jamaa vinginevyo asingekumbuka kupust hivyo vitu

Ni utoto uliopitiliza anaouonyesha jide, mtu mzima kama yeye ilipaswa aachane na drama hizi.
That is some baby ting for real[emoji23] [emoji23]

It's clear as day that her ex is still on her brain .
 
Huyu dada kumbe bado hajakomaa kiakili japo umri umeenda, sasa karatasi hizo tukiziona zitatusadia nn zaidi ya kujishushia heshima tu
 
Achana na Marioo huyo, inawauma etiii

Yaani Marioo wote wakiona jide kapost kitu kuhusu G roho inawauma kama wamesemwa wao..

Na bado jide ashushe vichambo kwa Marioo wote kwa kweli!
 
Do you think that move makes her more superior? Kama ikitokea ndoa mpya ikagoma atarudi tena n.a. vyeti vya talaka? Hujafa hujaumbika. Kuna mambo binadamu kwenye akili timamu hawezi kufanyia sherehe
mambo ya hujafa hujaumbika vinaingiaje hapo.....
 
Kupanga ni kuchagua, Jide kwa kipindi kirefu alipanga kutuonyesha talaka ya mikojozo DJ na leo amechagua kutuonyesha! Hongera jide few of us (women) can do like you did,acha wengine tuendelee kupigizwa
 
wanawake walioachika kwenye ndoa, wagumba. ma-tasa, walioshindwa familia, wenye homoni za kiume ni mashabiki wakubwa sana wa LADY J DEE.. hili halina ubishi,, kama unabisha saga chupa 12 za bia then meza kwa tindikali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…