Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Zuchu yupo 30's kumjua betty mkwasa ni kawaida Ila mimi siamini hadi leo kile kiswahili deep cha nyimbo zake anakiandika yeye maana nikiskia kiswanglish chake kwenye interviews, ni ngumu kuamini hilo.Kwenye wimbo wa Zuchu mwambieni mwabieni mali yake yaliwa kuna mstari unasema "wape salamu za Betty Mkwasa" ,nilivyosikia tu hapo nikasema 100% huyu Chuchu anaandikiwa nyimbo zake.
Hata Ali Kiba pamoja na kukua kwa waswahili kariakoo Ila kiswahili cha dushelele alikiri kuandikiwa na mjomba wake. Mwasiti naye kwenye nalivua pendo, ule ushairi wa zamani alikiri kuandikiwa
Sasa hiki kiswahili deep cha Zuchu ambacho hata mzee Yusuph hawezi kukiandika. Kuna namna ni ngumu kuamini anakiandika yeye